Afya
Health wealth peace and care
27/09/2023
FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME
*O713625894*
Vyanzo Vipo Vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Kisukari
Kuwa na mawazo na wasiwasi
Matumizi ya madawa mbalimbali
Umri hasa wazee
Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
Kuwa na tatizo la kibofu
Tabia za kujichua kwa mda mrefu
Kutopata usingizi kamili
Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Kuwahi kufika kileleni
Kukosa hamu ya mapenzi
Kushindwa kurudia tendo la ndoa
Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
TIBA YETU ITAKUSAIDIA;
Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
Kusafisha kibofu Cha Mojo
Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
Kwa mawasiliano zaidi
Piga 0744336777 Karibu Tukuhudumie
27/09/2023
MADHARA YA KITAMBI NA UZITO ULIOPITILIZA NA ONGEZEKO LA VIFO VINAVYOTOKANA NA CHANGAMOTO HIZO.
Zamani ilikuwa ukiwa na kitambi au mnene unaonekana tajiri wa pesa, lakini siku hizi ukiwa na kitambi unaonekana kuwa tajiri wa Magonjwa anayeiandaa safari ya kwenda kujenga urafiki na hospitali kubwa kubwa kwa kutumia gharama kubwa mno ambazo zitamtia umaskini wa kudumu. Matatizo ya Cholesterol, presha BP, kisukari, vidonda vya tumbo, ini, figo, kansa, matatizo ya uzazi, upungufu nguvu za Kiume na stroke hapo kwenye watu wenye uzito mkubwa na vitambi ni mahali pake.
Magonjwa mengi yanayoshambulia waafrika yanatokana na lifestyle mbaya ya ulaji wa vyakula tunavyotumia. wengi wanafikiri kufanya mazoezi na kushinda njaa kutawafanya wapungue kumbe sio kweli. Hauwezi kupungua k**a haujaziondoa kemikalli mwilini ambazo zinaulazimisha mwili wako kuhifadhi mafuta.
Wanawake wengi nao sku hizi wanavitambi ambavyo vinaleta shepu mbaya na kupoteza mvuto wote hata k**a wakivaa nguo mpya bado wanaonekana wazee. Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke mwenye Tumbo kubwa, pia hawavutiwi na mwanamke mnene sababu hawana shepu nzuri. Wanawake wengi hupata vitambi baada ya kujifua mtoto, mafuta huifadhiwa kwenye leya ya maeneo ya tumbo. Pia vitambi vingine hutokana na ulaji wa chips, vyakula vya wanga kwa wingi na unywaji wa bia. Wengi wao Hawajui gharama inayowanyemelea ya kupoteza pesa nyingi kwenye mahospitali.
Fikiria umefanya kazi na umepata pesa nyingi ambazo zitaishia kuhangaikia kuyatibu magonjwa sugu uliyoyatafuta kwa starehe zako za sasa.
Hepuka matatizo hayo yote kwa kupata ushauri wa bure na kupata virutubisho natural Maalum ili kuondoa kemikali mwilini na kupunguza uzito na Kitambi. namba yang 0744336777 kwa ushauri zaidi kuhusu afya na madaktari waliojitoa kusaidia watu kulinda afya zao.
27/09/2023
YAJUE MAGONJWA YA MOYO
DR ABUU.
Magonjwa ya Moyo ni magonjwa yanayoambatana na kuathiri moyo. Mara nyingi magonjwa ya moyo yanaambatana na mishipa ya damu kuwa na tatizo ambapo moyo hushindwa kufanya kazi, moyo hutegemea damu ambayo hubeba oxygen, madini, vitamins, kinga ya mwili, joto, homoni na vingine vingi.Zipo aina mbalimbali za magonjwa ya moyo hutofautiana japo yote huathiri moyo, nayo ni;
1: Ugonjwa wa moyo unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu (Coronary artery disease) Hili ni tatizo linalowakuta watu wengi, mishipa ya damu hupasuka na kuharibika hii hutokana na mishipa ya damu kuwa na uchafu na mafuta mengi na kufanya damu isipite vizuri.
