Jamii Uzazi Care.

Jamii Uzazi Care.

Share

Healthy lifestyle coaching.

04/10/2023

Miezi mitatu iliyopita,, nilipigiwa simu na namba nisiyoijua,,na ilikuwa sauti ya mwanamke..nilipomuuliza nani mwenzangu akanambia naitwa Rahel natokea Singida nimeona kwenye page yako Facebook kwamba unaowasaidia wanawake kutatua changamoto za maambukizi katika mfumo wa uzazi yaani PID,,, nikamjibu naam upo sahihi hicho ndicho nafanya... Kwa huzuni dada yule alinieleza jinsi alivyoteseka katika kupata matibabu yake bila mafanikio na matokeo yoyote...aliongeza kwa kusema hakuna antibiotic ya hospital ambayo sijameza na mbaya zaidi hata ujauzito sijashika😭,,nikamtuliza nikamwambia pole sana dada naelewa hali unayopitia ila k**a uko tayari niweze kukusaidia nitafanya hivyo..naye akajibu niko tayari..nikamuuliza upo tayari kuanza program yetu leo akasema ngoja nikazungumze na mume wangu kwanza...nami nikamwambia unaonaje nikazungumza baye pia ili upate usaidizi wa haraka? akasema sawa akirudi jioni utazungumza nae...ilipofika jioni kweli alipiga simu nikaongea na mumewe pia...Akasema yuko tayari mkewe apate tiba na baada ya siku tatu nimekaa nimetulia nikaona ujumbe wa imethibitishwaa😝😝 umepokea 263,000... kutoka kwa.......na screen shot juu ..nimetuma pesa ya program mke wangu aanze ..na hiyo ilikuwa ni dose ya mwezi mzima yaani siku 30.. alianza dose yake nikiendelea kufatilia na kumpa usaidizi wa kina ...na juzi huu ni ushuhuda ambao amenitumia nimeona nishee na ninyi....mjifunze kwa waloweza kuchukua maamuzi.

04/10/2023

Jamii ya maharage ni lishe nzuri sana..Jitahidi kuviweka kwenye chakula
Chako kila siku hizi ni pamoja na;
• Maharage yenyewe
• Kunde
• Dengu
• Fiwi
• Njegere
• Njugumawe
• Choroko
• Soya

26/08/2023

ZINGATIA HAYA K**A UNAHITAJI KUSHIKA UJAUZITO.
1.Kufanya mapenzi katika mtindo (style) ambayo itafanya mbegu za kiume zikae kwa muda mrefu ukeni na hivyo nyingi kupanda kuingia kwenye kizazi na kwenda kurutubisha yai.🍓

missionary position’ ni nzuri zaidi, ambapo mwanaume anakuwa juu, epuka positions za mwanamke kuwa juu kwani hufanya mbegu zimwagike kwa gravity. Jaribu pia kuweka mto chini ya kiuno ili kukiinua na kufanya mbegu ziingie ndani kwa urahisi zaidi.

2. Tumia ovulation prediction kit,
hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia.

3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua yai (kabla ya ovulation), huongeza uwezekano wa kushika mimba kuliko kusubiria ovulation au kufanya baada ya ovulation.💞👩‍⚕️

✍️✍️👩‍⚕️Kutaneni siku mbili au tatu kabla ya ovulation. Ukitumia ovulation test kit, mkutane kuanzia siku itakapokuwa positive kwani huwa inapredict ovulation kutokea 48 hrs after it tests positive.

4. Usitegemee njia ya kalenda kutabiri uenguaji yai, njia hii kwa kiasi fulani huweza kuwasaidia wale wenye mzunguko wa siku 28, lakini pia haina uhakika wa 100%, wengi wa wanawake hawaengui yai siku ya 14 ya mzunguko wa hedhi, kwa hiyo kutegemea kalenda kutakuchelewesha kupata ujauzito.

5. unapotaka kushika mimba, acha au punguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya pombe, sigara au dawa za kulevya.😋😋

6. unapotaka kupata mimba, tendo la ndoa liwe kitu ‘enjoyable’ na sio tendo(unakamia/unakomaliaaa🤰🤰🙄🙄 ‘mechanical’ kwa ajili ya kutafuta mtoto. Plan a romantic evening or try something different to spice things.

How you are feeling sexually may increase your chances of getting pregnancy. For women a better or**sm may help pull the s***ms into the uterus and for men a better or**sm may increase their s***m count.🍎🍏

7, Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days.👙👙yani unafanya leo kesho mnapumzika .

9.Zingatia utaratibu wa lishe bora ili kuchochea uwezekano wa kupata ujauzito..zaidi yaani omba ushauri kwa daktari wako akupangie utaratibu utaofaa wa lishe amabazo ni muhimu..kwa mtu anayetafuta ujauzito.

10.Tibu changamoto zote za uzazi..kwani bila kutibu utahangaika...unaweza pata mimba na ikatoka au usipate kabisa..so zingatia ni muhimu usipuuze... hakikisha uko vizuri huna shida yoyote..

*Kumbuka kuna asilimia 10 – 25 ya couples ambazo zina matatizo ya Uzazi na wengi hawagundui..*

For more consultation...
Ms. Rebecca
0716599108.

13/08/2023

shuhuda za tiba zetu zinaendelea kuongezeka

11/08/2023

Ulishawahi kusikia mtu anaumwa macho na akaambiwa na madaktari kuwa tatizo ni pressure ya macho?

Kuna magonjwa mengi ya macho ambayo yanaweza kusababisha kutoona vizuri na wakati mwingine yakaleta upofu wa kudumu. Katika ukurasa wetu wa leo, tutauzungumzia ugonjwa uitwao glaucoma, ambao unawasumbua watu wengi sasa hivi, na hasa wale wenye umri mkubwa. Tutaona chanzo cha ugonjwa huu, mambo ambayo unaweza kuyafanya unapokuwa unakabiliwa na tatizo hili na tiba utakayopewa pale utakapobainika kuwa na ugonjwa huu.

