Gafu Health Care EService
Ushauri wa kiafya, Mazoezi, TIBA za magonjwa na changamoto mbalimbali za kiafya 0758886310
Ofa ni siku saba pekee kwa wenye matatizo ya mifupa wote
01/02/2026
FERTILITY BOOSTER*
Nipihie 0758 886 310
Husaidia mama & baba uwezo wa kutunga mimba.
*Kwa mama* *humsaidia* :
✓Kuboresha & kuweka sawa homoni ( vichocheo)
✓Kuwa na mimba isiyo kuwa na usumbufu
✓Kuzuia mimba kutoka au kuharibika
✓Kuwa na mtoto salama na mwenye afya na akili.
✓Hulinda afya ya mama na mtoto.
Ni GUMZO la mjini🤪
Nipigie 0758 886 310
18/12/2025
Share na ndg, jamaa na rafiki yako ili aweze kusaidika.
Piga 0758 886 310
UNAPOJENGA MISULI,JENGA NA MIFUPA
゚viralシfypシ゚viralシalシ
゚viralシfypシ゚viralシalシ
19/02/2025
*Dr. Ts Toothpaste*
*Hii ni dawa ya meno ya asili iliyotengenezwa kwa mchanganyiko wa mimea yenye faida zifuatazo:-*
*✔ Notoginseng – Husaidia kuzuia kutokwa na damu kwenye fizi.*
*✔ Honeysuckle – Hupunguza uvimbe wa fizi na kuimarisha afya ya kinywa.*
*✔ Green Tea – Huondoa harufu mbaya mdomoni na kuacha harufu safi na ya kupendeza.*
*✔ Blue Cleansing Factor – Husafisha meno kwa kina, kuyafanya meupe na yenye kung'aa.*
*✔ Herbal Factor – Hupunguza maumivu ya meno, huimarisha afya ya meno, na kusaidia kuondoa hali ya meno kuwa na hisia kali (sensitivity/ ukakasi wa meno unapotafuna vitu vigumu au sauti za msuguano).*
*Kwa maelezo zaidi, wasiliana nami:-*
*📲+255 758886310
17/02/2025
Mjali mtoto wako akue katika afya Bora
0758886310
Tezi dume inatibika bila upasuaji karibu tukuhudumie 0758886310
17/02/2025
Saratani (au kansa) hutokea pale ambapo seli za mwili zinapopoteza udhibiti wa mgawanyiko wake na kuanza kukua kwa kasi isiyo ya kawaida. Hii hutokea kwa sababu ya mabadiliko ya jeni (mutation) katika DNA ya seli. Mabadiliko haya yanaweza kusababishwa na mambo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na:
1. Urithi wa Kijenetiki – Baadhi ya aina za saratani, k**a vile saratani ya matiti na saratani ya ovari, zinaweza kurithiwa kutoka kwa wazazi.
2. Mionzi yenye Madhara – Mionzi mikali k**a vile miale ya jua (UV) na mionzi ya X inaweza kuharibu DNA ya seli na kusababisha saratani.
3. Kemikali hatari – Vitu k**a vile moshi wa sigara, kemikali za viwandani, na dawa za sumu zinaweza kuchochea ukuaji wa seli za saratani.
4. Virusi na Bakteria – Baadhi ya virusi k**a vile HPV (Human Papillomavirus) na hepatitis B na C vinaweza kusababisha saratani ya shingo ya kizazi na ini.
5. Mtindo wa Maisha – Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, kutofanya mazoezi, unywaji wa pombe kupita kiasi, na unene kupita kiasi vinaweza kuongeza hatari ya kupata saratani.
6. Uzee – Kadri mtu anavyozeeka, ndivyo DNA yake inavyoweza kupata mabadiliko zaidi, na hivyo kuongeza hatari ya kupata saratani.
Saratani inaweza kutokea katika sehemu yoyote ya mwili, na aina zake zinatofautiana kulingana na mahali inapojitokeza, k**a vile saratani ya mapafu, matiti, ngozi, damu (leukemia), na nyinginezo. Mapema kugundua na kupata matibabu huongeza nafasi ya kupona.
0758886310
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |