Gluck_online_clinic

Gluck_online_clinic

Share

Gluck _online_clinic. Tunatoa huduma za afya ikiwemo ushauri juu ya afya yako #afyayakouzima

09/04/2022

Mwanza to Dar es salaam via Kilimanjaro international airport

Fly with ✈️👏👏

11/11/2021

Let’s support child mental’s health

08/11/2021

Reposted@Unicef.
Be someone’s reason to smile to day!

Mental health is just as important as physical health. Check in on your friends,listen to what they have to say and ask them what’s really on their mind
/UN0543451/Diarrsouba

Photos from Gluck_online_clinic's post 04/11/2021

Let’s protect the children from sexual exploitation and abuse

Photos from Gluck_online_clinic's post 04/11/2021

Sexual exploitation and abuse is one of the misconduct behavior in the community that exploit children and leads to abuse . Many children around the world comes into exploitation following some factors like traditional beliefs!!!!! Let’s work together to protect children from sexual exploitation and abuse 🗣🗣🗣🗣🗣🙌🏿

04/11/2021

Let’s shake hands together in order to protect child from sexual exploitation and abuse 🗣🗣🗣

Photos from Gluck_online_clinic's post 01/10/2020

My passion my life

Photos 28/03/2020

Visit Gluck online clinic for better services

Photos from Gluck_online_clinic's post 22/03/2020

Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (*Ovarian cysts)

Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana kwa wanawake kwa kupata uvimbe kwenye mayai (ovaraian cysts)

Kwa kawaida mwanamke ana ovari mbili amabazo hukaa chini pembeni mwa tumbo la chini upande wa kulia na kushoto ambapo hizi ovari hutoa mayai ambao hurutubishwa na kuwa kumpeleka mwanamke kupata mtoto

Tatizo hili la uvimbe huwapata wanawake wote haijarishi umri wake pale tu mwanamke anapokua amefikia umri wa kuvunja ungo basi tatizo hili anaeza kulipata
Mara nyingi tatizo hili huanza bila kuonyesha dalili yoyote apo mwanzo lakini linapokua kubwa huanza kuonyesha dalili zifuatazo

1. Maumivu makali ya nyonga ambayo huambatana na kiuno kuuma sana , hii inapekea mpka mwanamke anashindwa kufanya kazi zake vizuri .

2. Maumivu makali ya tumbo hasa upande wa chini .mwnamke anaeza kua anapata maumivu makali ya tumbo hasa lachini upande mmoja au pande zote mbili ( kulia na kushoto)

3. Kuisi tumbo limejaa na kukosa hamu ya kula chakula

4. Kutapika pamoja na homa ikiambatana na maumivu ya mwili mzima

Sababu za tatizo hili

1: homoni za mwili kutokua na usawa! Wanawake ambao hutumia dawa ambazo zinaweza wasaidia kupata watoto k**a vile chlomohen wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili

2: ujauzito

3: endometriosis, hii hupelekea cells kuota nje ya uterus na nyingine kujishikiza kwenye ovari na kukua na kuleta tatizo hili

5: Maambukizi ya mda mrefu kwenye via vya uzazi k**a vile PID

Madhara yake

1: kuvimba kwa ovari na kupekelea kupasuka

2: kusambaa sehemu nyingine

Kwan ushauri zaidi piga namba hizi kupata msaada zaidi juu ya tatizo ili
Kwa kupiga simu za kawaida : 0788574263
Whatsup:0658818875
@ Dar es Salaam, Tanzania

Photos 18/03/2020

Chukua hatua

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Kimara
Dar Es Salaam
14320