NURU YANGU

NURU YANGU

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NURU YANGU, Health/Beauty, mahugijafar@gmail. com, Dar es Salaam.

19/12/2019

Msongo wa mawazo hausababishi vidonda vya tumbo moja kwa moja ila hufanya hali kuwa mbaya zaidi kwa wagonjwa. Uvutaji wa sigara utakuweka kwenye hatari zaidi ya kuanza vidonda vipya na kuzuia vidonda vingine visipone.

EVERTON YAMTIMUA MARCO SILVA 06/12/2019

EVERTON YAMTIMUA MARCO SILVA Club ya Everton imemfuta kazi kocha wake Marco Silva ikiwa ni siku moja imepita toka club hiyo ifungwe 5-2 dhidi ya Liverpool katika u...

JE, WAJUA FAIDA NA HASARA ZA KUNYWA CHAI AU KAHAWA WAKATI WA ASUBUHI AU JIONI? 05/12/2019

JE, WAJUA FAIDA NA HASARA ZA KUNYWA CHAI AU KAHAWA WAKATI WA ASUBUHI AU JIONI? WAJUA FAIDA NA HASARA ZA KUNYWA CHAI AU KAHAWA WAKATI WA ASUBUHI AU JIONI? Kahawa au Chai inaweza kukuongezea nguvu mwilini, husai...

Serikali yapiga marufuku matumizi ya dawa za aina tatu kwa wenye kiungulia na vidonda vya tumbo 29/11/2019

https://jamii.app/BanHeartburnMedication

Serikali yapiga marufuku matumizi ya dawa za aina tatu kwa wenye kiungulia na vidonda vya tumbo Afisa Habari Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), Gaudencia Semwanza MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) imewataka watu wote waliokuwa wanatumia dawa za Raniplex 150 mg, Rantac 500mg/mL na Aciloc 150mg, ambazo hutumika kwa kiungulia na vidonda vya tumbo kuacha mara moja na...

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ajutia kuwaweka ndani Watumishi wa Umma bila kuwasikiliza. Ataka Viongozi vijana wajisahihishe 29/11/2019

https://jamii.app/BanHeartburnMedication

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ajutia kuwaweka ndani Watumishi wa Umma bila kuwasikiliza. Ataka Viongozi vijana wajisahihishe Anaanza kwa kuelezea; "Mwaka 2012 niliteuliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mkuu wa Wilaya na kituo cha kuanzia kazi kilikuwa ni Korogwe. Wakati huo nilikuwa Kijana zaidi ya sasa. Walimu ni watumishi ninao wapenda sana wakati wote wa Uongozi wangu. Wakati wote wa Uongozi wangu nimekuwa mtetezi wao...

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Address

Mahugijafar@gmail. Com
Dar Es Salaam
12113