2: Mapigo ya moyo kwenda tofauti (Heart Arrhythmias) Hii hutokea pale mapigo ya moyo kwenda taratibu isivyo kawaida au kwenda haraka isivyo kawaisda, pia mapigo ya moyo kwenda ovyo. Hii ni hatari sana na huua sana.
3:Moyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure) Hii ni hali moyo hushindwa kufanya kazi yake k**a kupampu na kusambaza damu, kusambaza oxygen. Hii inaweza kutokea kwa mtu mwenye magonjwa k**a ugonjwa wa moyo wa misipa kuathirika, Shinikizo la damu, na magonjwa mengine.
4:Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa (Congenital heart disease) Haya ni magonjwa ambayo wengi huzaliwa nayo, yanaweza kuwa ni baadhi ya kasoro katika mwili k**a baadhi ya chemba za moyo kuziba au kupasuka, oxygen kupita kwa shida na vinginevyo.
5:Ugonjwa wa valvu na misuli ya moyo (Heart Valve Disease & Cardiomyopathy (Heart Muscle Disease)) Katika moyo kuna chema nne nazo zinapitisha damu na oxygen kutoka kwenye mapafu, valvu hufunguka na kufunga. Valvu na misuli ikiwa imepasuka na kuharibika husababisha tatizo la moyo.
6:Moyo kutanuka. Hii hutokea pale damu ikiingia ndani ya moyo harafu mishipa ya kutoa damu ikiwa na tatizo ikashindwa kutoa damu nje ya moyo moyo utaanza kutanuka siku hadi siku. Kutanuka kwa moyo kunatokea usipotibu baadhi ya matatizo k**a shinikizo la damu, moyo kwenda mbio, valvu na misuli ya moyo n.k.
7:Shinikizo la damu (B.P) ni shinikizo la damu yako kwenye kuta za mishipa yako kwani moyo wako unasukuma karibu na mwili wako. Unaweza kuwa na shinikizo la damu (shinikizo la damu) kwa miaka bila dalili yoyote.
8:Mshtuko/ Shambulio la moyo (Heart Attack). Ni kifo cha sehemu ya misuli ya moyo inayosababishwa na kuzuiwa wa usambazaji wa damu. Amana zilizo na mafuta huunda kwa wakati, na kutengeneza alama katika mishipa ya moyo wakoIkiwa baadhi ya misuli ya moyo inakufa, mtu hupata maumivu ya kifua na kukosekana kwa umeme kwa tishu za misuli ya moyo.
8:Chembe ya Moyo. Hii ni maumivu ya upande wa moyo maeneo ya kifua hutokea wakati unafanya kazi au hata k**a umekaa k**a ni yenye kukubuhu. Maumivu haya huambatana na kutokwa jasho na kukosa hewa. Hutokana na moyo kukosa damu ya kutosha. Namb yang ya sim 0744336777 ili upate ushauli pamoj na tiba
27/09/2023
JINSI YA KUTUMIA TAREHE /KALENDA KUPANGA NA KUEPUKA MIMBA
Kutokana na wanawake wengi kutokujua mizunguko yao ya hedhi hivyo huwawia vigumu kujua ni siku gani akutane na mumewe au aepuke ili kubeba mimba au kutoshika mimba
Ni muhimu sana mwanamke kujua mzunguko wake wa hedhi, ambapo mizunguko hiyo ipo ya aina Tatu hivyo unapaswa kutambua mzunguko wako ni upi.
NAMNA YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI
ili kujua siku nzuri ya kupata mimba au kuepuka ni lazima kwanza ujue siku ya KILELE (productive/fetal day) kwa maana kwamba ujue siku ambayo huitwa SIKU YA KUMI NA NNE
Napenda mtambue kuwa wanawake mnatofautiana katika swala la urefu wa mzunguko wa hedhi (menstrual periods) yani idadi ya siku ya kwanza ya period mpaka hedhi ya pili
wanawake wengi huwa mnaangukia kwenye tarehe 22_35 ingawa wapo walio kawaida wanachukua siku 28 vilevile wengine Wana mizunguko miwili yani mfupi na mrefu hivyo walio na mzunguko mfupi mathalani wale wenye siku 22 huwa Wana kipindi kifupi cha utokaji damu yan damu inaweza kukatika ndani ya siku mbili huwa ni tofaut na mtu mwenye mzunguko wa siku 31_35 kwani wao huwa na kipindi kirefu cha utokaji damu.
