Gluck_online_clinic
Gluck _online_clinic. Tunatoa huduma za afya ikiwemo ushauri juu ya afya yako #afyayakouzima
09/04/2022
Mwanza to Dar es salaam via Kilimanjaro international airport
Fly with ✈️👏👏
Let’s support child mental’s health
08/11/2021
Reposted@Unicef.
Be someone’s reason to smile to day!
Mental health is just as important as physical health. Check in on your friends,listen to what they have to say and ask them what’s really on their mind
/UN0543451/Diarrsouba
04/11/2021
Let’s protect the children from sexual exploitation and abuse
04/11/2021
Sexual exploitation and abuse is one of the misconduct behavior in the community that exploit children and leads to abuse . Many children around the world comes into exploitation following some factors like traditional beliefs!!!!! Let’s work together to protect children from sexual exploitation and abuse 🗣🗣🗣🗣🗣🙌🏿
04/11/2021
Let’s shake hands together in order to protect child from sexual exploitation and abuse 🗣🗣🗣
01/10/2020
My passion my life
28/03/2020
Visit Gluck online clinic for better services
22/03/2020
Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (*Ovarian cysts)
Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana kwa wanawake kwa kupata uvimbe kwenye mayai (ovaraian cysts)
Kwa kawaida mwanamke ana ovari mbili amabazo hukaa chini pembeni mwa tumbo la chini upande wa kulia na kushoto ambapo hizi ovari hutoa mayai ambao hurutubishwa na kuwa kumpeleka mwanamke kupata mtoto
Tatizo hili la uvimbe huwapata wanawake wote haijarishi umri wake pale tu mwanamke anapokua amefikia umri wa kuvunja ungo basi tatizo hili anaeza kulipata
Mara nyingi tatizo hili huanza bila kuonyesha dalili yoyote apo mwanzo lakini linapokua kubwa huanza kuonyesha dalili zifuatazo
1. Maumivu makali ya nyonga ambayo huambatana na kiuno kuuma sana , hii inapekea mpka mwanamke anashindwa kufanya kazi zake vizuri .
2. Maumivu makali ya tumbo hasa upande wa chini .mwnamke anaeza kua anapata maumivu makali ya tumbo hasa lachini upande mmoja au pande zote mbili ( kulia na kushoto)
3. Kuisi tumbo limejaa na kukosa hamu ya kula chakula
4. Kutapika pamoja na homa ikiambatana na maumivu ya mwili mzima
Sababu za tatizo hili
1: homoni za mwili kutokua na usawa! Wanawake ambao hutumia dawa ambazo zinaweza wasaidia kupata watoto k**a vile chlomohen wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili
2: ujauzito
3: endometriosis, hii hupelekea cells kuota nje ya uterus na nyingine kujishikiza kwenye ovari na kukua na kuleta tatizo hili
5: Maambukizi ya mda mrefu kwenye via vya uzazi k**a vile PID
Madhara yake
1: kuvimba kwa ovari na kupekelea kupasuka
2: kusambaa sehemu nyingine
Kwan ushauri zaidi piga namba hizi kupata msaada zaidi juu ya tatizo ili
Kwa kupiga simu za kawaida : 0788574263
Whatsup:0658818875
@ Dar es Salaam, Tanzania
18/03/2020
Chukua hatua
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
14320