Ester na afya

Ester na afya

Share

ushauri wa afya

01/05/2026

Gcat international health clinic 🌿
Tunatoa huduma ya uchunguzi yakinifu na ushauri wa kitaalamu dhidi ya maradhi sugu yasiyoambukiza, ikiwemo:
• Kisukari
• Presha
• P.I.D
• Bawasili
• Kupararaizi
• Maumivu ya mifupa
• Ganzi isiyoisha
• Changamoto za uzazi kwa mwanamke & mwanaume
đź’š Tunatoa tiba kupitia tiba lishe asilia, salama na inayolenga chanzo cha tatizo.
📍 Tunapatikana mikoa yote
📞 Wasiliana nasi: 0750462362
👉 Afya bora ni msingi wa maisha bora —

27/04/2026

🌸 HUDUMA ZA UZAZI BORA NA SALAMA 🌸
Je, unasumbuliwa na changamoto ya uzazi,
PID (maambukizi kwenye mfumo wa uzazi),
au maumivu makali wakati wa hedhi?
👉 Usijali tena!
Tunayo suluhisho la uhakika kupitia tiba lishe asilia salama na yenye ubora, inayolenga kurejesha afya ya mwili na mfumo wa uzazi kwa ujumla.
âś… Uchunguzi na ushauri wa kitaalamu
âś… Matibabu ya changamoto za uzazi
âś… Huduma kwa kina mama wanaotafuta mtoto
âś… Msaada kwa wenye PID na maumivu makali ya hedhi
âś… Huduma kwa siri, heshima na usalama wa hali ya juu
đź’š Afya yako ni kipaumbele chetu
Tunakuhudumia kwa upendo, uaminifu na matokeo chanya.
📍 Tunapatikana Dar es Salaam na mikoani
📞 Wasiliana nasi sasa: 0750 462 362

23/04/2026

Clinic ya Gcat Health Care International
Mabingwa wa tiba Lishe
Tunajihusisha na tiba lishe kwa kutibu magonjwa yote yasiyoambukiza
Tunatoa elimu na ushauri sahihi kulingana na mahitaji ya mwili
Tunatumia njia asilia kusaidia mwili kurejesha nguvu na kuongeza kinga kwa
magonjwa yafuatayo:
âś…Changamoto ya hedhi kwa wanawake
âś…Maumivu ya Tumbo wakati wa hedhi
âś…Hedhi yenye mabonge
âś…Hedhi isiyoeleweka
âś…Kutoona hedhi kwa mda mrefu
âś…Uvimbe kwenye via vya uzazi
âś…Changamoto ya uzazi kwa wanawake na wanaume
âś…Vimbe aina zote
âś…PID & UTI Sugu
âś…Vidonda vya tumbo
âś…Homa za mara kwa mara
âś…Kikohozi cha mda mrefu
âś…Tezi dume
âś…Kukosa nguvu za kiume
âś…Bawasiri
âś…Changamoto ya moyo
âś…Changamoto ya mifupa
âś…Changamoto ya Ngiri
âś…Changamoto ya aleji ya ngozi
âś…Pumu
âś…Miguu Kuwaka Moto
âś…Uzito mkubwa
âś…Presha ya kupanda na kushuka
âś…Sukari
âś…Macho
âś…Meno
âś…Ganzi za miguu na mikono
Tuna huduma zingingine k**a
>Kutoa sumu mwilini kwa Mashine maalum
>Massage ya viungo vya mwili mzima kwa Mashine maalum
Kwanini uteseke wakati uhakika wa Tiba upo karibu yako?Hakuna haja ya kwenda nje ya nchi kutafuta matibabu njoo Gcat international upate ushauri na tiba lishe za uhakika zenye kujenga mwili wako
Tupo Dar es salaam na mikoa mingine yote ya Tanzania
Wasiliana nasi kwa namba za simu 0750462362

23/04/2026

🌱 HUDUMA ZA TIBA LISHE NA AFYA BORA 🌱
Tunajihusisha na tiba lishe kwa kutumia virutubisho salama, vya asili na vyenye ubora wa hali ya juu.
Tunatoa elimu na ushauri sahihi wa kiafya kulingana na mahitaji halisi ya mwili wako.
✨ Tunasaidia kuboresha afya kwa watu wenye changamoto za magonjwa yasiyoambukizwa, kwa kutumia njia asilia zinazosaidia:
Kurejesha nguvu za mwili
Kuongeza kinga ya mwili
Kuboresha ustawi wa afya kwa ujumla
🩺 Tunasaidia changamoto zifuatazo:
Changamoto ya kisukari
Changamoto ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke
Changamoto ya PID
Changamoto ya bawasiri
Changamoto ya tezi dume
Na magonjwa mengine yasiyoambukizwa (NK)
🎯 Lengo letu ni kujenga jamii yenye afya bora na uelewa sahihi wa lishe na mtindo wa maisha.
📞 Wasiliana nasi: 0750 462 362
📍 Tunapatikana mikoa yote ya Tanzania — karibu tukuhudumie kwa upendo na uaminifu.