JE, UNAIJUA SIKU YA MIMBA???
Watu wengi huwa wanachemka ktk swala hili la mzunguko wa hedhi na kutambua siku ya mimba ni ipi wao hufikiri siku ya mimba ni Ile siku ya kumi na nne baada ya Dalili za kwanza za damu, wao huhesabu kuanzia Ile siku damu ilipoanza kutoka hadi siku ya kumi na nne, kwa utaratbu huu wengi wanafeli hii ni kwasababu wanawake Wana mizunguko tofauti kwa urefu hivyo bas nakuelekeza ili ujue siku ya mimba ni ipi
Kwanza inabid ujue mzunguko wako ni upi??? Yan mfupi /mrefu /wa kawaida
baada ya kujua urefu wa mzunguko wako chagua (pin_ point) yani siku Ile ya mwisho halafu uhesabu kurudi nyuma (backwards) siku kumi na tano kuanzia siku Ile ya mwisho yani siku kumi na tano kuanzia mwisho ndio siku ya mimba, hapa namaansha ukishafahamu siku ya kumi na tano kutoka mwisho hukuwezesha kufaham siku ya kupata ujauzito
kwa utaratbu huu ndugu msomaji utagundua karibia wanawake wote au wew mwenyew unatumia njia za Zaman ambazo huwafaa watu wenye mzunguko wa siku 28 tu hivyo nakupa mifano Hai jinsi ya kutumia kalenda kwa mizunguko yote.
MZUNGUKO WA SIKU 28
tengeneneza kalenda yako ya siku 28 yani hivi 1/2/3/4/5/6/7/8/9/10/11/12/13/
14/15/16/17/18/19/20/21/22/23/
24/25/26/27/28
Baada ya kuandaa hesabu kuanzia 28 mpaka siku ya kumi na tano ambayo itaangukia Kwenye (14th) day sasa hiyo ndio siku ya kubeba mimba kwa mwanamke yoyote mwenye mzunguko wa siku 28 Lakin kwakua kipindi cha ovulation kinaanza siku ya 4_5 kabla ya ovulation na humalizika masaa 24_48 hivyo unapaswa kujikinga kuanzia tareh 12_16 kuepuka mimba hii ni kwasababu mbegu za mwanaume Zina uwezo wa kudumu kwa masaa 24_48 baada ya kujamiiana,
NOTED :siku ya kwanza ndio siku unayoanza kubreed.
MZUNGUKO WA SIKU 22
tengeneneza kalenda yako ya siku 22 yani hivi
1/2/3/4/5/6/7/8/9/10/11/12/13/
14/15/16/17/18/19/20/21/22/
Baada ya kuandaa hesabu kuanzia 22 kurudi nyuma mpaka siku ya kumi na tano ambayo itaangukia Kwenye (8th)hivyo siku hiyo ni siku ya hatari kubeba mimba ila kwa kuangalia ovulation inabid ujikinge kuanzia tarehe 6_10 kuepuka mimba hii ni kwasababu mbegu za mwanaume Zina uwezo wa kudumu kwa muda wa masaa 24_48 kumbuka tareh moja ndio siku unayoanza kubreed
MZUNGUKO WA SIKU 35
Tengeneneza kalenda yako ya siku 35 yani k**a hivi
1/2/3/4/5/6/7/8/9/10/11/12/13/
14/15/16/17/18/19/20/21/22/23/
24/25/26/27/28/29/30/31/32/33/34/35/
Baada ya kuandaa hesabu kuanzia 35 kurudi nyuma mpaka sku ya kumi na tano ambayo itaangukia Kwenye (21th)hivyo hiyo siku ni ya hatar kubeba mimba ila kutokana na ovulation inabid uanze kujizuia kuanzia tareh,19_23 kuepuka mimba hii ni kwasababu mbegu za mwanaume Zina uwezo wa kudumu kwa masaa 24_48 baada ya kujamiiana
