Mr Nestory afya bora.

Mr Nestory afya bora.

Share

n.k

Naitwa Mr Nestory nipo katika sekta ya AFYA napenda sana kutoa elimu juu ya changamoto zinazowatesa watu wengi..

1.kupunguza uzito, kitambi na nyama uzembe.
2.matatizo ya afya ya uzazi.

16/12/2022

*K**a wewe ni mwanaume Nina habari njema kwako👇

Ninasaidia wanaume kuboresha au kuongeza uwezo uwezo wao wa kushiriki vizuri tendo la ndoa kwa kutumia virutubisho

K**a wewe ni ( *mwanaume)* unayehangaika ku ( * kushindwa kufanya vizuri tendo la ndoa )* kwa kipindi kirefu bila ya kuona mafanikio basi nina habari nzuri mno.

Nimekuandalia darasa BURE kabisa Kupitia WhatsApp Lenye kukuonyesha .....

*Jinsi ya kuboresha uwezo wako wa kushiriki vizuri tendo la ndoa kwa kutumia virutubisho Bora kabisa)*

Kujiunga na Darasa Hilo Gusa LINK Hapa Chini

Https//wa.me/+255744052573

Ndani ya darasa hilo tutazungumzia yafuatayo:

1. Umhumu wa kufanya mazoezi.
2.Umhimu wa kutumia virutubisho lishe.
3. Darasa la vyakula na mazoezi..
4. Umhimu wa kupata mda wa kupumzika..

Kujiunga na Darasa Hili Gusa LINK Hapa Chini Kabla Group Halijajaa Kwani Hakutokua na Group Jingine....

https://chat.whatsapp.com/DL9Jkgac7nQA4genrStR7C

Ni mimi mwenye kujali mafanikio/afya yako....

MR. NESTORY
Au Nipigie simu moja kwa moja kupitia Namba 0744052573

13/09/2022

IMALISHA AFYA YA UZAZI, MAZUNGUKO WA DAMU, NGUVU ZA KIUME & STAMINA, MOYO, MISULI NA MIFUPA KWA KUTUMIA👇👇👇👇👇👇

𝐭𝐮𝐰𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧𝐞 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐨𝐣𝐚
🤳+255 744 053573
FAIDA ZAKE KIAFYA

1.Husaidia kusafisha mfumo wa mwili kwa kutoa sumu, taka na mafuta mabaya mwilini.

2. Husaidia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

3. Husaidia uzalishaji na ongezeko la idadi ya mbegu za kiume mwilini.

4. Hupunguza na kuzuia kutanuka kwa Tezi na uwezekano wa kupata Saratani ( Cancer ) ya Tezi Dume.

5. Huboresha na kuimalisha afya ya Moyo, Ubongo, Misuli, Mifupa na Mzunguko wa damu.

6. Hupunguza maumivu ya mwili, Uchovu na kuupa mwili Nguvu na Stamina kwa muda mrefu.

7. Hurekebisha mfumo wa hormone na hupunguza kasi ya uzee.

8.husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni n,k

13/09/2022

Zinc ni madini muhimu mno katika afya ya binadamu kiasi ambacho ukosefu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa.

Zinc ni madini ya muhimu sana kwa sababu yanatumika ndani ya kila kiungo cha mwili wako na yanahusika kwa karibu sana na kugawanyika kwa seli za mwili.

Zinc ni muhimu kwa usafirishwaji wa vyakula mwilini, ni muhimu kwa kuimarisha kinga ya mwili na ukuaji wa tishu mbalimbali za miili yetu.

Zinc hiyo hiyo ndiyo huzalisha vichocheo muhimu kwa ajili ya homoni za uzazi k**a Testosterone, hivyo unapokuwa na mapungufu ya hamu ya tendo la ndoa, uume mlegevu, kuwahi kufika kileleni, saratani ya tezi dume, ugumba au Kushindwa kutungisha mimba.basi tambua kuwa una mapungufu pia ya madini ya Zinc mwilini mwako!

