Mwanaume afya22
Kupitia page hii K**a mzazi/mlezi itakusaidia zaidi uanze kujifunza na kupata elimu juu ya umuhimu wa afya
25/08/2022
HII PACKAGE INAFANYA KAZI ZIFUATAZO
--Itakusaidia Kuondoa maumivu sugu ya viungo
--Itakusaidia kurudisha UTEUTE wakutosha kwenye viungo
---Itakusaidia kuongeza kinga ya Mifupa na Maungio
---Itakusaidia ujisikie vizur
---Ni muhimu Sana kwa watu ambao umri umeenda na waweze jiskia vizuri
---Ni muhimu Sana kwa wanna michezo wanaosumbuliwa na Majeraha ya Viungo.
NB:
HIIZI SIO DAWA ❌❌ NI VIRUTUBISHO ✔️✔️.
KWA USHAURI ZAIDI NJOO WHATSAPP AU NIPIGIE SIMU
+255 682793390.
24/08/2022
TENDO LA NDOA ENJOYMENT
CALL/WHATSAPP
+255 682793390
14/08/2022
Wanaume wanatamani sana kuwafikisha wanawake zao kileleni, lakini hushindwa”. Mara nyingi wanaume hushindwa kabisa kuwasaidia wake zao kufika kileleni. K**a unaona mke wako haridhiki na wewe katika tendo la ndoa, kuna mambo ya kufanya.
Kwanza kabisa kabla ya yote, fahamu kwamba, Wanawake hawawezi kufika kileleni kirahisi k**a wafikavyo wanaume. Hivyo unahitaji kumpa muda zaidi mwanamke ili nae afike kileleni.
👉TENGENEZA MAZINGIRA! Ili kumfanya mwanamke afike kileleni mtengenezee mazingira ya msisimko. Wanawake hawasisimkwi na msisimko wa mwili tu, wanasisimkwa kiakili na kimwili ; viwili hivyo lazima viende pamoja. Hivyo, unatakiwa pia umsisimue kifikra.
Weka mazingira na hali inayovutia kimapenzi. Kitanda kizuri, godoro zuri na sehemu tulivu na yenye hali inayovutia kimapenzi humfanya ajisikie kupendwa na hutamani alale na wewe, hata wewe mwenyewe utajisikia starehe.
👉MCHEZEE! Ili kumfanya mke wako afike kileleni, k**a tulivobainisha hapo juu, unatakiwa umsisimue zaidi na zaidi. Hakika bila kumsisimua hafiki! Wanawake wanahitaji kuchezewa muda mrefu kuliko wanaume.
Fahamu jinsi ya kumshika na fahamu sehemu sahihi zinazompa ashki, maana wanawake hutofautiana. Ukiona anapenda unachofanya, endelea zaidi.
👉MUDA! Ni muhimu kwamba ujue ni muda gani yuko tayari kufika kileleni. Usimharakishee!! Muache afurahie jinsi unavyomshika na kumbusu. Muda ukifika utajua tu kuwa sasa yuko tayari. Naam!……ni muda mwafaka!
USIHOFU KUHUSU UKUBWA WA UUME!
07/08/2022
HII PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:
- KUWA NA UWEZO. KURUDIA TENDO VIZURI.
-KUONGEZA IDADI YA MBEGU
-KUSIMAMISHA UUME VIZURI.
- KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU.
-KUIMARISHA MISULI
-KUPATA HAMU YA KUFANYA TENDO
-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI
NB: KUMBUKA HIZI SIO DAWA❌❌ NI VIRUTUBISHO✅✅
KWA MAELEZO ZAIDI
PIGA /Whatsup ......+255 682793390
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
CHECHE
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |