Suluhisho la afya
PATA SULUHISHO LA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA K**A PID,UTI SUGU,BAWASILI,VIDONDA VYA TUMBO nk
13/12/2024
13/12/2024
*TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA*
Tatizo la mimba kuharibika (pia huitwa kuharibika kwa mimba au miscarriage) ni hali ambayo mimba huacha kukua na kutolewa mapema kabla ya kufikia muda wake kamili wa ujauzito. Hali hii hutokea mara nyingi ndani ya wiki 20 za kwanza za ujauzito, na inaweza kuwa changamoto kubwa kwa mama na familia kihisia na kiafya.
*SABABU ZA MIMBA KUHARIBIKA.*
1. Kasoro za Kijenetiki: Hii ni sababu ya kawaida na husababishwa na matatizo katika mgawanyiko wa kromosomu wakati wa utungaji wa mimba.
2. Matatizo ya Homoni: Ukosefu au kupungua kwa homoni muhimu k**a progesterone inaweza kuathiri ukuaji wa mimba.
3. Matatizo ya Kiumbo ya Mfuko wa Uzazi: Kasoro za kimaumbile au uwepo wa uvimbe k**a fibroids kwenye mfuko wa uzazi.
4. Maambukizi: Maambukizi makubwa, k**a vile UTI, malaria, au maambukizi ya zinaa, yanaweza kusababisha mimba kuharibika.
5. Shinikizo la Damu na Kisukari: Magonjwa sugu k**a shinikizo la damu na kisukari yasiyodhibitiwa vizuri yanaweza kusababisha matatizo.
6. Mtindo wa Maisha: Uvutaji sigara, matumizi ya pombe, au dawa za kulevya huongeza hatari.
7. Msongo wa Mawazo: Msongo mkubwa wa mawazo au mwili unaweza pia kuchangia.
8. Ajali au Maumivu ya Mwili: Majeraha makubwa yanaweza kusababisha kuharibika kwa mimba.
*DALILI ZA MIMBA KUHARIBIKA*
• Kutokwa na damu ukeni (kuanzia kidogo hadi nyingi).
• Maumivu ya tumbo au mgongo (k**a maumivu ya hedhi au zaidi).
• Kutokwa na vipande vya tishu kupitia uke Vyenye mchanganyiko wa damu.
• Kupotea kwa dalili za ujauzito (k**a kichefuchefu au matiti kuvimba).
Uke kuwa na Hali ya vipindi vya kuvuta na kuachia.
Kwa tiba na ushauri tupigie 0769010138
24/10/2024
Xpower man coffee ☕
Ina viambata 4
1. GINSENG
2. TONGKAT ALI
3. EPIMEDIUM
4. MACA
Ambavyo vyote vinaenda kusaidiaa sana performance ya tendo la ndoa kwa wanaume
Ina matokeo mazuri sana Kwa haraka ndani ya siku 3 tu
Ukisoma kazi zake hapo juu utaona Ina thamani kubwa sana Kwa wateja
Inauzwa sh 65,000
Wasiliana nasi sasa 0769010138
06/10/2024
Kwa tiba na ushauri 0622798128
04/10/2024
FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE
Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja
KAZI ZAKE
👉Hutibu UTI sugu
👉Hutibu Fangasi sugu
👉Inaondoa Miwasho ukeni
👉Inaondoa Harufu mbaya ukeni
👉inaondoa Uchafu unatoka ukeni
👉inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
👉inakurinda usipate UTI na Fangasi
👉inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉inaongeza joto la uke
👉inabana Kuta za uke zilizo legea
👉inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
👉inarudisha ute ute ukeni
👉inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza
Kwa maelekezo zaidi namna ya Kuipata ni rahisi Sana na hii TUNASEMA ni bidhaa ya matumizi ya nyumbani K**a sabuni au dawa ya mswaki🥰✋🏼......... HII NI KWA AJILI YAKO NA MWENZAKO.