Mwili hauna uwezo wa kutunza au kuzalisha Zinc, hivyo inahitajika wewe mwenyewe uweze kuulisha Zinc ya kutosha ili kuendana na mahitaji yako ya kila siku.

MADINI YA ZINC PIA HUSAIDIA

1 Kusawazisha kiwango cha sukari katika mwili

2 Kusaidia utengenezwaji wa protini kwenye mwili

3 Kusaidia kusapoti mfumo wa upumuaji

4 Kuongeza ufanyaji kazi wa seli za mwili

5 Huboresha Afya Ya Uzazi Ya Mwanamme na tendo la ndoa.

6. Uboreshaji wa mfumo wa neva kwenye ubongo Ambao ni muhimu sana katika ufanisi wa tendo.

Napata wapi haya madini?

• Samaki jamii ya shellfish, dagaa, pweza nakadhalika.

• Nyama

• Nyama za Wanyama jamii ya ndege

• Mboga jamii ya kunde

• Mayai

• Mbegu zisizokobolewa

• Baadhi ya mboga za majani k**a broccoli, bamia,uyoga na kunde.

Kutokana na mfumo wa maisha na uzalishaji wa lishe hupelekea kupata lishe katika kiwango kidgo sana vyakula vingi vya sasa ni ngumu kupata haya madini muhimu kutokana na maandalizi ya hivi vyakula kuwa na usasa mwingi toka vikiwa shambani namaanisha Mbolea za kisasa na unyunyiziaji wa Madawa kuua wadudu.

Hivyo tumekuandalia Natural premium package ambayo imetengenezwa na kuhifadhiwa katika mfumo wa virutubisho ili kukusaidia kupata ile lishe sahihi.

