Mimi na afya yangu

Mimi na afya yangu

Share

Tunatibu magonjwa sugu kwa gharama nafuu.

06/09/2024

SULUHISHO LA KUDUMU LA TEZI
DUME )
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE
GLAND) Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa
wa kiume. Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha
mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha
majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.

Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume
anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika
mfumo wa kizazi wa mwanaume.
Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME
➡️Kukojoa Mara kwa mara.
➡️Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
➡️Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
➡️Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda
mbali.
➡️Kupungukiwa nguvu za kiume.
➡️UTI ya Mara kwa mara.
➡️Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa
Mkojo.
➡️Figo kujaa maji.
➡️Kupoteza fahamu.
➡️Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya
mgongo na mapaja.
➡️Uume kushindwa kusimama vizuri.
➡️Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa

Tunatibu tezi dume bila kufanya operation.
Tupigie kwa hizi namba 0742162465

03/09/2024

PID inatibika kwa wanaume na wanawake
Tupigie 0742162465 kwa msaada wa haraka

29/08/2024

Tunatoa huduma ya kupima mwili mzima kwa gharama nafuu.

Kipomo chetu kinaonyeshachanzo, dalili, viashiria na ukubwa wa tatizo husika.

Tunatoa tiba kwa maradhi sugu yote k**a kisukari, presha, bawasiri, tatizo la mifùpa nk.

Tunapatikana Dar es salaam na baadhi ya mikoa Tanzania.

Tupigie kwa hii namba 0742162465.

21/08/2024

Tikitiki maji ni bora zaidi kwa mtoto na lina virutubisho vingi muhimu kwa ukuaji wa mtoto.

20/08/2024

Unatatizo la figo tupigie tukusaidie.
0742162465

20/08/2024

Bawasiri inatibika bila operation
Piga 0742162465 upate huduma haraka

17/08/2024

Njoo tuzungumze 0742162465

17/08/2024

Tunatiba uvimbe kwenye via vya uzazi bila upasuaji..

Usikimbilie kufanya upasuaji kabla hujatibu chanzo cha tatizo..
Nipigie 0742162465

17/08/2024

Unststizo lolote la mifupa tupigie 0742162465.

Tunapima mwili mzima kwa gharama ndogo kabisa.

Kwanini unapima? Lengo la kupima ni ili tujue kiini cha tatizo linalokutesa. Lakini pia unapata dawa kulingana na ukubwa wa tatizo lako.

Piga 0742162465 kwa huduma bora na za uhakika

16/08/2024

Karibu tukuhudumie 0742162465

16/08/2024

Herniated disc Ni ugongwa ambao huathiri sehemu ya chini ya uti wamgongo (L2,L4,L5,S1,S5 na tatizo hili hutokana disc kukandaniza mishipa ya fahamu (nerves root
Tatizo hupelekea,
➡️maumivu makali ya mgongo na kiuno ambayo
husambaa mpaka kwenye miguu.
➡️maumivu makali wakati wa kulala,kuamka kukaa na
kutembea kwa muda mrefu.
➡️maumivu makali wakati wa kuinama.
➡️miguu kufa ganzi, kupata vichomi na miguu kuishiwa
nguvu.
➡️wakati mwingine unaweza kukosa usingizi kutokana
na maumivu makali ambayo unapitia na kukufanya
ukose kabisa muda wa kupumzika.
Tatizo hili linaweza kusababisha madhara mengi baadaye hasa kufanyiwa upasuaji na kuweka vyuma au
kuwekewa disc bandia na Bado unaendelea kupitia
maumivu
Wasiliana nasi
0742162465

15/08/2024

Lishe bora kwa afya bora.

Hii ni maalum kwa ajili ya kuimarisha mifupa,inajenga mwili, inasafisha ocygen kwenye ubongo,inasaidia watu wenye kifafa,inasaidia watu wenye kikomo cha hedhi,inazuia vimelea vya kansa, inarudisha miguu ya watoto wenye matege.
Kabla ya kutumia dawa tunashauri mgonjwa apime tujue chanzo na ukubwa wa tatizo.
Call 0742162465.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Shauri Moyo Road
Dar Es Salaam