Unaipata kwa Tsh45,000/-
Wasilian nasi kupitia 0769010138
04/10/2024
KARIBU SULUHISHO LA AFYA UPATE HUDUMA ZA "VIRUTUBISHO LISHE" TUNA BIDHAA ZINAZOTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI K**A VILE:-
1.🔗Vidonda vya tumbo Sugu.
2.🔗 Mifupa,viungo na mgongo
3.🔗 Bawasiri
4.🔗Tezi dume
5.🔗Blood pressure
6.🔗 Kisukari
7.🔗 Nguvu za kiume
8.🔗Uzazi Kwa jinsia zote
9.🔗Uvimbe na matezi.
10.🔗 Kuongeza kinga ya mwili.
11.🔗Matatizo ya watoto
12.🔗Magonjwa ya Ngozi.
13.🔗Kutoa sumu mwilini.
15.🔗Kupunguza uzito na tumbo
16.🔗 U.TI sugu, Fangasi, miwasho,P.I.D, uvimbe Kwenye kizazi nk.
We Care your health
Wasiliaana nasi sasa 0769010138
26/09/2024
unafahamu ukiliwahi tezi dume linaweza tibika kabisa moja kwa moja kutumia virutubisho lishe maalumu?
Usihangaike kufanya upasuaji,karibu uweze kuwasiliana nasi kwa ajili ya ushauri na matibabu ya uhakika!
DALILI ZA KUVIMBA TEZI DUME
1.Mtiririko dhaifu wa mkojo
2.Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
3.Kutumia nguvu kusukuma mkojo
4.Kuhisi mkojo umebakia kwenye kibofu
5.Maumivu makali wakati wa kukojoa
6.Kushindwa kuzuia mkojo
MADHARA YAKE
1.Kupungukiwa nguvu za kiume
2.Maambukizi ya mara kwa mara ya mfumo wa mkojo(UTI)
3.Figo kushindwa kufanya kazi vizuri
4.Kutengeneza mawe kwenye kibofu cha mkojo
UKIHISI UNAHIZO DALILI WAHI HOSPITALINI KWA AJILI YA UCHUNGUZI ZAIDI
26/09/2024
NMN DUO RELEASE imetengenezwa na viambata hai vifuatavyo.
•NMN
•hydroxypropyl methylcellulose
•silicon dioxide
•magnesium stearate
•sunset yellow (E110)etc
Kutokana na viambata hivi
NMN DUO RELEASE inafanya kazi zifuatazo.
🕳Inasaidia kutatua changamoto zote za mifupa k**a vile osteoporosis(Uchakavu Wa Mifupa,Arthrits Na Mengine
🕳Inasaidia kuboresha ngozi kutokana na colagen yenye Uwezo Mkubwa Iliyoko!!
🕳Inatibu na kuzuia changamoto ya kisukari aina Zote.
🕳Inatatua changamoto za mabadiliko ya hormone kwa jinsia Zote.
🕳Inasaidia kutibu kipanda uso.
🕳Inasaidia kurekebisha DNA zilizoharibika.
🕳Inatibu magonjwa ya Mfumo Wa Fahamu.
🕳Inatibu vimbe kwenye figo.
🕳Ant aging ambayo itakufanya uwe na mwonekano mzuri kila wakati.
🕳Inatibu changamoto za macho k**a vile Presha ya macho na ukungu.
🕳Inazuia magonjwa yatokanayo na umri .
🕳NMN DUO RELEASE kwenye chupa 1 ina vidonge 30 na inatumika kwa muda wa mwezi 1.
🕳Wazee wanashauriwa kutumia mpaka chupa 3.
Unaipata kwa Tsh 500,000/-
25/09/2024
⚠️ "YAFUATAYO NI MADHARA YA KUJICHUA AU PUNYETO
➡️Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo. .
➡️Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza. .
➡️Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea. .
➡️Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
➡️Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi. .
➡️Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri. .
➡️Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena. .
➡️Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo. .
➡️Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujauzito. .
📌Zingatia kuacha Kufanya Kitendo Cha kujichua Kwani itakusaidia sana kurudisha Urijali Wako.