KWA MAHITAJI YA PROGRAM ZA VIRUTUBISHO UNAWEZA UKANITAFUTA 👇🏽

𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0744052573

09/06/2022

ULAJI wa maboga ni muhimu lakini ni Watanzania wachache wanaojua faida ya boga na mbegu zake. Mbegu za maboga zimesheheni protini na madini kadhaa k**a vile chuma, kopa, maginizia, manganizi na zinki, mbegu za maboga zinakuwa mbegu
bora na muhimu kutafuna kila wakati baada ya kuzikaanga au zikiwa mbichi au k**a zimepikwa na boga lenyewe kwani imethibitika pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida lukuki kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi ya 10.
KIBOFU CHA MKOJO
Mbegu za maboga zimekuwa zikitumika kuimarisha afya ya wanaume kutokana na kuwa na kiasi kingi sana cha madini aina ya Zinc ambayo ni muhimu sana kwa afya ya kibofu cha mkojo Urinery Bladder. Mbegu za maboga pamoja na mafuta yake, yote kwa pamoja hutoa kinga kwenye kibofu kupatwa na matatizo ya kiafya, yakiwemo yale ya saratani ya kibofu.
KINGA YA MWILI
Mbegu za maboga zenye kiasi kingi cha madini ya Zinc yana faida nyingi mwilini, ikiwemo kuimarisha kinga ya mwili, kuboresha ukuaji na uundaji wa chembechembe hai za mwili, kuboresha usingizi, kuboresha ladha mdomoni na harufu, huboresha afya ya macho na ngozi, hurekebisha kwenye damu sukari na huboresha nguvu
za kiume pia huongeza uwezo wa kufikiri. Upungufu wa madini ya Zinc mwilini una uhusiano mkubwa sana na matatizo ya kuzaa watoto njiti, mwanamke au mwanaume kuota chunusi nyingi mwilini, watoto kuwa na uwezo mdogo wa kuelewa wanachofundishwa darasani kimasomo na matatizo mengine mengi ya kimwili na kiakili.
Mbegu za Maboga
MAFUTA YA OMEGA -3
Omega-3 ni moja kati ya mafuta muhimu sana mwilini. Jamii ya karanga pamoja na mbegu za maboga ni miongoni mwa mbegu zenye kiasi kingi cha mafuta aina hii. Hivyo ulaji wa mbegu za maboga utakuwezesha kupata kirutubisho hiki muhimu katika mwili wako na kukupa faida za mafuta haya ambazo ni nyingi.
UGONJWA WA MOYO
Mbegu za maboga zina kiasi kingi cha madini aina ya maginizia Magnesium ambayo huboresha utendaji kazi wa viungo vya mwili. Huimarisha usukumaji wa damu kwenye moyo, huimarisha ukuaji wa mifupa na meno, huifanya mishipa ya damu kupitisha damu kwa urahisi na hufanya upatikanaji wa haja kubwa kuwa laini.
KINGA DHIDI YA SARATANI
Imethibitika kwamba watu ambao hula mlo wenye kiasi kingi cha mbegu za maboga wamegundulika kuwa na hatari ndogo sana ya kupatwa na saratani za tumbo, matiti, mapafu na kibofu, hivyo unapokula mbegu hizi husaidia mambo hayo na mengine mengi.
UGONJWA WA KISUKARI
Utafiti uliofanywa kwa kuwalisha wanyama mbegu za maboga, umeonesha kuwa ulaji wa mbegu za maboga, husaidia kurekebisha kiwango cha Insulin mwilini na hivyo kumuepusha mtu kupatwa na ugonjwa hatari wa kisukari.
MATATIZO YA UKOMO WA Hedhi.
Mara nyingi akina mama watu wazima ambao wamefikia ukomo wa hedhi, hupatwa na matatizo mbalimbali yanayosababishwa na hali hiyo. Hata hivyo, wataalamu wamegundua kwamba ulaji wa mbegu umeonesha kuwa mbegu za maboga zina uwezo wa kurekebisha hali hiyo na kuondoa kabisa matatizo ya kiafya yatokanayo na ukomo wa hedhi.
AFYA YA MOYO NA MAINI
Mbegu za maboga, ambazo zina kiasi kingi cha mafuta mazuri, kamba lishe Fibre na virutubisho vinavyoimarisha
kinga ya mwili Antioxidants, zimeonekana kuwa bora pia kwa afya ya moyo na ini, huweza kumpatia mlaji kinga dhidi ya matatizo ya kiafya katika moyo na ini.
DAWA YA USINGIZI
Mbegu za maboga zimegundulika pia kuwa na kirutubisho kinachozalisha homoni za usingizi.
Ulaji wa mbegu za maboga saa chache kabla ya kupanda kitandani, hasa ukila pamoja na tunda lolote, kunasaidia kupata usingizi mzuri mwororo.
Mbegu za Maboga
DAWA YA UVIMBE
Wataalamu wamethibitisha kwamba mbegu za maboga zina mafuta yenye uwezo wa kutoa kinga dhidi ya magonjwa ya uvimbe Inflamatory Diseases sawa na dawa aina ya Indomethacin lakini mbegu hizi hazina madhara k**a ilivyo kwa hiyo dawa, ndiyo maana tunahimiza kutumia mbegu za maboga ambazo huwa ni dawa asili.
JINSI YA KULA MBEGU ZA Maboga.

Ili kupata faida zake zote, zikiwemo zile za mafuta yake, inashauriwa kula mbegu hizo zikiwa kavu, bila kuzikaanga japokuwa zilizokaangwa bila kuunguzwa nazo siyo mbaya.

USHAURI Hakikisha pia unapata mbegu zilizohifadhiwa vizuri ambazo
hazijaoza wala kuwa na fangasi. Iwapo utapenda kuzikaanga, basi hakikisha unazikaanga kwa muda usiozidi dakika 15, unaweza pia kuongeza chumvi kidogo kupata ladha, lakini za kukaanga zitakuwa hazina mafuta mengi k**a zile kavu.

11/05/2022

𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝟱 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗜𝗟𝗜 𝗨𝗙𝗨𝗥𝗔𝗛𝗜𝗘 𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗟𝗔 𝗡𝗗𝗢𝗔.

𝟭.KULA CHAKULA KIASI.
Kushiba sana kabla ya tendo la ndoa itakusababishia uchovu, usingizi na uvivu katikati ya tendo la ndoa. Epuka vyakula na vinywaji vinavyongeza nguvu kwani vitachangia kukuchosha wakati wa tendo.

2.USIBISHANE NA MWENZIO.
Hii itasababisha kupoteza nia na hamu ya kufanya tendo na hivyo kukukosesha raha katikati ya tendo. Epuka hasira na mawazo kabla na wakati wa tendo.

3.USIWE NA HOFU JUU YA MWILI WAKO NA MAUMBILE YAKO.
Hii itakusaidia kujiamini na kujiheshimu mbele ya mwenza wako na jaribu kuweka mawazo sana katika sehemu ya mwili wa mwenza wako unayoikubali zaidi.

4.USITEGEMEE MENGI NA MAZURI TU.
Kumbuka miili ya binadamu iko tofauti hivyo jiandae kukubaliana na lolote asa unapofanya mapenzi kwa mara ya kwanza au na mpenzi mpya .

5.USIFANYE MAPENZI KIMYA KIMYA.
Ongea au toa sauti pale unaposkia raha itasaidia kuongeza hamu na kupata hamasa zaidi ya kumfurahisha mwenzio.

Nikutakie Utekelezaji Mwema 💪💪

Wasiliana nasi au tucheki WhatsApp no 0625370424 kupata bidhaa na ushauri

11/05/2022

Tumia virutubisho kujiimalisha na sio madawa, upungufu wa nguvu za kiume sio Ugojwa ni mabadiliko kutokana na mifumo mibaya ya maisha tuliyonayo k**a Ulaji mbaya, kukosa mazoezi, Utumiaji wa pombe na sigara au madawa ya kulevya, kukosa muda mzuri kulala usiku ili mwili upumzike, Stress, Matumizi mabaya ya madawa ya hospitalini (kuna watu kichwa kikiuma tu dawa kila muda kumbuka izo ni sumu unaweka mwilini), Matumizi ya madawa ya kujiboost ukitegemea kujiimalisha zaidi kumbe bila kujua unaharibu zaidi N. K

Ili kurudi Sawa tumia tiba lishe usitumie madawa

Kwa mwongozo zaidi Tuma ujumbe neno AFYA sasa hivi kwenda WhatsApp namba 0625370424 au piga usaidiwe mape

11/05/2022

𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝟱 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗜𝗟𝗜 𝗨𝗙𝗨𝗥𝗔𝗛𝗜𝗘 𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗟𝗔 𝗡𝗗𝗢𝗔.

𝟭.KULA CHAKULA KIASI.
Kushiba sana kabla ya tendo la ndoa itakusababishia uchovu, usingizi na uvivu katikati ya tendo la ndoa. Epuka vyakula na vinywaji vinavyongeza nguvu kwani vitachangia kukuchosha wakati wa tendo.

2.USIBISHANE NA MWENZIO.
Hii itasababisha kupoteza nia na hamu ya kufanya tendo na hivyo kukukosesha raha katikati ya tendo. Epuka hasira na mawazo kabla na wakati wa tendo.

3.USIWE NA HOFU JUU YA MWILI WAKO NA MAUMBILE YAKO.
Hii itakusaidia kujiamini na kujiheshimu mbele ya mwenza wako na jaribu kuweka mawazo sana katika sehemu ya mwili wa mwenza wako unayoikubali zaidi.

4.USITEGEMEE MENGI NA MAZURI TU.
Kumbuka miili ya binadamu iko tofauti hivyo jiandae kukubaliana na lolote asa unapofanya mapenzi kwa mara ya kwanza au na mpenzi mpya .

5.USIFANYE MAPENZI KIMYA KIMYA.
Ongea au toa sauti pale unaposkia raha itasaidia kuongeza hamu na kupata hamasa zaidi ya kumfurahisha mwenzio.

Nikutakie Utekelezaji Mwema 💪💪

Wasiliana nasi au tucheki WhatsApp no 0744052573 kupata bidhaa na ushauri

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Kariakoo
Dar Es Salaam