Glaucoma ni hali inayoharibu neva ya jicho (optic nerve). Hali huendelea kuwa mbaya kila siku zikiongezeka. Hali hii inahusishwa na kuongezeka kwa msukumo (pressure) ndani ya jicho. Ugonjwa wa glaucoma hufuata koo. Ugonjwa huu huja baadaye sana katika maisha.

Kuongezeka kwa pressure hiyo ndani ya jicho, kunakoitwa intraocular pressure, kunaweza kuharibu optic nerve, ambayo hupeleka picha kwenye ubongo. K**a glaucoma ikizidi, uharibifu wa kudumu wa kuona hutokea au pengine kusababisha upofu katika miaka michache.

Watu wengi wenye glaucoma hawaoni dalili za awali au kupata maumivu. Yafaa kumwona daktari wa macho mara kwa mara ili kuyalinda macho yako. Watu wengi wenye glaucoma waliofuata mpango wao wa tiba na kumwona daktari mara kwa mara wameweza kutunza hali yao ya kuona vizuri.

Macho yako yakiharibika, huwezi kuyarudisha kwenye hali yake. Kwa kupunguza pressure ya macho, unaweza kulinda afya ya macho yako.

Hali Zinazochangia Ugonjwa Wa Glaucoma nink**a ifuatavyo:


Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri wa zaidi ya miaka 40, lakini vijana, watoto na vichanga huweza pia kuathirika. Wamerekani weusi wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kuupata ugonjwa huu wakiwa wadogo, na hupoteza uwezo wa kuona kwa wingi zaidi.

Unaweza kuupata ugonjwa huu:
K**a ni mmarekani mweusi, irish, Russian, japanese, Hispanic, Inuit, au k**a ni Scandinavian
K**a umri wako ni zaidi ya 40
K**a una ndugu wenye glaucoma
K**a una matatizo ya kuona
K**a una kisukari
K**a unatumia dawa k**a prednisone
K**a uliwahi kuumia macho
K**a una cornea nyembamba kuliko kawaida
K**a una high blood pressure, ugonjwa wa moyo, kisukari, upungufu wa damu kutokana na sickle cell
K**a una pressure ya jicho K**a ni farsighted au nearsighted.

Aina Za Glaucoma


Kuna aina kuu mbili:

Open-angle glaucoma. Hii ndiyo aina inayoonekana zaidi. Madaktari mara nyingine huiita wide-angle glaucoma. Mfumo wa kutoa maji nje ya jicho uitwao trabecular meshwork huonekana kuwa nzuri, lakini majimaji hayatiririki inavyotakiwa.

Narrow angle glaucoma hutokea pale iris inaposogea mbele, utolewaji wa maji kuzibwa kwa sababu ya kuziba kwa drainage angle. Kwa sababu hiyo, kunaweza kukatokea msukumo ambao utaharibu upelekwaji wa taarifa zinazoonwa na macho kwenye ubongo.

Dalili za awali za narrow angle glaucoma ni maumivu makali ya macho, maumivu ya kichwa au kipandauso, mwanga kuzunguka maumbo, kutanuka kwa pupil, matatizo ya kuona na damu kwenye macho. Dalili hizi hudumu kwa saa chache au hadi pale msukumo ndani ya macho utakapopungua.

K**A UNASUMBULIWA NA MACHO NA HUJUI WAPI UPATE SULUHISHO.. KARIBU UPATE SULUHISHO LA KUDUMU.

0716599108.

31/07/2023

ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA SEAMOSS
• Inaimarisha kinga ya mwili
•hupunguza mchakato wa kuzeeka
• huimarisha afya ya akili na kuipa akili
utulivu na kurejesha kumbu kumbu
• huimarisha afya ya uzazi ni nzuri kwa wanaotafta watoto
• inasaidia kupunguza uzito kwa
kupunguza mafuta mabaya mwilini
• Huimarisha afya ya ngozi,
nywele na kucha
• husaidia kudhibit homoni
zinazochochea saratani
• Inaboresha afya ya moyo,mifupa na inni
•Inasaidia kuondoa mak**asi
(mucus) mwilini na kutibu kikohozi
kisichopona
•Inasaidia afya ya mapafu na wenye shida ya kupumua

Photos from Jamii Uzazi Care.'s post 29/07/2023

shuhuda za watu waliotumia program yetu.

24/07/2023

Sababu zinazosababisha usipate ujauzito...

K**a unahitaji kutatua changamoto yako piga simu namba
0716599108

24/07/2023

Sikiliza ewe Mwanamke hii ni muhimu sana kujua.

21/07/2023

Huu ni ushuhuda wa mtu aliyetumia bidhaa zetu...kutatua changamoto yake.

20/07/2023

*ujumbe huu umenipa nguvu tele ya kuendelea kutoa huduma ninayoitoa*

Nina imani hata wewe ukisoma unaweza kufanya maamuzi mapema.

Jana saa 12 jioni nilikuwa katika What'sApp yangu k**a kawaida nafuatilia maendeleo ya watu ambao nilikuwa nimekwisha wahudumia.

Nilipofika Kwa mtu huyu.. uso wangu uling'aa Kwa tabasamu na furaha ☺️ baada ya kuona text zao..k**a zinavyosomekana hapo juu.. kwenye picha niliyotuma

Ndo nikakumbuka wewe unayesoma ujumbe huu,, unasubiri nini kuchukua hatua mapema kuondoa changamoto yako mapema..??

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam
000000