📌K**a Umeathiriwa Na Kujichua Hakikisha Unamuona Mtaalamu Akusaidie KUACHA na KUTIBU hayo madhara.
☎️0769010138
18/09/2024
ANGALIZO MUHIMU KWA WANAWAKE NA WANAUME WATU WAZIMA, WENYE CHANGAMOTO YA MAGOTI
Wanawake na Wanaume wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya maumivu ya Mifupa na Maungio k**a vile- Mgongo, Nyonga, Kiuno, Shingo na Magoti.
Haijalishi umeshakunywa dawa kiasi gani, umeshatibiwa hospitali nyingi kiasi gani na changamoto bado ipo palepale
K**a wewe ni muhanga ningependa kuongea na wewe
NITAKUSAIDIA
• Kurejesha uteute kwenye joints.
• Mifupa isisagane
• Kutibu ganzi ya miguu na mikono ya muda mrefu
Kupitia Program maalum ya SPORT FIT (bone & joint care)
Wasiliana nasi 0769010138
29/08/2024
*VEGGIE VEGGIE BFSUMA*
*Veggie Veggie: NI Bidhaa iliyotengenezwa kwa aina 120 ya mboga mboga na Matunda.*
FAIDA ZA VEGGIE VEGGIE BFSUMA ♀️♂️
✅Huondoa Sumu Mwilini na kupunguza uzito
✅Huimarisha kinga za mwili
✅Inatengeneza Utumbo ulioharibika na kuondoa Mafuta yasiyo hitajika tumboni.
✅Inaondoa Matatizo yote ya tumboni k**a vile Gasi, maumivu tumboni na kupata choo kigumu.
✅Inapunguza Mafuta ya rehemu (Cholesterol) mwilini
✅Inasaidia Sukari kuwa katika level yake.
✅Inasafisha tumbo na kuwa safi.
✅Inaondoa hamu ya kula kula sana na kuzuia kunenepa hovyo.
*VEGGIE VEGGIE INA RADHA NZURI NA INAFANYA KAZI KWA HARAKA SANA*
*MATUMIZI*
Kwa aliye na shida atumie pack mbili Mara mbili kwa siku Mara baada ya chakula
*TUMIA DAWA YA TIBA ASILIA YA MBOGA MBOGA AU VEGGIE VEGGIE UWE NA MWILI WENYE NGUVU*
0769010138
25/08/2024
*KWANINI NI MUHIMU KILA MTU ANASHAURIWA KUTUMIA PURE & BROKEN GANODERMA SPORES OIL DELUXE?* Pure & broken ganoderma spores oil deluxe -ni bidhaa ambayo imetengenezwa kwa kutumia kiini cha uyoga mwekundu kijulikanacho k**a *(GANODERMA LUCIDUM SPORES POWDER.)* Kwa kutumia technology kubwa sana inayojulikana k**a. *INNOVETIVE SUPERCRITICAL CO2 EXTRACTION TECHNOLOGY* Technology hii inaenda kuongeza uwezo wa kiambata kuwa hai na kukifanya kiambata kiwezo kufyonzwa kwenye mwili zaidi ya x 45. *FAIDA KWA MTUMIAJI.* •inaondoa kabisa uchovu wa Akili •inakinga magonjwa kwenye tezi ya endocrine •inauwezo mkubwa wa kuimarisha kinga kwa haraka sana . •inaimarisha mzunguko wa. Damu hinyo huzuia na kusaidia wenye shida za moyo. •inaondoa na kiwango cha sukari kilichozidi kwenye damu. •inaimarisha mfumo wa chakula •inazuia na kutibu magonjwa ya ini ,mf .homa ya ini nk •inaimarisha kumbukumbu •inaondoa vimbe kwenye mwili. •inaondoa na kuzuia vimelea vya saratani •ina uwezo mkubwa wa kupambana na mionzi ( Strong Ant-oxidant
Wasiliana nasi 0769010138
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam
TOGETHER