Joe weight management
We offer services aiming at managing excess body weight using healthy products and nutritional supplements
Unatamani kupunguza tumbo lakini unashindwa??
Karibu utumie bidhaa bora zaidi.
Simu/WhatsApp: 0682 771 102
31/05/2021
Bedroom packages: Furahia ndoa yako kwa kutumia Forever Argi+ pamoja na Multi maca.
Simu/WhatsApp: +255 682 77 11 02
JE, UNASUMBULIWA NA UZITO ULIOZIDI,TUMBO AU KITAMBI?
PATA SULUHISHO NDANI YA SIKU 9 KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO VYA CHAKULA (SIO DAWA).
Kwa maelezo zaidi piga simu/WhatsApp; +255 682 77 11 02.
Au tufuate Instagram;
, kwa ushauri zaidi!!
30/10/2019
KWANINI UNAPOFANYA MAZOEZI,UNAPUNGUA KISHA UNAONGEZEKA TENA?
Uzito uliopitiliza ni hali ya mwili kuwa na uzito unaozidi kipimo kwa afya bora (BMI) kulingana na urefu wako. Dalili za uzito uliopitiliza ni pamoja na;
💥Kupumua kwa shida
💥Kutoa jasho kwa wingi
💥Kukoroma wakati umelala (snoring)
💥Kuhisi uchovu kila mara
💥Maumivu ya mgongo na viungo
KWANINI UNAPUNGUA KISHA UNAONGEZEKA TENA (HAUPUNGUI)?
Watu wengi wanapogundua wameongezeka uzito, unene na kitambi mara nyingi huamua kuanza mazoezi na wengine hujinyima chakula(dieting). Baadhi hupungua wakifanya mazoezi muda mrefu lakini bahati mbaya huongezeka tena pale wanapoacha kufanya mazoezi. Hii hutokea kutokana na kwamba mazoezi husaidia kuondoa mafuta mwilini. Lakini mwili hukusanya mafuta kuzunguka uchafu ambao unatokana na chakula, moshi wa magari na kemikali mbalimbali ambazo hutumika kurutubisha mazao ya chakula shambani.
mwili hugundua kuwa mafuta yamepungua baada ya mtu kufanya mazoezi hivo hukusanya mafuta kwa wingi ili kujilinda dhidi ya uchafu ambao nimeueleza hapo juu. Hii ndo hupelekea mtu aliyeacha mazoezi kuongezeka tena.
USHAURI; Ili kupungua, unahitaji kusafisha mwili, mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, kunywa maji mengi, kufanya mazoezi na kula chakula sahihi.
Kwa ushauri na maelezo jinsi ya kupungua, tupigie simu/ WhatsApp: +(255)(0)682771102
Instagram
08/09/2019
KWANINI UNAPOFANYA MAZOEZI,UNAPUNGUA KISHA UNAONGEZEKA TENA?
Uzito uliopitiliza ni hali ya mwili kuwa na uzito unaozidi kipimo kwa afya bora (BMI) kulingana na urefu wako. Dalili za uzito uliopitiliza ni pamoja na;
💥Kupumua kwa shida
💥Kutoa jasho kwa wingi
💥Kukoroma wakati umelala (snoring)
💥Kuhisi uchovu kila mara
💥Maumivu ya mgongo na viungo
KWANINI UNAPUNGUA KISHA UNAONGEZEKA TENA (HAUPUNGUI)?
Watu wengi wanapogundua wameongezeka uzito, unene na kitambi mara nyingi huamua kuanza mazoezi na wengine hujinyima chakula(dieting). Baadhi hupungua wakifanya mazoezi muda mrefu lakini bahati mbaya huongezeka tena pale wanapoacha kufanya mazoezi. Hii hutokea kutokana na kwamba mazoezi husaidia kuondoa mafuta mwilini. Lakini mwili hukusanya mafuta kuzunguka uchafu ambao unatokana na chakula, moshi wa magari na kemikali mbalimbali ambazo hutumika kurutubisha mazao ya chakula shambani.
mwili hugundua kuwa mafuta yamepungua baada ya mtu kufanya mazoezi hivo hukusanya mafuta kwa wingi ili kujilinda dhidi ya uchafu ambao nimeueleza hapo juu. Hii ndo hupelekea mtu aliyeacha mazoezi kuongezeka tena.
