Chama Cha Salonist Tanzania-CCST
Chama Cha Salonist Tanzania-CCST ni Mwamvuli wa watoa huduma wote wa salon za kike na kiume.
10/06/2026
CHAMA CHA SALONIST TANZANIA CCST
Meza MOJA , ndoto MOJA, maendeleo MOJA
Lengo la tamasha letu la tarehe 30 juni 2026 si Uzinduzi tu, bali ni kuanzisha safari ya maendeleo endelevu Kwa wanachama Kila mkoa.
Asante Kwa kuamini ndoto zetu. Karibu sana wadau
10/06/2026
CHAMA CHA SALONIST TANZANIA CCST
Uelekeo WA Tamasha la UREMBO na UTANASHATI tarehe 30 juni 2026,
Jana tulikaa kikao na BARAZA LA SANAA LA TAIFA - BASATA tukijadili Kwa kina maandalizi ya Tamasha Hilo.
CCST inaelekea, na tunaahudi tamasha hili litakuwa la mfano Kwa vyama vingine.
Vipaji vingi fahari MOJA
19/05/2026
UMOJA NI NGUVU | SEKTA YA UREMBO INAUNGANA 🇹🇿✂️💄
Leo tumefanya kikao cha kihistoria!
Uongozi wa Chama cha Salonist Tanzania - CCST tulikutana na viongozi wa:
1. Tanzania Barbers Union - TBU
2. Umoja wa Make Up Artists Tanzania
3. Wataalamu wa Dreadlocks
Tulijadili kwa pamoja maandalizi ya Tamasha Kuu la Urembo Tanzania litakalofanyika tarehe 30 Juni 2026.
Lengo letu ni moja: Kuimarisha sekta ya urembo, kuunda fursa za ajira na kuinua hadhi ya mtaalamu wa urembo Tanzania.
Hii ni mwanzo tu. Mshik**ano huu unaonesha kuwa tunapokuja pamoja, tunaweza kufanya mambo makubwa zaidi.
Jiandae! Tamasha la 30 Juni 2026 litakuwa kubwa, tofauti na la kihistoria.
*
13/05/2026
CHAMA CHA SALONIST TANZANIA - CCST 🇹🇿✂️
Leo tumejawa na furaha na motisha! Timu ya baadhi ya viongozi wa CCST imewatembelea baadhi ya vyuo vya urembo na saloon za wanachama wetu hapa Dar es Salaam.
Lengo letu ni moja: Kusikiliza, Kujifunza na Kuimarisha Sekta ya UREMBO na UTANASHATI Tanzania.
Tumeona vipaji, tumeongea na wajasiriamali wenzetu, na tumeimarisha mshik**ano wetu k**a familia moja ya wanasalonist.
Huu ni mwendelezo wa maandalizi ya Tamasha Kuu la CCST litakalofanyika tarehe 30 Juni 2026.
Jitayarishe kwa siku ya kihistoria itakayoleta pamoja , , , , watalaamu wa na
KARIBU UJIUNGE NA CHAMA CHA SALONIST TANZANIA, KINACHOWAKUTANISHA WATOWA HUDUMA ZOOTE ZA MASALUNI.
WASILIANA NA SI KWA MAELEZO ZAIDI :
0713518818
0674537818
0765506262
0765318094
0674747371
KARIBU UJIUNGE NA CHAMA CHA SALONIST TANZANIA, KINACHOWAKUTANISHA WATOWA HUDUMA ZOOTE ZA MASALUNI.
WASILIANA NA SI KWA MAELEZO ZAIDI
0713518818
0674537818
0765506262
0765318094
0674747371
07/05/2026
📍 DAR ES SALAAM | JANA
Leo tunatembea kifua mbele! 💪🏾
Jana uongozi wa Chama cha Salonist Tanzania (CCST) tulipata heshima ya kukutana na Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), tukiwa pamoja na Mhe. Jokate Mwegelo na *Kaimu Mkurugenzi wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Lengo kuu la kikao chetu: Kuwasilisha mipango ya Uzinduzi Rasmi wa CCST na kuomba ushirikiano wa serikali.
Habari njema tulizoipata:
Katibu Mkuu wa BMT ametuhakikishia kuwa CCST ni chombo muhimu sana hasa sasa AFCON 2027 inakuja Tanzania!🇹🇿⚽
Alituonyesha faida 3 za kuwa na chama imara:
1️⃣ Fursa za Kibiashara AFCON: Wachezaji, watalii, na waandishi wa habari 50,000+ watahitaji huduma za urembo - unyoaji, ususi, make up, spaa. CCST itakuwa daraja la kuwapangia wasalonist tenda hizo.
2️⃣Utambuzi wa Serikali: Kukiwa na chama, ni rahisi serikali kutenga fedha za mikopo, mafunzo, na sera rafiki kwa wasalonist.
3️⃣Nidhamu na Viwango: CCST itahakikisha kila salonist anafanya kazi kwa viwango vya kimataifa ili kuijenga heshima ya Tanzania.
Tunamshukuru sana Katibu Mkuu wa BMT, Mhe. Jokate, na Kaimu Mkurugenzi wa BASATA kwa ushauri na baraka zao.
CCST INAKUJA! Maonyesho ya Uzinduzi yanaandaliwa Ubungo EAC hivi karibuni.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Website
Address
Dar Es Salaam
13998