MZUNGUKO USIO WA KAWAIDA WA SIKU KUMI NA TANO
Mara nyingi Watu Hawa huwa na mzunguko wa siku 15_18 Hawa huwa na wa kutokushika mimba hivyo kwanza tengeneneza mzunguko wa siku zako
1/2/3/4/5/6/7/8/9/10/11/12 /13/14/15 Kisha Anza kuhesabu kuanzia 15 kurud nyuma mpaka ufike siku kumi na tano Bila Shaka itaangukia Kwenye (1st) hivyo siku ya kwanza ya mzunguko wa mwanamke yoyote mwenye mzunguko wa siku 15 ndio siku hyo mimba inaingia (hata wa siku kumi na nane follow above) kumbuka siku ya kwanza ndio siku unayoanza kubreed pia ndio siku hyo unaweza kupata mimba hii inamaanisha kwamba siku ambayo linaharibika lile yai la kwanza ndio siku hyo hiyo yai la upande wa pili linapevuka n kuwa tayar kurutubishwa, Mara nyingi mwanamke wa kundi hili anaweza kupata mimba k**a atakutana na mwanaume wake siku Ile anayoanza hedhi kwani n siku ambayo yai linaharibika na ndio siku hyo yai moja linapevuka na kuwa tayar kurutubishwa
Mara nyingi wanawake wa kundi hili huwa hawapati ute wa Uzazi ambao wenzao huwa wanapata siku Ile yai linapevuka wao hupata ute uliochanganyikana na damu kwakua ndio siku hyo ya kuanza breed
NDUGU msomaji ni matumaini yangu umejifunza na kuelewa jinsi ya kupanga kupata mimba au kuepuka nimeamua kuandaa somo hili ili kupunguza utoaji wa mimba na madhara wanayoyapata wanawake wanaotumia vidonge vya Uzazi wa mpango hivyo ni vizuri KUTUMIA KALENDA ILI KUEPUKANA NA MADHARA YA SINDANO NA VIDONGE VYA UZAZ WA MPANGO AMBAYO NI MAKUBWA K**A VILE KUPATA SARATAN YA MATITI, KUWA MGUMBA, KUPATA UVIMBE KATIKA KIZAZI, HUSABABISHA KUBLEED SANA NK,
COMMENT NAMBA YANGU IYAPO 0744336777 NIPIGIE UPATE USHAURI ZAIDI KUHUSU AFYA YA UZAZI.
27/09/2023
ATHARI ZA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO
Hadi sasa kuna aina kuu mbili tu za vidonge vya uzazi vinavyotumiwa na wanawake katika mpango huo, ingawa aina zote hizo zina vichocheo (hormons). Aina hizo kitaalamu zinaitwa Estrogen na Progesteron. Estrogen ni aina ya kichocheo kinachotengenezwa na uterasi/kizazi, kinachosaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi, kwa kuongoza ukuaji wa kuta za uterasi kwenye sehemu ya kwanza ya mzunguko wa hedhi.
Kwa upande wake, Progesterone, hiki ni kichocheo cha kopasi luteamu ya ovari, kinachosaidia kuanzisha mabadiliko katika endometriumu baada ya kurutubishwa mayai.
Ingawa katika aina hizo mbili za vidonge, kuna vingine vina kichocheo cha aina moja tu, kwa maana ya ama Estrogen au Progesterone, huku vingine vikiwa na vichocheo vyote viwili. Lakini vidonge vyote hivyo ni salama, na vinafanya kazi kwa kufanya ute mzito kwenye shingo ya mji wa mimba na kuzuia kupevuka kwa yai, hivyo kuzuia mimba kwa kiwango cha asilimia 99.
Vidonge vya uzazi wa mpango vinaweza pia kutumika k**a tiba ya kuweka sawa mzunguko wa hedhi, kuzuia maumivu makali wakati wa hedhi, kutibu chunusi pamoja na kupunguza hatari ya magonjwa katika via vya uzazi, ambayo hayatokani au kusababishwa na magonjwa ya ngono.
Hata hivyo, pamoja na usalama wa vidonge hivyo katika kufanya kazi yake hiyo ya kuzuia mimba na tiba kwa magonjwa hayo, vidonge hivyo vinaweza kumsababishia athari za kiafya mwanamke k**a havitatumika katika mpangilio sahihi.
Athari kuu 10 zinazoweza kusababishwa na vidonge hivyo ni pamoja na kutokwa na damu ukeni baada ya hedhi ya kawaida. Athari hiyo huweza kuwapata asilimia 50 ya wanawake wote wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango.
Hali hii huweza kuwatokea ndani ya miezi mitatu baada ya kuanza matumizi ya dawa hizi. Kwa ujumla, hali hiyo huweza kukoma kwa zaidi ya asilimia 90, pindi mwanamke anapoanza kutumia pakti ya tatu ya dawa hizo katika kipindi hicho cha hedhi. Mwanamke anapotokewa na hali hiyo kwa mfululizo wa siku tano au zaidi baada ya kumaliza siku zake za kawaida za hedhi, anashauriwa kuwasiliana na mhudumu wa afya wakati akiendelea kutumia dawa hizo.
Athari ya pili, ni kujisikia kichefuchefu. Mara nyingi hali hii humtokea mwanamke mwanzoni tu baada ya kuanza kumeza vidonge vya uzazi wa mpango, ingawa hali hii inaweza kukoma baada ya siku chache. Inashauriwa pia kwa mwanamke anayepatwa na hali hii ya kichefuchefu kuwasiliana na mhudumu wa afya k**a ataona hali hiyo inazidi.
Matiti kujaa au kuwa na maumivu, ni athari nyingine inayoweza kusababisha na matumizi ya vidonge hivyo. Hali hii huweza kumpata baada ya kuanza kutumia vidonge hivyo, na huweza kukoma ndani ya wiki moja tu. Hata hivyo, inashauriwa kwamba ikiwa matiti hayo yatatokwa na uvimbe au maumivu yasiyoisha, ni muhimu kutafuta tiba kwa wahudumu wa afya, ikiwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya kinywaji chenye kafeini (caffeine) na chumvi na kuvaa brauzi isiyobana matiti.
Maumivu ya kichwa ni athari nyingine inayoweza kumtokea mwanamke, ingawa pia kuumwa kichwa kunaweza kuwa na dalili za magonjwa mengine. Hata hivyo, k**a itatokea maumivu hayo ya kichwa yakaanza tu mara baada ya kumeza vidonge hivyo.
Vidonge vya uzazi wa mpango huweza pia kuongeza uzito wa mtumiaji, ingawa tafiti nyingine zimeshindwa kuthibitisha uhusiano uliopo kati ya vidonge hivyo na mabadiliko ya uzito wa mtumiaji. Mabadiliko ya hisia huweza pia kumtokea mwanamke anayeanza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango.
dalili hizi ni mbaya kiafya kwa mtu mwenye historia ya ugonjwa wa kushuka moyo (Depression). NAMBA 0744336777 ushauri zaidi wa afya bure.
27/09/2023
FURSA ZA KAZI LIKA ZOTE EWE BAB MAMA KAKA DADA N.K TUNAWAKALIBISHA KALIBUNI SANA NICHEKI no: 0744336777
27/09/2023
UTE UTE UNAOTOKA UKENI NA MAANA YAKE:
Kuna rangi za ute ambazo hutoka kwenye uke, zipo za kawaida na zisizo za kawaida, kutofahamu ute wa kawaida huongeza hofu kwa wengi lakini ukifahamu ute wa kawaida ni msaada kujua ute upi si wa kawaida na kugundua mapema kwamba upo kwenye tatizo linalohitaji tiba.
Rangi ya ute unaotoka kwenye uke unapaswa kuwa mweupe na wenye kuonekana vyema (clear), ute huo ni sehemu ya mwili kufanya kazi vizuri, unatoka kwaajili ya kusafisha na kuweka uke salama.
Uzito na muonekano wake unategemea zaidi uko katika kipindi gani ndani ya uanguaji mayai au kipindi cha damu ya hedhi kwa ujumla.
Mabadiliko yoyote ya rangi ya ute zikiambatana na dalili tofauti inaweza kuwa ni sehemu ya maambukizi fulani,yanayohitaji uangalizi na umakini ni vyema kwenda hospitali kwa uchunguzi zaidi.
Unapaswa kuangalia zaidi rangi ya ute na harufu yake, ni rahisi kujua tatizo ndani yake, ute wa kawaida hautoi harufu wala haukeri, lakini wenye maambukizi fulani unatoa harufu.
UTE MWEUPE.(white)
Huu ni ute wa kawaida kutoka kwa mwanamke hasa katika kipindi cha hedhi lakini utakapokuwa mzito kiasi na wenye kufanana na mtindi,ukiambatana na maumivu ni dalili ya maambukizi (yeast infection) Matibabu baada ya uchunguzi yanahitajika.
UTE WA MAJIMAJI.(clear waterly)
Ute wa majimaji ni ute unaohitajika zaidi kwa mwanamke, ute unaofanya uke usiwe mkamvu, ute huu mwanamke anapaswa kuhakikisha anakuwa nao hasa kwenye tendo la ndoa, unasaidia kulinda manii na kuzisafirisha, unaleta uwezekano mkubwa wa mimba kutunga.Ute unaoshiria kwamba upo kwenye kipindi cha kuangua mayai, ukiwa nao wala hauna shida wala tatizo.
UTE WA NJANO.( yellow or greenish)
Ute huu si salama unapomtoka mwanamke, ni ute unaoshiria maambukizi ya bakteria pamoja na magonjwa ya zinaa, hutoa harufu isiyopendeza unaweza ukaambatana na ukijani ndani yake, pindi unapouona nenda hospitali na mwenza wako, magonjwa ya zinaa hutibiwa na wapenzi wote wawili ili kuepusha muendelezo wa maambukizi endapo atatibiwa mmoja.
UTE WA KAHAWIA. (brown)
Ute huu humtoka mwanamke pindi anapomaliza hedhi yake, husafisha uke baada ya hedhi, unaweza kuambatana na damu damu kiasi lakini unaweza kutokwa na ute huu katikati ya hedhi yako au kipindi cha mwanzo cha ujauzito.
Wenye mzunguko wa hedhi unaobadilika badilika huweza kusababisha kutokwa na ute huu, oindi unapotokwa zaidi na ute huu inaweza kuwa ni dalili ya kansa ya shingo ya kizazi. ni vyema kufika hospitali kwa uchunguzi zaidi.
