Nayda Ahmed

Nayda Ahmed

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nayda Ahmed, Health/Beauty, Dar es Salaam.

Photos from Nayda Ahmed's post 11/10/2024

My loves, wengi wetu ambao bado tunasumbuka na chunusi na blackheads/whiteheads tunatafuta cleanser nzuri itakayosaidia na Acne kwa ujumla pamoja na kusafisha ngozi bila ya kutuacha wakavu au ngozi kukak**aa. Now my loves, this is THE CLEANSER na si cleanser tu, itasaidia hata ku improve acne kwa kiwango kikubwa na kuchochea a healthy skin.

INWARD Agas Acne Cleansing Foam 5.5 ni a cleanser iliyokua packed na ingredients nzuri sana k**a Fermented Cica, Salicylic Acid, PHA, Korean Mint pamoja na Panthenol kuhakikisha kwamba kupitia cleansing tu, ngozi yako inaimarika vyema.

Centella is amazing kwenye ku relieve acne na damaged skin, kuimarisha sana barrier ya ngozi yako (which is the number one factor in having a good, healthy skin) pamoja na kuchochea sana afya ya ngozi, miongoni mwa faida nyingi.

And guess what, humu kumewekwa fermented cica which is 30% more effective ukilinganisha na ordinary cica hivyo kuweza kutupa matokeo ya haraka zaidi.

This cleanser kwa ujumla ni nzuri sana, imesheheni ingredients nzuri, itasaidia sana na soothing, kuipa relief ngozi ambayo ni acne prone na kuacha ngozi ikiwa safi na yenye afya.

Get it today kwa Tshs 65,000 tu kwa ujazo wa mls 150.

Photos from Nayda Ahmed's post 09/10/2024

Lovelies, I am sure by now tunajua umuhimu wa kuosha uso wetu ipasavyo na kwamba a good cleanser can take us far when it comes to suala la kua na a healthy and glowing skin.

Leo sasa tumewaletea a beautiful cleanser that will take us one step further kwenye kuhakikisha ngozi inabakia safi, healthier, yenye afya zaidi na of course kuwezesha products unazopaka kuweza kupenya vyema kwenye ngozi na kutupa matokeo mazuri zaidi.

RICOCELL SUPER DEEP CLEAN FOAM CLEANSER ni a cleanser yenye very beautiful ingredients, will deep clean your skin bila ya kukuacha mkavu na ku purify ngozi yako huku iki maintain its hydration and beauty.

Ultra-comfortable face Cleanser hii iko Enriched na ingredients nzuri k**a Carrot Root extract, Centella Asiatica extract, Houttuynia Cordata, Artemisia Leaf extract na Propolis kusaidia kuiimarisha ngozi yako huku ikiisafisha vyema na kuondoa makeup residue, impurities, excess sebum, dust na residual fine particles.

Cleanser hii inapatikana kwa Tshs 60,000 tu loves na kwa ujazo wa mls 220.

Photos from Nayda Ahmed's post 02/10/2024

Lovelies, hii DOUBLE CLEANSING DUO is all you need for clear pores na proper cleansing. Tumewaletea hii cleansing duo inayokuja na vitu viwili ndani yake; An Oil Cleanser and a Foam Cleanser na zote ni FULL sizes.

This Effective Double Cleansing Set itasaidia kusafisha ngozi yako vyema mno, haitakausha ngozi yako, itasaidia kuimarisha na kuboresha afya ya ngozi yako zaidi, it is hydrating, calming na kusaidia kukupa faida nyingine kedekede.

The Star ingredient kwenye set hii ni CENTELLA ASIATICA.
Centella Asiatica ni ingredient iliyomo humu na ina faida nyingi na nzuri mno kwenye ngozi, nyingi zikitokana na active compounds k**a Madecassoside za kwenye mmea huu ambayo hufanya k**a ANTIOXIDANT kwenye ngozi. Antioxidants husaidia kupunguza athari inayotokana na free radicals, kuongezea ngozi ulinzi zaidi na kuifanya ni yenye afya zaidi miongoni mwa faida nyingine nyingi. Extract hii pia ni chanzo cha amino acids zitakazosaidia ku soothe irritated au barrier damaged skin na itasaidia sana ku improve muonekano wa ngozi iliyo dehydrated.