20/04/2026

KITUO CHA AFYA-Gcat Health Care International
Tunatibu kwa kutumia tiba Lishe,
Tunatoa elimu na ushauri sahihi kulingana na mahitaji ya mwili
Tunatumia njia asilia kusaidia mwili kurejesha nguvu na kuongeza kinga kwa
magonjwa yafuatayo:
âś…Changamoto ya hedhi kwa wanawake
âś…Maumivu ya Tumbo wakati wa hedhi
âś…Hedhi yenye mabonge
âś…Hedhi isiyoeleweka
âś…Kutoona hedhi kwa mda mrefu
âś…Uvimbe kwenye via vya uzazi
âś…Changamoto ya uzazi kwa wanawake na wanaume
âś…Vimbe aina zote
âś…PID & UTI Sugu
âś…Vidonda vya tumbo
âś…Homa za mara kwa mara
âś…Kikohozi cha mda mrefu
âś…Tezi dume
âś…Kukosa nguvu za kiume
âś…Bawasiri
âś…Changamoto ya moyo
âś…Changamoto ya mifupa
âś…Changamoto ya Ngiri
âś…Changamoto ya aleji ya ngozi
âś…Pumu
âś…Miguu Kuwaka Moto
âś…Uzito mkubwa
âś…Presha ya kupanda na kushuka
âś…Sukari
âś…Macho
âś…Meno
âś…Ganzi za miguu na mikono
Tuna huduma zingingine k**a
>Kutoa sumu mwilini kwa Mashine maalum
>Massage ya viungo vya mwili mzima kwa Mashine maalum
Kwanini uteseke wakati uhakika wa Tiba upo karibu yako?Hakuna haja ya kwenda nje ya nchi kutafuta matibabu njoo Gcat international upate matibabu ya uhakika
Pia kumuona dr ni bure na ushauri ni bure
Tupo Dar es salaam na mikoa mingine yote ya Tanzania
Wasiliana nasi kwa namba za simu: 0750-462362

05/03/2026

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA WANAUME
Je, unajua kuwa wanaume wengi siku hizi wanakumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume bila kujua sababu halisi?
Baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha tatizo hili ni pamoja na:
• Msongo wa mawazo (stress)
• Lishe duni au kukosa virutubisho muhimu
• Uchovu mwingi na kazi nzito bila kupumzika
• Matumizi ya pombe kupita kiasi na sigara
• Magonjwa k**a kisukari na presha
• Kutofanya mazoezi ya mwili mara kwa mara
Dalili zake zinaweza kuwa:
Kushindwa kusimamisha uume vizuri
Kupoteza hamu ya tendo la ndoa
Kumaliza haraka sana wakati wa tendo
Usikae kimya na tatizo hili!
Suluhisho lipo – kwa kubadili mtindo wa maisha, lishe bora na kupata ushauri sahihi wa kiafya.
Wasiliana nasi leo kupata ushauri na msaada zaidi.0750462362

03/03/2025

SHINIKIZO LA JUU LA DAMU (HYPERTENSION)

(Muuaji wa kimya kimya)

Na Esther
0750462362
https://wa.me/message/ZJJ6LPJH6ELND1

Huu ni ugonjwa ambao nauita muuaji wa kimyakimya kwa masikitiko sana. Kila mtu mzima mmoja kati ya watatu katika bara la Afrika ana shinikizo la juu la damu.

Habari mbaya ni kwamba,
♤watu wenye shinikizo la juu la damu wana uwezekano mkubwa mara tatu zaidi wa kupatwa na mshtuko wa moyo,
♤wana uwezekano mara tano zaidi wa kupata tatizo la moyo kushindwa kufanya kazi,
♤wana uwezekano mara nane zaidi wa kupata kiharusi (stroke)

Tafiti huonesha kuwa takribani 62% ya kiharusi na 49% ya mshtuko wa moyo huhusishwa na shinikizo la juu la damu.

Shinikizo la juu la damu ni kuendelea kuwepo kwa kiwango cha sistoli (tarakimu ya juu ya mgandamizo wa damu) zaidi ya 130 na au kuwepo kwa diastoli (tarakimu ya chini ya mgandamizo wa damu) zaidi ya 85.

Kiwango kinachofaa kwa sasa ni chini ya 120/80. Ukiona unaanza kupata juu ya 120/80 mpaka 130/85 na kuendelea, kusema ukweli uko kwenye hatari kubwa sana ya kupata shambulio la shinikizo la juu la damu.

NINI HUSABABISHA PRESSURE?

Aina fulani za uvimbe zinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu, pia magonjwa ya kwenye figo. Lakini asilimia 90% ya tatizo hili hutokana na sababu zifuatazo

1. Utumiaji wa chumvi nyingi
2. Kiwango cha chini cha Potasiamu
3. Uzito kupita kiasi
4. Utando katika ateri
5. Kutofanya mazoezi
6. Uvutaji wa sigara
7. Pombe

DAWA ZA KUTIBU SHINIKIZO LA JUU LA DAMU

Madawa hayatibu tatizo badala yake yanadhibiti tu kwa muda. Mbaya sana yanapaswa kutumiwa maisha yako yote na yana madhara k**a vile uchovu, mfadhaiko, kukosa hamu ya tendo la ndoa, na tatizo la nguvu za kiume.

Pamoja na hayo madawa haya huweza kuchochea kuziba na kukak**aa kwa ateri, kisukari na baridi yabisi.

Mtaalamu wako wa afya nitakusaidia tiba lishe ambayo itakusaidia na kuondoa kabisa mafuta yaliyo kwenye mishipa ya damu na kukuacha huru dhidi ya presha.

Nitafute kupitia simu namba 0750462362 au Whatsapp link https://wa.me/message/ZJJ6LPJH6ELND1

TIBA MBADALA

1. PUNGUZA MATUMIZI YA CHUMVI
2. PUNGUZA UZITO
3. FANYA MAZOEZI

MENGINE NI YA KITAALAMU ZAIDI, WASILIANA NAMI NITAKUSAIDIA.

KAZI NJEMA MWANAFUNZI WANGU

✍️Mwl wako
🥼Esther
https://wa.me/message/ZJJ6LPJH6ELND1

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Chanika
Dar Es Salaam