IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO

Share

Kutoa ushauri kwa watu wenye changamoto ya Afya

15/04/2020

JE, UNAJUA CHANZO CHA KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI(MENORRHOGIA)? JE, NINI MADHARA YAKE?

Ndugu mpendwa msomaji, hali ya mwanamke kutokwa na damu nyingi kwa muda mrefu wakati wa hedhi, kitaalamu inaitwa 'Menorrhagia'. Ingawa hali ya kutokwa damu nyingi huonekana k**a jambo la kawaida kwa baadhi ya wanawake, lakini wengi wao huwa hawapatwi na hali ya kuishiwa damu.

Lakini inaonekana kuwa, mwanamke anapopatwa na janga hili hushindwa kufanya kazi zake ofisini na hata nyumbani kwasababu ya kutokwa na damu nyingi ikiambatana na maumivu na vichomi tumboni.

Je, Nini Chanzo Cha Ugonjwa Huu?

Kwa kawaida hali ya kutokwa na damu nyingi kwa muda mrefu wakati wa hedhi husababishwa na mambo yafuatayo:

√. Kutokuwa na uwiano sawa wa vichochezi(hormone Imbalance)

√. Vifuko vya mayai kushindwa kufanya kazi

√. Uvimbe kwenye mfuko wa kizazi(Uterine Fibroids)

√. Vivimbe vidogo katika vifuko vya mayai

√. Kuvimba kwa tishu ya ukuta wa kizazi(endometrium).

√. Saratani ya shingo ya kizazi, nk.

Je, Nini Dalili Zake?

Kwa kawaida ishara au dalili za tatizo hili huwa k**a ifuatavyo:

√. Kubadili pedi kila baada ya lisaa limoja

√. Kuamka kila mara usiku ili kubadili pedi

√. Kutokwa na damu zaidi ya siku 7

√. Kutokwa na mabonge ya damu makubwa

√. Kushindwa kufanya kazi kwasababu ya kutokwa na damu

√. Kuhisi uchovu au kukosa pumzi

Je, Nini Tiba Ya Tatizo Hili ?

Wasiliana nasi kwa namba 0762875420 tuna dawa nzuri za uvimbe na matatizo ya mfumo wa uzazi, na Dawa hizi huondoa na kuzuia uvimbe, na husaidia kuondoa hali ya kutokwa na damu muda mrefu.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
477