1. Lovelies, the cleansing oil hii ni nyepesi iliyotengenezwa kwa ku blend mchanganyiko wa Centella Oil kutoka Madagascar pamoja na aina 6 tofauti za plant-based oils kusaidia kuyeyusha impurities za kwenye ngozi, makeup, uchafu wote na kuacha ngozi ikiwa purified na refreshed.

SKIN 1004 CENTELLA LIGHT CLEANSING OIL ni cleansing oil nzuri sana na ukiachilia kuondoa uchafu na impurities kwenye ngozi, pia ni nzuri sana kuyeyusha uchafu wa kwenye pores hususan maeneo ya puani.

2. SKIN 1004 CENTELLA AMPOULE FOAM:

- A rich, foaming cleanser with the ideal pH level of 5 to effectively remove makeup and impurities without stripping the skin
- Advanced cleansing power removes 9269% of fine dust
- Ultra-fine baking soda powder attaches to sebum and waste in pores to effectively remove them
- Coconut-derived surfactants gently cleanse and moisturize the skin
- Contains Centella Ampoule that soothes and balances skin.
This cleanser is AMAZING!

And guess what my darlings, THIS CLEANSING DUO inapatikana kwetu kwa Tshs 100,000 tu.

Photos from Nayda Ahmed's post 01/10/2024

Lovelies, tumewaletea a very gentle RETINOL serum kutoka kwa a beautiful brand ya Dr. Althea. 0.1% Gentle Retinol Serum hii ni low-irritation formula iliyotengenezwa mahsusi kujali ngozi yako kwa ku combine the power of both Retinol and Bakuchiol.

Retinol k**a wengi tujuavyo iko considered as a gold kwenye ulimwengu wa skincare. Retinol; a derivative ya Vitamin A ni ingredient yenye faida kedekede kwenye ngozi zetu zikiwemo uwezo wa kuchochea the speed ya skin cell turnover hivyo kufanya ngozi kuonekana mpya na yenye afya zaidi kila kukicha, kuchochea uzalishaji wa collagen, kusaidia na elasticity, kupambana na makovu na blemishes and ofcourse brightening na kukupa an even skin tone. What can’t retinol do? :)

Bakuchiol na yenyewe ni potent antioxidant itakayo complement antioxidant ability ya vitamin A, hivyo kuipa ngozi ulinzi zaidi dhidi ya visible signs of environmental stressors na ku boost uwezo wa ngozi kuji repair kutokana na damage za zamani.

Na je mnajua kwamba kutumia Retinol na Bakuchiol pamoja kutatupa matokeo bora zaidi kwani Bakuchiol is proven to stabilise retinol and Bakuchiol helps retinol work longer before breaking down in the presence of air and light, so you’re likely to see better results.

Additionally, enriched with moisturizing ingredients like Panthenol, Birch sap, and Soybean oil, serum hii huipa hydration siku nzima; preventing dryness. Furthermore, its lightweight formula ensures quick absorption into the skin, leaving no residue behind.

Get this serum kwa Tshs 70,000 tu.

Photos from Nayda Ahmed's post 28/09/2024

My lovelies, tumewaletea hii beautiful and limited edition set itakayosaidia sana kufifisha makovu, calm the skin, brighten na ofcourse kulinda ngozi zetu dhidi ya mionzi hatarishi ya jua.

AXIS-Y What Is Your Weather Beauty Box ni a special and Limited edition box inayohusisha products mashuhuri kutoka brand ya AXIS Y. Box hili linajumuisha
1. Dark Spot Correcting Glow Serum 50ml (Full size)
2. Spot The Difference Blemish Treatment 15ml (Full size)
3. Complete No-Stress Physical Sunscreen V3 50ml (Full size)
4. Glow Your Own Way Pop Socket (unaiweka kwenye simu kwa nyuma k**a holder)
5. Embrace Your Glow Pop Socket (A phone holder pia ambayo unaweza ku share na rafiki yako)

1. The dark spot correcting glow serum ni serum iliyokua formulated na ingredients nzuri sana zikiwemo 5% Niacinamide, papaya, rice bran na natural plant extracts, na is designed to target dark spots, uneven skin tone, and dullness, leaving your skin visibly brighter and more radiant.

