Prosper Afya Talk

Prosper Afya  Talk

Share

Magonjwa yasiyoambukizwa kwa njia ya damu au wadudu k**a vile;Kisukari ,presha, vimbe,ngozi,Figo,ini

20/10/2024

Habara

Baadhi ya mambo makuu yanayoathir Afya ya binadamu katika maisha, kufahamu zaidi endelea kufuatilia makala hii au piga simu tukusaidie kwa pamoja tunajar Afya yako #0712822085

27/01/2021

Habar mpendwa leo tuangalie vyakula kumi vinavyosafisha mwili kwa ujumla ,ukiwa na swari karibu kuuliza na kujibiwa tunawapenda sana

28/11/2020

Baadhi ya mambo makuu yanayoathir Afya ya binadamu katika maisha, kufahamu zaidi endelea kufuatilia makala hii au piga simu tukusaidie kwa pamoja tunajar Afya yako #0712822085

Photos from Prosper Afya  Talk's post 20/11/2020
20/11/2020

kwa kuwasiliana na Tabibu,Prosper Afya Talk karibu upone changamoto yako,uliza,0712822085

20/11/2020
Photos from Prosper Afya  Talk's post 19/08/2020

Jipatie Rishe bora kwaajili ya wenye kisukari ,na wenye upungufu wa madin mwilin ,mama mjamzito ,na hata kam hauna changamoto yoyote hii itakusaidia kuimarisha Afya Afya yako kwa manufaa yako.
Ni Perboiled Rice ,utaipata popote ulipo zaid tupigie #0712822085

Photos from Prosper Afya  Talk's post 17/08/2020

Habar wapendwa napenda kuwataarifu kuwa ile rishe kwaajiri ya wagonjwa wa kisukari,figo na hata wanaosumbuliwa na upungufu wa vitamin .
Rishe ipo tayari ni mchele ambao hauja kobolewa (Parboiled Rice) ndiy. Rishe yako muhim usipange kuikosa .
Mkoani tunatuma.zaid tupigie 0712822085

30/07/2020

TATIZO LA UVIMBE WA TEZI ZA
SHINGONI
Na.PROSPER AFYA TALK.

UGONJWA huu ni uvimbe unaotokea shingoni hauchagui umri na hufahamika kwa kitalaamu k**a cervical/neck lympadenopathy.



Tatizo la kuvimba tezi mara nyingi huwapata watoto japokuwa hata watu wazima huweza kukumbwa hasa k**a wamepata magonjwa ya kuambukiza k**a tutakavyoona mbele. Uvimbe huu unapozidi sentimita moja,Prosper afya talk inaeleza tezi hizi hugawanywa katika makundi matatu; tezi moja au fungu moja, yaani tezi zilizovimba sehemu moja, tezi zilizosambaa (generalized) sehemu mbalimbali na tezi zitokanazo na ngozi ya shingo (dermatopathic).

Pia tezi hizi hugawanywa kulingana na muda k**a vile tezi za muda mfupi tangu kutokea (acute).Hizi hutokea ndani ya wiki mbili, tezi za muda wa kati (subacute) zilizo ndani ya wiki mbili hadi sita na tezi za muda mrefu (chronic) yaani zaidi ya wiki sita.

MAKUNDI YA TEZI YA UGONJWA

Makundi matatu makubwa ya magonjwa husababisha tatizo hili na ndiyo dalili mojawapo ya kuwepo kwa magonjwa hayo katika mwili. Kundi la kwanza ni magonjwa ya kuambukiza (infections), kwa mfano maambukizi mdomoni, puani, masikioni, kwenye njia ya chakula au koromeo.

KIFUA KIKUU (TB)

Kwa kawaida maambukizi husababisha matezi kuvimba kwa watoto zaidi kuliko kwa watu wazima. Ugonjwa mkubwa katika kundi hili ni wa kifua kikuu (TB) ya matezi, hili halichagui umri wala jinsia. Wapo ambao huvimba tezi za shingo na wakienda kupimwa hugundulika kuwa wana ugonjwa wa kifua kikuu, hivyo wanatibiwa tatizo hilo na lile la kuvimba tezi.

KINGA ZA MWILI

Kundi la pili ni kinga za mwili kushambulia sehemu ya mwili wake (auto-immune diseases. Kinga hizo zikishambulia mwili, tezi za shingo huvimba sana na kumsababishia maumivu makali mgonjwa.

UGONJWA WA SARATANI

Kundi la tatu ni saratani. Mgonjwa anaweza kupata tatizo hili akiwa na saratani na anaweza kuhangaika sana kujua sababu za kuvimba kwa tesi zake. Tatizo hili litagundulika k**a atakwenda kumuona daktari na akafanyiwa vipimo k**a mtaalamu

na.pr

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam