Jamii na Afya

Jamii na Afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jamii na Afya, Health/Beauty, Dar es Salaam.

13/11/2022

JINSI UUME UNAVYO SIMAMA NA KUSISIMKA

Jinsi Uume unavyosimama: Katika uume kuna chemba yenye mishipa laini sana, ambayo ndio huufanya uume kusimama.

Mishipa hii ipo k**a sponji hivyo huweza kunyauka na kutanuka.

Damu inapoingia ndani ya mishipa hii huufanya uume kusimama na kuwa mgumu k**a msumari (neno *msumari* ni mfano tu ili uelewe)

Damu inapoendelea kuhifadhiwa ndani ya mishipa hii wakati wa tendo la ndoa, huufanya uume uendelee kusimama.

Mwanaume anapopatwa na wazo la kufanya tendo la ndoa, mishipa ya fahamu iliyo kwenye ubongo hupeleka ishara kwenye uti wa mgongo, ambao nao hufikisha taarifa kwenye mishipa ya uume.

Taarifa ikisha fika kwenye mishipa ya uume, huifanya mishipa ya uume ku-relax na mishipa ya uume inapo relax, hufanya mambo makuu mawili;

i. Kwanza hufanya mishipa ya ateri kufunguka na hivyo damu kutiririka kwa kasi sana kuingia kwenye mishipa ya uume..
(Mishipa ya ateri ndio inayo tumika k**a njia ya kuingiza damu kwenye uume. Bila mishipa ya ateri imara na yenye afya, damu haiwezi kuingia kwenye mishipa ya uume, na damu isipoweza kuingia kwenye mishipa ya uume, basi uume hauwezi kusimama )

ii. Pili huibana mishipa ya vena na hivyo kuizuia kunyonya damu kutoka kwenye uume na kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. Matokeo yake kuufanya uume uendelee kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.

Kumbuka ,kazi kubwa ya mishipa ya neva iliyo karibu na mishipa ya uume, ni kunyonya damu kutoka ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. Kwa lugha nyingine, kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume ulio simama.

Kadri damu inavyo zidi kuingia ndani ya mishipa ya uume, ndivyo uume unavyo zidi kuwa mgumu na kukak**aa.

Na kadri damu inavyo hifadhiwa ndani ya mishipa ya uume, ndivyo uume unavyo endelea kusimama wakati wa tendo la ndoa kwa muda mrefu.

Baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume inarudi katika hali yake ya kawaida (inanyauka ), ikisha nyauka, mishipa ya ateri inanyauka pia, vena zinafunguka na kunyonya damu katika mishipa ya uume na kuirejesha katika sehemu nyinginezo za mwili na hatimaye uume kurudi katika hali ya kawaida (flaccid).

Hali hii itaendelea kujirudia kwa kadri utakavyo kuwa ukiendelea kufanya tendo la ndoa.

Mambo Muhimu Katika Kuufanya Uume Usimame na Kuendelea kudumu katika kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.

*Sasa basi.... Ili uume uweze kusimama imara k**a msumari na uendelee kusimama imara na kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa, ni lazima mambo yafuatayo yawepo:*

1. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema.

2. Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima.

3. Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume.

4. Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume.

Ili mwanaume aweze kuwa imara katika tendo la ndoa, ni lazima mambo manne niliyo yataja hapo juu yawe sawa sawa bila hitilafu yoyote. Kinyume chake, mwanaume hawezi kuwa na nguvu za kiume.

Kuna sababu zinazopelekea kuharibu mzunguko wa damu na mishipa ya damu ni k**a
-- kupiga punyeto kwa mda mlefu
--kuwa na lehem kwenye mishipa (mafuta mabaya kwenye mishipa)
--magonjwa k**a ya moyo, shinikizo la moyo, kisukari, figo, na mawazo
--unene na kitambi
--kupwaya kwa mishipa ya vein

Mwisho
HIVYO,zifuatazo ni bidhaa zetu ambazo zinaweza kumsaidia mtu mwenye tatizo hilo,ikumbukwe bidhaa hizi sio dawa bali ni chakula cha nyongeza(supplements/virutubisho )

+

for Men
Vera gel
Propolis
Min

Kwa huduma zetu na ushauri

Piga/Whatsapp
+255 658 122 251

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
0000