Afya ni tunu

Afya ni tunu

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ni tunu, Health/Beauty, Makumbusho, Dar es Salaam.

22/02/2023

Vifuatavyo ni baadhi ya vyanzo vilivyo sababisha kuondoka kwa furaha ya wanaume wengi na kupelekea kushindwa kujiamini kabisa
𝗣𝗨𝗡𝗬𝗘𝗧𝗢; Mwanaume anapopiga punyeto anaiminya mishipa ambayo inasababisha kusimama kwa uume, Hivyo baada ya muda fulani mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea na kushindwa kuruhusu kiwango cha damu kuflow vizuri na hivyo linapokuja swala la kusimamisha uume mwanaume huyu anakuwa hana uwezo wa kusimamisha uume wake vizuri.

𝗠𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗢𝗢𝗦𝗧 Madawa k**a vile mkongo, Vi**ra na putururu husababisha mishipa ya uume kulegea kwa sababu uki overdose mishipa hiyo na kuilazimisha kufanya kazi zaidi ya kiwango chake, Matumizi

haya yanapokuwa ya muda mrefu sana humfanya mhusika kuwa tegemezi wa madawa na hufanya mishipa ya uume kulegea na kukosa nguvu

𝗩𝗬𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔; Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi huathiri moyo na mzunguko wa damu mwilini na hivyo uume kukosa msukumo wa damu wa kutosha Katika mishipa yake ya damu na usimamaji mzuri wa uume unategemea mzunguko mzuri wa damu

𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔: (𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔,𝗞𝗜𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜,𝗡𝗚𝗜𝗥𝗜, 𝗧𝗘𝗭𝗜𝗗𝗨𝗠𝗘,)unapokuwa na magonjwa haya ni rahisi sana kupata matatizo ya nguvu za kiume Na wakati mwingine kushindwa kabisa kuhimili tendo la ndoa

𝗠𝗦𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗭𝗢;Hii husababisha mwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa katika sita kwa sita na mke wake, msongo wa mawazo unaufanya mwili kushindwa kuzalisha vichocheo vya kufanya tendo la ndoa Kumbuka kwamba akili yako inahitaji kuwa tulivu kwasababu tendo la ndoa huanzia kichwani

𝗨𝗟𝗘𝗩𝗜 𝗡𝗔 𝗨𝗩𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗦𝗜𝗚𝗔𝗥𝗔;
Mfano ulevi kupita kiasi wa pombe, madawa ya kulevya n.k husababisha mwanaume kukosa nguvu za kiume

𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢 𝗔𝗨 𝗨𝗡𝗘𝗡𝗘 𝗨𝗟𝗜𝗢𝗣𝗜𝗧𝗜𝗟𝗜𝗭𝗔;
uzito huwa ukipanda huwa unakuja na mabadiliko mengi ya mwili ikiwemo suala la kushindwa kuhimili tendo la ndoa. Kumbuka tendo la ndoa huhitaji sta

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam