Asingire na Boresha AFYA
ushauri na Suluhishobla kudumu la; matatizo ya mifupa, Tezi Dume, Afya ya Uzazi wa Mwanaume na Mwanamke, Nguvu za kiume Vidonda vya Tumbo na Bawasiri
K**a unasumbuliwa na tatizo la maumivu ya mifupa na viungo nipigie simu kwa msaada zaidi wa ushauri na tiba +255 786 868 954.
Tiba Ya Maumivu Ya Mifupa Na Viungo Kwa Haraka Sana Ndani ya Siku 60-90
Usichelewe punguzo hili la 12.28% kwa MWEZI huu wa kumi
Piga namba +255 625 781 981
MWANAMKE usiteseke, suluhusho lipo kabisa
TIBA NA SULUHISHO KWA MAUMIVU YA VIUNGO NA VIUNGO KUSAGANA. (0625781981).
ARTHROEXTRA + ZAMINOCAL (TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk
KWANZA, TUJIELIMISHE KIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO HII HUONDOA MISUGUANO KATI YA MIFUPA WAKATI WA MJONGEO (MOVEMENT)
MTU ANAPOFIKISHA MIAKA ZAIDI YA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISHA MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,
HII HUSABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO K**A MAGOTI, NYONGA, NA HATA UYI WA MGONGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO KWA SABABU YA MAUMIVU MAKALI SANA ,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA.
ARTHROEXTRA NA ZAMINOCAL PLUS NI DAWA ZA ASILI HAZINA KEMIKALI, NI SULUHISHO YA MATATIZO HAYA ZIMETHIBIYISHW NA MAMLAKA YA DAWA NA TIBA TFDA, kupata huduma piga (0625781981).
KINGA NA TIBA YA TEZI DUME BILA UPAUAJI.,(0625781981)
Tezi dume nini ..ni tez inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..
Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume..
Sasa KUNA SULUHUSHO..
Dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga (0625781981)
Tazama video hapo chini kwa maelezo na ushauri
Click here to claim your Sponsored Listing.