USHAURI; Ili kupungua, unahitaji kusafisha mwili, mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, kunywa maji mengi, kufanya mazoezi na kula chakula sahihi.
Kwa ushauri na maelezo jinsi ya kupungua, tupigie simu/ WhatsApp: (+255)(0)682771102
Instagram
02/09/2019
KWANINI UNAONGEZEKA UZITO DAILY?
1. KURITHI MAPISHI*
Hapa wengi hutumia neno kurithi unene, neno sahihi tunachotakiwa kujua ni kuwa tunarithi mapishi. Upishi wa vyakula ambavyo familia zenye watu wenye uzito mkubwa huenda sambamba hadi kwa watoto kwani nao huendelea kupika kwa staili ileile na hivyo kuchangia kuwa na uzito mkubwa.
2. ULAJI WA JUNK FOODS*
Hivi ni vyakula ambavyo huandaliwa viwandani au baadhi ya hotel lakini maandalizi yake hulenga kuwa vitamu zaidi, vyenye kukaa muda mrefu bila kuharibika na pia gharama yake siyo kubwa. Chakula hiki ni hatari sana kwani huhusika mno kuongeza uzito.
3. ULEVI WA VYAKULA*
Kuna baadhi ya watu wameathirika na ulaji wa vyakula vitamu na vinywaji vyenye sukari nyingi. Watu hawa ni sawa tu na walevi wa pombe au madawa ya kulevya kwani wasipopata hivyo vitu vyao basi afya zao haisongi.
Hivyo vyakula ni vizuri sana lakini vinaongeza uzito sana.
4. MATANGAZO YA VYAKULA VYA VIWANDANI NA VINYWAJI*
Makampuni yanayoandaa vyakula na vinywaji vitamu yanatumia gharama kubwa sana kutangaza products zao, matangazo yao mengi yanavutia mno na yana ushawishi mkubwa wa kutumia bidhaa zao. Na wengi huangukia hapa na mwishowe hujikuta kwenye uzito mkubwa
:
:
Kumbuka kudhibiti uzito ni jukumu lako la maisha yako yote. Usiruhusu na usikubali kuingia kwenye matatizo makubwa. :
Kuwasiliana nasi kupata bidhaa na maelezo zaidi;
CALL/WhatsApp +255 682 77 11 02
02/09/2019
KWANINI UNAONGEZEKA UZITO DAILY?
1. KURITHI MAPISHI*
Hapa wengi hutumia neno kurithi unene, neno sahihi tunachotakiwa kujua ni kuwa tunarithi mapishi. Upishi wa vyakula ambavyo familia zenye watu wenye uzito mkubwa huenda sambamba hadi kwa watoto kwani nao huendelea kupika kwa staili ileile na hivyo kuchangia kuwa na uzito mkubwa.
2. ULAJI WA JUNK FOODS*
Hivi ni vyakula ambavyo huandaliwa viwandani au baadhi ya hotel lakini maandalizi yake hulenga kuwa vitamu zaidi, vyenye kukaa muda mrefu bila kuharibika na pia gharama yake siyo kubwa. Chakula hiki ni hatari sana kwani huhusika mno kuongeza uzito.
3. ULEVI WA VYAKULA*
Kuna baadhi ya watu wameathirika na ulaji wa vyakula vitamu na vinywaji vyenye sukari nyingi. Watu hawa ni sawa tu na walevi wa pombe au madawa ya kulevya kwani wasipopata hivyo vitu vyao basi afya zao haisongi.
Hivyo vyakula ni vizuri sana lakini vinaongeza uzito sana.
4. MATANGAZO YA VYAKULA VYA VIWANDANI NA VINYWAJI*
Makampuni yanayoandaa vyakula na vinywaji vitamu yanatumia gharama kubwa sana kutangaza products zao, matangazo yao mengi yanavutia mno na yana ushawishi mkubwa wa kutumia bidhaa zao. Na wengi huangukia hapa na mwishowe hujikuta kwenye uzito mkubwa
:
:
Kumbuka kudhibiti uzito ni jukumu lako la maisha yako yote. Usiruhusu na usikubali kuingia kwenye matatizo makubwa. :
Njia ya kupunguza uzito na kukupa mwongozo wa Kuishi maisha yenye tija ya Afya bora.
CALL/WhatsApp +255 682 77 11 02
28/07/2019
KWANINI UNAONGEZEKA UZITO DAILY?😎 1. KURITHI MAPISHI*
Hapa wengi hutumia neno kurithi unene, neno sahihi tunachotakiwa kujua ni kuwa tunarithi mapishi. Upishi wa vyakula ambavyo familia zenye watu wenye uzito mkubwa huenda sambamba hadi kwa watoto kwani nao huendelea kupika kwa staili ileile na hivyo kuchangia kuwa na uzito mkubwa.
2. ULAJI WA JUNK FOODS*
Hivi ni vyakula ambavyo huandaliwa viwandani au baadhi ya hotel lakini maandalizi yake hulenga kuwa vitamu zaidi, vyenye kukaa muda mrefu bila kuharibika na pia gharama yake siyo kubwa. Chakula hiki ni hatari sana kwani huhusika mno kuongeza uzito.
3. ULEVI WA VYAKULA*
Kuna baadhi ya watu wameathirika na ulaji wa vyakula vitamu na vinywaji vyenye sukari nyingi. Watu hawa ni sawa tu na walevi wa pombe au madawa ya kulevya kwani wasipopata hivyo vitu vyao basi afya zao haisongi.
Hivyo vyakula ni vizuri sana lakini vinaongeza uzito sana.
4. MATANGAZO YA VYAKULA VYA VIWANDANI NA VINYWAJI*
Makampuni yanayoandaa vyakula na vinywaji vitamu yanatumia gharama kubwa sana kutangaza products zao, matangazo yao mengi yanavutia mno na yana ushawishi mkubwa wa kutumia bidhaa zao. Na wengi huangukia hapa na mwishowe hujikuta kwenye uzito mkubwa
:
:
Kumbuka kudhibiti uzito ni jukumu lako la maisha yako yote. Usiruhusu na usikubali kuingia kwenye matatizo makubwa. :
Njia ya kupunguza uzito na kukupa mwongozo wa Kuishi maisha yenye tija ya Afya bora.
CALL/WhatsApp +255 682 77 11 02
20/06/2019
INAFANYA KAZI!
JE UNGEPENDA KUPUNGUA KITAMBI, MANYAMA UZEMBE, TUMBO, na UZITO KIUJUMLA.
UNATAFUTA PROGRAM YA AFYA YA KUKUSAIDIA KWENYE SAFARI YAKO YA KUPUNGUA UZITO? TUNAWEZA KUKUSAIDIA UKAPUNGUA UZITO KWA PROGRAM SALAMA KIAFYA.
Tumia Program yetu ya afya imewasaidia watu wengi sana kupungua uzito ndani ya SIKU 9 na kumaintain uzito baada ya kupungua, bila kuhadhiri afya yako.
SIO MADAWA, NI VIRUTUBISHO VYA CHAKULA.
JARIBU KUTUMIA NA WEWE UONEKANE NA KUJISKIA VIZURIâ €
â €
WASILIANA NASI KWA NAMBA:â €
DM/Simu or WhatsApp +255 682 77 11 02.
â €
Click here to claim your Sponsored Listing.