KUMBUKA
Kazi yetu ni kukuelimisha uweze kuijua afya yako kisha uende hospitali uweze kujieleza vyema upate na tiba iliyosahihi, KWA USHAURI ZAIDI 0744336777
27/09/2023
_*TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI (FALLOPIAN TUBES)*_
_Mirija ya uzazi kitaalamu inajulikana k**a Fallopian tubes. Hii ni mirija midogo iliyopo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke ambayo husaidia kupitisha yai lililopevuka hadi kufika kwenye mji wa mimba._
_Mirija hii inapoziba inazuia yai kusafiri baada ya kuachiliwa na mfuko wa mayai pia inazuia mbegu za kiume kulifikia yai.Tatizo hili ni moja kati ya sababu za ugumba kwa wanawake._ _ambapo Asilimia 40 ya wanawake wenye matatizo ya ugumba inasababishwa na tatizo la mirija kuziba._
_Mara nyingi wanawake wenye tatizo hili hua hawaoneshi dalili zozote zile._
_*KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI KUNASABABISHA VIPI UGUMBA?*_
_Kila mwezi yai la mwanamke linapopevuka huachiliwa kutoka kwenye mfuko wa mayai na kusafiri kupitia mirija ya uzazi kuelekea kwenye mji wa mimba._ _Mbegu za kiume pia husafiri kutokea kwenye shingo ya kizazi na kulifata yai kwenye mirija ya uzazi ili kulirutubisha tuelewe kwamba urutubishwaji wa yai unafanyika kwenye mirija ya uzazi wakati yai linasafiri kuelekea kwenye mji wa mimba._
_Mirija inapokuwa imeziba inazauia yai kusafiri kufika kwenye mji wa mimba na inazuia mbegu za kiume kulifikia yai hivyo kusababisha ugumba._
_Mbali na hayo mirija hii inaweza isizibe yote kabisa na kuacha upenyo unaoruhusu mbegu za kiume kupita na kulifikia yai na kupelekea mimba kutunga nje ya kizazi._
_*DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA*_
_Sio watu wote wenye tatizo hili huonesha dalili.Asilimia kubwa ya wanawake wenye tatizo hili hawaoneshi dalili zozote._
_Aina ya tatizo hili inayojulikana kitaalamu k**a HYDROSALPINX ndo huwa na dalili za maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kutokwa na maji maji mengi ukeni._
_Hydrosalpinx ni aina ya tatizo la mirija kuziba ambapo mirija inaziba na kujaa maji._
_pia mwanamke huweza kupata dalili k**a maumivu makali wakati wa tendo la ndoa na maumivu makali wakati wa hedhi_
_*VISABABISHI VYA TATIZO LA MIRIJA KUZIBA*_
_Kisababishi kikubwa cha mirija kuziba ni tatizo la maambukizi kwenye viungo vya uzazi (PID)_
_Na mara nyingi PID husababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa japo sio kila mwenye PID imetokana na magonjwa ya zinaa._
_Sababu nyingine ni k**a_
_Magonjwa ya zinaa mfano Kisonono na Chylamidia_
_Maambukizi kwenye kizazi baada ya mimba kuharibika (abortions) _
_Historia ya tatizo la kidole tumbo (Appendicitis)_
_Historia ya Mimba kutunga nje ya kizazi_
_upasuaji ambao unahusisha mirija ya uzazi_
_VIPIMO GANI VYA KUONESHA TATIZO HILI?_
_Tatizo hili upimwa kwa kipimo maalumu cha X ray ambacho kinajulikana kitaalamu k**a Hysterosalpingogram (HSG) ambapo unawekewa kimiminika fulani ambacho ni salama kwenye kizazi na kupigwa X ray._
_Kimiminika hicho kikiingia kwenye kizazi kinaenda hadi kwenye mirija kikishndwa kupita kwenye mirija basi inaonesha mirija imeziba.Aina nyingine ya kipimo hiki ni kwa kuwekewa kifaa chenye camera ambacho kinapitishwa ukeni hadi kwenye mirija. Vipimo vingine ni vile vya kupima ute (High vaginal swab) kuangalia k**a kuna maambukizi._
_MATIBABU_
_K**a mirija imeziba kwa makovu madogo madogo basi huzibuliwa kwa vifaa maalumu au upasuaji wa kutoa makovu hayo._
_Endapo mirija imeziba kwa kujaa maji kwa sababu ya maambukizi (hydrosalpinx) basi unahitaji matibabu ya maambukizi hayo kwanza._
_UWEZEKANO WA KUPATA UJAUZITO_
_Mirija ikishazibuliwa unaweza kushika mimba kawaida. k**a una matatizo ya kupevusha mayai daktari anaweza kukuongezea dawa za kusaidia kupevusha mayai._
_Endapo mirija imeziba hata unapotumia dawa za kupevusha mayai haziwezi kukusaidia._
_Mwisho_
_Ni vyema unapofikilia kupata ujauzito ufanye vipimo vinavyosaidia pia kuona mirija yako k**a iko katika hali nzuri.Unapoona dalili zozote ambazo huzielewi kwenye mwili wako basi hakikisha unafika hospitali kwa ajili ya matibabu_
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
0000