Ev-Ibrah Mosha
Bible
22/08/2022
hii
31/07/2021
KUJIKANA NA KUMFUATA YESU🔥
-Yohana 12:20-26,,,
👀25-Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza:naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha ata uzima wa milele.👀26-mtu akinitumikia na anifuate -b,tena mtu akinitumikia baba atamheshim,Amen,,,
Ndugu Wakristo:----Tunapozungumza kwa habari ya kumfuata au kumtumikia Yesu Kristo sharti n lazma ujikane nafsi yako kwa kutokuipenda dunia,au kuacha kuifuatisha namna ya dunia hii,kuacha tamaa za mwili,kuacha anasaa,
👉watu wengi wanashindwa kumtumikia Mungu,kwasababu wanapenda tamaa za dunia,,wanahurumia miili yao ata kutokuitoa dhabihu mbele za Mungu(kufunga na kuomba) -Galatia 5:16...
👉Suala LA kutymika kwa Yesu linahitaj watu waliojikana na kujitoa sadaka kwa lolote litakalotokea kwa ajili ya Yesu kwan IPO vita Kali mno shetan huwa anaileta hapendi kuona MTU anamtumikia Mungu,ukisoma mathayo 10:39,,,--itakuelekeza namna gan ya kujikana
👉DANIEL 3:1-26...Inaeleza kwa habari ya makomando wa Bwana, meshaki shedraki na abdnego vijana hawa walijikana kwa ajili ya Yesu hawakukubal kutoa miili yao kwa kuisujudia sanamu,,hawakuogopa tanuru ya moto hawakuogopa kuwa watakufa hapana lakini lakini walisimama na Bwana hadi wanatupwa katika tanuru LA moto lakni Bwana wa majeshi aliwaokoa,(ALIWAHESHIMU
👉lakini Leo vijana na watu makansan wengi wamejaa na wanasema wameokoka,wadada wanasujudia kuvaa visurual hawajuh hila za shetan,wanaume kuvaa uhuni,kusikiliza bongo fleva tamaa za wanawake wengi,TUTAPONAJE?
21/07/2021
Kwa watu Wote!!!!!
NGUVU YA UPENDO NDAN YA MOYO!
upendo n muhim katika maisha ya Mkristo na kma Mungu alivofundisha watu upendo n kumpenda kila mmja (adui na wema) wala hauchagui sura wala pesa💪💪💪
---tambua kuwa paspo upendo hakuna Mungu ndani kwan Mungu n pendo
---upendo huficha madhaifu ya wengine
--upendo uvumilia mengi, hujali ata MTU akiwa kwa shida na raha---upendo unapenda adui yako ata k**a anakukosea TAMBUA HLO
K**a unamchukia MTU baba yako n shetan!!!!!!
TUNZA MOYO KWA UPENDO❤❤❤❤
16/07/2021
Mda mwingine ni kuamua kumuachia Mungu maisha yako ayatawale ilii uweze shinda maneno ya watu kwa kuwa yanachoma mno na huwez kuwakimbia hata kidgo ✌✌
Kikubwa n kuvumilia kila jambo katika maisha ili uweze kuvuka na kushinda katka hii safar tuliyonayo hapa dunian
hili huwez shinda k**a Mungu hayupo kwako hata kidgo
Mtafute huyo haraka ameen,,
Pia karibu kweny hii page naamini utajifunza mengii
Your warmly welcomeee✌❤❤❤
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
MOSHA