2. Spot the Difference Blemish treatment ni an intense serum iliyo formulated na salicylic acid, tea tree oil, pamoja na witch hazel, kusaidia ku effectively unclog pores, reduce inflammation, and soothe irritated skin, combating blemishes at their source. Serum hii ni mahsusi kwa Oily, sensitive na Acne prone skins kusaidia kuipa ngozi relief from breakouts na blemishes huku ikiacha ngozi yako ikiwa safi na yenye afya zaidi.

3. Complete No-Stress Physical Sunscreen V.3 ni a Physical Mugwort based sunscreen featuring 2% Niacinamide and Squalane that protects skin from UVA and UVB damage while providing the healing properties of skin-loving ingredients. The texture has been improved to an essence-gel finish, with Hyaluronic Acid added for additional hydration and the herbal fragrances have been excluded.

Kit hii ni nzuri sana my loves. Na unaipata kwa Tshs 100,000 tu. Imagine all these goodies kwa 100,000tshs tu!!

Photos from Nayda Ahmed's post 27/09/2024

Lovelies, leo tumewaletea this VERY BEAUTIFUL peel off mask; mask ambayo unaipaka na kuiacha kwa dakika 20 hadi 25 na kuibandua huku ikikuacha na More even skin tone, Smoother skin texture, Improved blackheads and whiteheads visibility na deep pore cleanse.

APRILSKIN Calendula Peel Off Pack (PHA+BHA+NIACINAMIDE) imesheheni ingredients nzuri sana ikiwemo Calendula Officinalis Flower, ua lililo mashuhuri kwa antioxidant properties zake, na kwa pamoja kuondoa kwa taratibu excess sebum na impurities bila ya irritation. The Niacinamide, PHA, and BHA wonder trio hufanya kazi kwa pamoja kuimarisha texture ya ngozi yako na ku promote an even skin tone. Utakavyokua unaibandua mask yako, uta notice a more refined skin texture na a radiant glow, giving you the refreshed and revitalized look you’ve been looking for.

Kutumia pack hii kutaipa ngozi yako gentle exfoliation na kuondoa excess oils huku ikisaidia ku refine texture ya ngozi yako na Dull and Rough skin na kufanya products utakazokuja kupaka ku absorb kwa haraka zaidi.

Jinsi ya kutumia pack hii ni rahisi sana. Osha uso wako vizuri kisha ukaushe. Paka an even layer ya the mask huku ukikwepa eyes, lips, and hairline. Leave on for 20~25 mins or until it completely dries.
Gently peel off the mask from outer edges and wipe away any excess with a fresh clean towel.
* The drying time may vary depending on your skin condition.

Jipatie this very beautiful mask inayoshauriwa kutumia mara moja au 2 tu kwa wiki kwa Tshs 65,000 tu kwa ujazo wa 100g.

Photos from Nayda Ahmed's post 23/09/2024

My lovelies, leo tena tumewaletea this cream ambayo ni beyond FANTASTIC. Ukiachana na kwamba ni kubwa sana kwani inakuja kwa ujazo wa 500grams; pia ina asilimia 30 (30%) ya Centella Asiatica Extract kusaidia ku heal ngozi yako, hydrate, protect, kusaidia na chunusi au issues nyingi za mwili na hata stretchmarks.

RICOCELL CICA & ARTEMISIA SUPER SOOTHING CREAM ni a very beautiful cream iliyosheheni ingredients nzuri nzuri kusaidia kuhuisha, kuboresha na kuipa afya ya ngozi yako; kuanzia usoni hadi mwilini.

Kwanza kabisa, ni mara chache kukutana na cream kubwa k**a hii yenye Centella extract kiwango kubwa k**a hii. Almost 30-50% ya Centella extract iko kwenye hii cream na kisha kusindikizwa na ingredients nyingine k**a Artemisia Leaf extract, Carrot root extract na Propolis root extract to provide intense care kwenye ngozi yako.

Centella Asiatica hufanya kazi nyingi sana ikiwemo ya ku strengthen na ku repair skin’s barrier, ni rich source of amino acids kusaidia ku soothe upset or compromised skin na huku iki improve hydration. Na je wajua kwamba kuna A 2022 study that reaffirmed that Centella asiatica helps skin with collagen production. Centella pia imeonekana kusaidia sana na stretch marks.

And did you know, Centella Asiatica Extract May also Improve Varicose Veins?

