Tiba mbadala
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba mbadala, Health/Beauty, magomeni, Dar es Salaam.
26/01/2025
KISUKARI + upun_guf wa ngu_-vu_
Kisukari ni hali/ugonjwa ambao hutokea pale ambapo kunakuwa na kiwango cha sukari kisichokuwa cha kawaida kwenye mfumo wa damu. Kiwango hicho kinaweza kuwa chini (kisukari cha kushuka) au kinaweza kuwa juu ya kiwango cha kawaida (kisukari cha kupanda). Sukari ya kupanda ndio husumbua zaidi na huwa na madhara makubwa na ya haraka.
Kuna aina kuu mbili za kisukari;
-Type one Diabetes, aina hii huathiri zaidi watoto na watu walio na umri wa barehe lakini mara chache zaidi kwa watu wazima.
-Type two Diabetes, aina hii ya kisukari huathiri zaidi watu wazima, 90% ya wagonjwa wa kisukari husumbuliwa na aina hii ya kisukari.
Dalili zinazoonyesha kuwa kuna sukari nyingi kwenye damu kupita kiwango cha kawaida ni:
Mwili kukosa nguvu, Kusikia kiu sana, Moyo kwenda mbio, Kizunguzungu, Kukojoa mara kwa mara, Mwili kutetemeka, Kutokwa jasho kwa wingi, Kuchoka sana hata baada ya kufanya kazi ndogo tu au bila hata kufanya kazi yoyote, Kuona mbili mbili.
Tatizo hili la kisukari lisipotafuti tiba huweza kusababisha; Maradhi ya moyo, Kupungua kwa uwezo wa kuona hata, Figo kutofanya kazi zake vizuri, Kufa ganzi na kupoteza hisia hasa miguuni na mikononi, Kiharusi, na Vidonda vya miguuni kutopona na hata kusababisha kukatwa kwa kidole au mguu. Hivyo tiba haina budi kutiliwa mkazo ili kuepuka hayo kutokea.
Mwasol: ni mmea asilia unaoponya hata k**a umeugua kwa muda mrefu. Dawa hii ya mimea hurejesha kongosho katika hali yake ya kawaida ya utoaji ute na kuzalisha insulin amabyo husaidia kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuirejesha kwenye hali ya kawaida yaani (ambayo ni 4, 5 au 6).pia tuna dawa kwa ajili ya wanaume.
WASILIANA 0757944241
Tunatatua changamoto za maradhi ya binadamu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam