afya tape
health,welth
09/08/2024
NANI MWINGINE ANGEPENDA KUJIPATIA OFA YA UPIMAJI MWILI MZIMA NA KUHUDUMIWA KWA HARAKA..
K**a una changamoto yeyote ya kiafya, unahitaji kupata suluhisho la uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.
Inawezekana umepoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo hilo lakini hakuna matokeo chanya uliyopata mpaka sasa.
K**a unatafuta sehemu inayotoa uhakika wa matibabu na kukuhudumia kwa haraka.
Fika Katika kituo cha afya cha GCAT HEALTH CARE,
Tuna huduma ya upimaji mwili mzima kwa sh 20,000 tu na kuhudumiwa kwa haraka!
Utafanyiwa Upimaji Katika Mifumo Yote Ya Mwili Katika:
✳Mifupa.
✳Mmeng'enyo wa chakula.
✳Uzazi kwa kina mama.
✳Uzazi kwa kina baba.
✳Fahamu.
✳Ngozi.
✳Upumuaji.
✳Macho.
✳Masikio.
Pia matibabu na tiba za magonjwa na maradhi mbalimbali zinapatikana k**a Kisukari, Saratani, Presha, Bawasiri, Vidonda vya tumbo, Tezi dume, Ngiri, Moyo kutanuka, Matatizo ya kibofu na mkojo, Maumivu makali ya nyonga, miguu, mgongo, mifupa, Miguu kuwaka moto na kuvimba, Uvimbe, Aleji, Bandama, Pumu, Matatizo ya kupooza ,Uzazi, Figo, Macho, Meno, Homa ya ini. Uzito na Unene.
Zipo shuhuda nyingi kutoka kwa watu mbalimbali ambao waliteseka kwa muda mrefu wameweza kupona na kupata nafuu baada ya mateso ya muda mrefu kutokana na magonjwa na maradhi yaliyokuwa yanawasumbua.
▪ Hebu fikiria unapata suluhisho la uhakika la tatizo lako baada ya mateso ya muda mrefu.
▪ Hebu fikiria ile furaha utakayokuwa nayo baada ya kugundua umepona.
▪ Utaweza kuokoa fedha zako kwa kupata matibabu ya uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.
▪ Utaondokana na maumivu ya tatizo hilo kwa kupata suluhisho la uhakika la tatizo hilo.
Tupo Dar-es-Salaam, Na mikoani pia
Tafadhali wasiliana nasi kwa namba ya sim
0679641595
P.S Thamani ya kipimo hiki ni sh 155,000 Lakini Lakini ndani ya mwezi huu utaipata kwa Ofa ya sh 20,000 Tu!
12/07/2024
02/07/2024
YA_KUSAMBAZA_TAARIFA
Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited
Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone.
NOTE:
* Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone
* Uwe Dar es salaam tu
* Uwe na bidii ya kazi
* Elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo
MALIPO
* Malipo yapo ya aina mbili (Malipo ya kila siku na kila mwisho wa mwezi) yote utapata.
* Kima cha chini kwa malipo ni (Kwa siku 20,000/= na kwa mwezi ni 350,000/=)
Wote mnakaribishwa, Ofisi ipo Majumba sita ya Airport (Ukonga)
Kwa mawasiliano zaidi piga 0763200427
13/05/2024
Usikubali Kupitwa Na Hii Neema Hakika Mungu Ametupendelea....
Kwanini Tena uende mbali Kutafuta Matibabu na Kwa gharama kubwa?
Wale wataalam mahiri wa kichina wanaotoa tiba kwa magonjwa SUGU na YASIOAMBUKIZA ya kwa kutumia virutubisho maalum sasa wapo TANZANIA wakitoa huduma mara nyingine.
Huduma hizi zinapatikana katika vituo vyetu vya Hospital za GCAT INTERNATIONAL zilizoenea karibu nchi nzima(Tanzania).
Hakika ni wabobezi katika magonjwa yasioambukiza k**a vile:
🌷Vidonda vya tumbo.
🌷Matatizo ya macho.
🌷Shinikizo la damu(presha).
🌷Matatizo ya meno na kinywa.
🌷Magonjwa ya moyo.
🌷Bawasiri.
🌷Tezi dume.
🌷Gazi na miguu kuwaka moto.
🌷Mifumo ya uzazi kwa wanawake na wanaume.
🌷Matatizo mgongo.
🌷kupooza /stock.
🌷Magonjwa ya figo na homa ya ini
🌷Typhoid na u.t.i sugu na pid
🌷Matatizo ya ngozi.
🌷Kisukari. Na mengine mengi yasiokua ya kuambukiza.
Ujio huu umeambatana na OFA maalum ya matibabu ambapo:
Utakutana na specialist wetu bure kabisa bila fedha ya kuona Daktar wa kufungua faili.
Pia Ushauri ni bure
Na utafanya Vipimo kwa ofa ya sh 15000 badala ya sh 45000 ambayo ni gharama halisi. Na kuokoa sh. 30000.
Lakini pia utapata dawa(virutubisho) kwa gharama ya ofa ya punguzo la 15%. Ofa hii ni ndani ya siku tano tu kuanzia leo.
Wasiliana Nasi Muda huu ili kuweka appointment ya kukutana na specialist wetu. Karibu sana. Piga +255 0679 641 595
Au bofya link👇https://wa.me/message/TBN6OPHEJ7YVG1
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
HEALTH&MEDICAL