This cream my loves is absolutely beautiful. K**a umesumbuliwa kwa muda mrefu na issues k**a stretch marks, chunusi za mwilini, mwili kua mkavu na kuwasha sana, varicose veins au k**a unatafuta a cream that will make your skin stronger and healthier basi this is the one.

Get it today kwa Tshs 110,000 tu (yani mpaka ukilimaliza hili kopo utakua umeona matokeo makubwa sana).

Photos from Nayda Ahmed's post 13/08/2024

Leo tuna this hand cream that is as beautiful as it looks. Jigott Real Moisture Mango Hand Cream (100mls) ni moisturizer nzuri ya mikono that will help Hydrate & Nourish Your Hands pamoja na kulainisha ngozi ya mikono yako.

Lovelies, hand cream ni kitu ambacho kila mtu anapaswa kua nacho karibu. Either kwenye pochi au garini, it is important kua na handcream yako sababu mikono yetu inashika vitu vingi na mara nyingi mikono kubaki mikavu na isiyopendeza. A handcream itahakikisha mikono yako inakua na unyevu wa kutosha, milaini na ya kupendeza wakati wote.

Hand cream hii miongoni mwa ingredients nyingine, imewekwa Mango extract; an extract that is packed with so many benefits. Mango ni tunda ambalo kwenye ngozi hubeba faida nyingi kwani ni tajiri wa iaina 2 za makundi ya antioxidant; polyphenols, and carotenoids. Both are powerful antioxidants that will help protect your skin from free radical damage (sun, pollution, stress). Mango extract pia ni chanzo kizuri cha Vitamin C na Beta Carotene, ingredients ambazo kwa pamoja zitasaidia kuimarisha afya ya mikono yako kwa kuifanya i brighten, iwe yenye afya zaidi na iliyo soft.

Get your beautiful hand cream kwa Tshs 25,000 tu and enjoy how soft and smooth your hands will be.

Photos from Nayda Ahmed's post 09/08/2024

Lovelies, sote tunajua jinsi Collagen supplements zilivyo nzuri kwa kuimarisha ngozi na miili yetu, na leo tuna one of the top best Collagen supplements zenye 1,500mg ya LOW MOLECULAR FRENCH PREMIUM FISH COLLAGEN.
Collagen powder hii ni nzuri na itatupa matokeo ya uhakika kabisa my loves.

Nutrione - BB LAB The Collagen Double Care ni a Bi-functional Collagen itakayoipa ngozi double care na kusaidia kukaza na ku polish ngozi yako vizuri sana kuanzia ndani hadi nje.

Fish collagen imesheheni Type I collagen. Type I collagen inapatikana almost kila mahala kwenye miili yetu na ni aina ya Collagen inayo make up 70% ya ngozi zetu na ni collagen inayopatikana kwa wingi zaidi. You can already see how fish collagen can become your skin’s best friend!

Type I collagen ina uwezo wa kufanya vitu vingi na vizuri kwenye ngozi na miili yetu ikiwemo, reversing the aging process and decreasing the prominence of wrinkles and cellulite, kuchochea hydration kwenye ngozi, elasticity na firmness. Supplementing with fish collagen may help stimulate collagen synthesis in the bones, which is done by promoting cells that help build the bone matrix. This means that fish collagen may also help regenerate and heal your bones!

BB LAB pia wameenda mbali kwenye kuboresha supplement hii kwani wameenda mbali hadi ku source raw materials kutoka nchi mbalimbali kuhakikisha zinakua na ubora mkubwa na kutupa matokeo zaidi. Humu ndani kuna a reliable premium blend ya aina 6 tofauti za Vitamins na Minerals ambazo ni PANTOTHENIC ACID kutoka UK, BIOTIN kutoka FRANCE, VITAMIN C kutoka UK, VITAMIN D kutoka Switzerland, IRON kutoka CANADA na SELENIUM kutoka U.S.A.

Ukiachana na the Vitamins, pia supplements hizi zimejumuisha 9 premium ingredients including 17 probiotic strains, Vitamin A powder, Hyaluronic Acid, Niacinamide, Milk Ceramides na Elastin Hydrolysate.

Na je mnajua kwamba supplements hizi ni Halal and Kosher Certified.

