Nala Hair and Cosmetics

Nala Hair and Cosmetics

Share

Get the best cosmetics products

20/03/2024

💥TUNAFUNDISHA KUTENGENEZA 💥
https://wa.me/255714941274
🌸Changamkia fursa ya biashara ya losheni
🌸Tupigie simu: 0676 544 172
🌸Tunafundisha kutengeneza losheni aina zote
Cream ya VIP zote yani 1,2,3
https://wa.me/255714941274
Cream ya bridal (ya maharusi)
whitening cream
face cream
https://wa.me/255714941274
serum
🌸Ukihitaji body cream na Face cream unapata
🌸Whitening na brightening utapata kwa bei nafuu
location : salasala kilimani juu
Bei : 25000
🌸Tupigie simu: 0676 544 172
🌸Gusa: https://wa.me/255714941274

22/11/2023

Hello Dear Karibu sana Nala cosmetics lotion zipo za bei tofauti lotion yetu ni nzuli sana imetengenezwa kwenye mimea asili asili mia kwa mia
Inangarisha kwa haraka pia tuna face cream nzuli sanaaa , serum ndo usiseme ni kiboko Yao 🔥 🔥 🔥
K**a kuna lotion nzuliii ni hii tena haichubuw unankaa kistaa

31/10/2023

NALA BEAUTY

ITAKUNGA'ARISHA KWA SIKU 3 TU

Tupigie simu: +255 676 544 172

Karibu ung'ae na Nala Beauty

Mimi na wengi tunaotumia ni shahidi, namna mafuta yalivyotupendeza

Hayachagui, hayabagui, Utapendeza k**a mimi

wa.me/255676544172

Matokeo ndani ya Siku 3 tu, UTALETA MREJESHO

Unataka ushauri, njoo tukushauri buree

Itakupa rangi matata na rangi moja.

Itakung'arisha na kukulainisha kwa haraka.

Itakutakatisha, Unakuwa mlaini and smooth.

wa.me/255676544172

Itakusafisha na kukupa mwonekano wa baby soft.

Matokeo ndani ya SIKU 3 unaanza kudamshi.

Popote ulipo, Tutakuletea, Dar delivery ipo

Mikoa yote Tunasafirisha, Tanzania na Zanzibar

Karibu uwe wakala wetu, mtaji mdogo na faida mara mbili

wa.me/255676544172

Ukiwa wakala wetu, Hutokaa na mzigo, bidhaa zetu zinatoka sana

Kwa uaminifu mkubwa wateja wa mikoani AGIZENI utapokea mzigo wako losheni elfu 25 na 17 au serum elfu 15

Tupigie simu: +255 676 544 172

Photos from Nala Hair and Cosmetics's post 29/08/2023

Hello Karibu Nala Cosmetics Kupata suluhisho ya mambo haya:-

1. Kung’arisha ngozi
2. Kufanya ngozi kuwa nyeupee
3. Kuondoa Makunyanzi,Makovu au madoa
4. Kuondoa Michirizi au mabaka kwenye ngozi
5. Kuondoa weusi Mapajani
6. Kuondoa mafuta kwenye ngozi
7. Kuondoa weusi chini ya macho
8. Kuondoa Chunusi

➡️Kwa mawasiliano zaidi piga ☎️ whatsup 0676544172

23/06/2023

I got 20 reactions and 74 replies on my recent top post! Thank you all for your continued support. I could not have done it without you. 🙏🤗🎉

CREAM:
- Hii itasaidia kutoa unyevu na lishe kwa ngozi yako.
- Itasaidia kulinda ngozi kutokana na uchafu, jua, na mambo mengine ya nje.
- Pia itasaidia kudumisha unyevu wa ngozi na kuifanya iwe laini na yenye afya.
▶️ Hii kopo kubwa (500ML) ni Tsh 50,000/
▶️ Hii kopo dogo. (250ML) ni Tsh 25,000/

14/06/2023

Hello Karibu Nala Cosmetics Kupata suluhisho ya mambo haya:-

1. Kung’arisha ngozi
2. Kufanya ngozi kuwa nyeupee
3. Kuondoa Makunyanzi,Makovu au madoa
4. Kuondoa Michirizi au mabaka kwenye ngozi
5. Kuondoa weusi Mapajani
6. Kuondoa mafuta kwenye ngozi
7. Kuondoa weusi chini ya macho
8. Kuondoa Chunusi

➡️Unahitaji product kwa ajili ya changamoto namba ngapi hapa juu??

Send a message to learn more

03/06/2023

NALA CREAM Inakupa rangi moja mwili mzima

✅Inaondoa mafuta usoni

✅Inatoa chunusi

✅ Inaondoa madoa

✅ Inaondoa makunyanzi

✅Inang'arisha ngozi iliyofubaa na jua

✅Inaondoa weusi chini ya macho

▶️LOTION kopo kubwa (500ml) 50,000/-

▶️LOTION KOPO DOGO (250ml) 25,000/-

▶️SERUM 20,000/-

▶️SCRUB 25,000/-

▶️GELL YA KUMALIZA SUGU - 25,000/-

▶️SABUNI-15,000/-

📍TUNAPATIKANA DSM 0676544172

(KWA HUDUMA YA HARAKA)
WhatsApp/Call 0676544172

27/05/2023

SCRUB:
- Scrub itasaidia kuondoa seli za ngozi zilizokufa na uchafu.
- Itasaidia kufanya ngozi iwe laini, yenye kung’aa na inayohisi safi.
- Pia itasaidia kupunguza ngozi iliyokufa na kuondoa vipele vidogo kwenye ngozi.
▶️ Hii ni Tsh 25,000/- tu

27/05/2023

SERUM
:(Niacinamide Serum)
- Serum hii itasaidia kuleta virutubisho muhimu kwa ngozi yako.
- Itasaidia kuboresha muonekano wa ngozi kwa kutoa unyevu, kufanya ngozi iwe na rangi ya umoja, na kupunguza alama za ngozi k**a vile mikunjo , na kuundoa darsposk madoa
▶️ Hii ni Tsh 20,000/-

27/05/2023

BODY OIL:
- Mafuta haya yatasaidia kulainisha ngozi na kuifanya ionekane yenye kung’aa.
- Yatasaidia kudumisha unyevu wa ngozi na kuzuia ngozi kavu.
- Pia yatasaidia kuboresha collagen ya ngozi na kupunguza mikunjo.
▶️ Hii ni Tsh 35,000/

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address

Dar Es Salaam