These supplements taste so good kwani zina ladha ya Grapefruit na unapaswa kunywa moja tu kwa siku (recommended to take 1 sachet; atleast 30 minutes after your breakfast)

Get your supplements kwa Tshs 180,000 (box moja ni supply ya mwezi mmoja)

Photos from Nayda Ahmed's post 30/07/2024

Lovelies, leo tuna a beautiful body balm that will make sure inajali vyema ngozi ya mwili wako na kuiacha ikiwa healthier, yenye unyevu muda mrefu na hata kusaidia kupunguza stretch marks na kujali texture ya ngozi yako.

ESOMI SKIN BALM (200mls) ni a body lotion nzuri sana na itajali sana elasticity ya ngozi zetu kwani imesheheni ingredients nzuri sana zitakazosaidia kurudisha ngozi katika hali nzuri hususan baada ya mwili kupitia mabadiliko k**a ujauzito au kuongezeka uzito.

Miongoni mwa ingredients zilizomo humu ni pamoja na Hydrolyzed Collagen extract; ingredient iliyovunjwavunjwa na kua katika molecules ndogo ndogo na hivyo kuweza kupenya ndani zaidi ya ngozi yako kusaidia sana kuipa ngozi yako unyevu siku nzima, pamoja na kuchochea elasticity na afya ya ngozi.

HYDROLYZED ELASTIN (MARINE COLLAGEN) ni ingredient nyingine iliyomo kwenye cream hii na itasaidia sana ku hydrate ngozi, kuchochea ngozi yako kuzalisha seli mpya pamoja na kuipa ngozi a soft, hydrated appearance.

Tukija kwenye Centella Asiatica, hii ni ingredient iliyo na faida kedekede kwenye ngozi zetu. Centella Asiatica hufanya kazi nyingi sana ikiwemo ya ku strengthen na ku repair skin’s barrier, ni rich source of amino acids kusaidia ku soothe upset or compromised skin na huku iki improve hydration. Na je wajua kwamba kuna A 2022 study that reaffirmed that Centella asiatica helps skin with collagen production. Centella pia imeonekana kusaidia sana na stretch marks. No wonder this is a Holy Grail in Korean Skincare.

This cream ni nzuri sana. Ukiachana na kwamba itasaidia sana na hydration, kuipa ngozi afya na muonekano mzuri pamoja na kunukia vizuri, pia itasaidia sana na issues za stretchmarks.

This skin balm is available kwa Tsh 65,000 tu.

Photos from Nayda Ahmed's post 10/07/2024

Leo tuna this hand cream that is as beautiful as it looks. Jigott Secret Garden Lotus Hand Cream (100mls) ni moisturizer nzuri ya mikono that will help Hydrate & Nourish Your Hands pamoja na kulainisha ngozi ya mikono yako.

Lovelies, hand cream ni kitu ambacho kila mtu anapaswa kua nacho karibu. Either kwenye pochi au garini, it is important kua na handcream yako sababu mikono yetu inashika vitu vingi na mara nyingi mikono kubaki mikavu na isiyopendeza. A handcream itahakikisha mikono yako inakua na unyevu wa kutosha, milaini na ya kupendeza wakati wote.

Hand cream hii imekua infused na so many beautiful ingredients zikiwemo SACRED LOTUS/INDIAN LOTUS; a flower extract that has so many benefits including Anti Aging, soothing and Brightening; Beta Glucan, Lavender and Chamomile to really help take a good care of your hands.

Ps: The skin on your hands is thinner than that of other parts of your body, and it also has fewer oil glands. This means that the skin on your hands is more prone to dryness and irritation. Regularly using hand cream can help to protect the skin and prevent premature ageing.

Hand cream hii inapatikana kwetu kwa Tshs 20,000 tu my loves na ina ujazo wa mls 100. What are we waiting for babies? Let us take a good care of our beautiful hands!

Photos from Nayda Ahmed's post 01/07/2024

Our lovelies, tumepata fursa nzuri ya kushiriki maonyesho ya Saba saba na hivyo tunapenda kuwakaribisha kututembelea katika banda letu linalopatikana Karume Hall, mwanzo tu karibu na entrance.

Karibuni sana my dearies for a lot of goodies, amazing skin and body recomendations and many more discounts in some of our products and services.

You can call or send us a message on 0748 872339 for any inquiries.

Karibuni sana.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam