Tiba bila madhara ya baadae
Pata tiba na dawa zisizokua na madhara ya baadae. Tupo Mikoa yote. Karibu
03/05/2024
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO;
▪️Kuhisi tumbo linauma kwa kukwangua unapohisi njaa
▪️Uchovu
▪️Maumivu makali ya tumbo
▪️Tumbo kujaa gesi
▪️Kutapika damu au kuharisha damu kwa wenye usugu wa tatizo hilii
▪️Kushindwa kumeza chakula vizuri au kuhisi chakula kinarudi
▪️Maumivu ya mgongo.
Ukiona dalili hizi usikae na tatizo kwakuwa tatizo huongezeka siku baada ya siku na kupelekea madhara makubwa k**a vile kansa ya utumbo, tibiwa sasa.
Wasiliana nasi sasa tukupatie vijalizo asilia kwaajili ya kutibu tatizo na halitajirudia tena.Watu wa mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Piga sasa_0760550526
WhatsApp_ 0760550526
29/04/2024
AFYA YA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA/MFUMO WA CHAKULA.
📞0760550526
Mfumo wa chakula ni jumla ya viungo vya mwili vinavyofanya kazi ya kuingiza chakula mwilini,kusaga,kukisafirisha chakula ndani ya mwili,kuondoa lishe inayotakiwa na mwili na nyingne kuondolewa nje k**a uchafu.
VIUNGO VINAVYOHUSIKA KATIKA MFUMO WA MMENG'ENYAJI WA CHAKULA.
Umio,ulimi,INI,kinywa,kongosho,utumbo mpana na mwembamba,mfuko wa nyongo na tumbo,na rektamu.
MFUMO WA MMENG'ENYA WA CHAKULA IMARA.
Ni kitendo cha kuwa na mifumo wa mmeng'enyaji wa chakula unaofanya kazi yake vyema na ufanisi zaidi.
DALILI ZA MFUMO WAKO WA CHAKULA HAUPO SAWA.
👉🏼 kutopata choo mda mrefu (ukila Mara tatu upate choo pia tatu)
👉🏼 ukienda haja kubwa hutakiwi kusubiria,kupata maumivu na kulazimisha ( yaani kiwe laini na kufungamana k**a ndizi ) kikitoka k**a cha mbuzi ni tatizo.
👉🏼 kinyesi kuwa na harufu Kali sana na rangi nyeusi.Inaashiria kuoza kwa uchafu huo ndani ya tumbo kwa kukaa mda mrefu au bila kutoka kwa wakati.
👉🏼 kuwa na tumbo kubwa lenye umbo la U.
MAGONJWA AU MATATIZO YATOKANAYO NA MFUMO WAKO KUTOKUWA SAWA.
👉🏼 vidonda vya tumbo.
👉🏼 magonjwa ya INI na Figo.
👉🏼 mapafu kufeli.
👉🏼 bawasiri.(mgoro)kuota kinyama katika njia ya Haja Kubwa
👉🏼 kisukari na presha.
👉🏼 kichwa kuuma sana.
👉🏼 kuonekana na uso wa uzee ikiwemo chunusi.
👉🏼 Kansa ya tumbo na ya njia ya haja kubwa.
👉🏼 kukosa nguvu za kiume.
👉🏼 kiungulia na tumbo kujaa gesi.
👉🏼 acid mwilini.
👉🏼 Tatizo la kupata mtoto kutokana na tumbo kulalia sehemu za uzazi kwa wanawake.
👉🏼 kutopata choo.
JINSI YA KUIMARISHA MFUMO HUU KWA MATIBABU YA AWALI KABLA YA KUPATA MATIBABU YENYEWE FANYA HIVI.
👉🏼 maji mengi.
👉🏼 mazoezi.
👉🏼 mazoezi.
K**a mfumo wako utakuwa imara kuna asilimia 95% kutopata ugonjwa wowote fuata maelekezo na Tiba.
Wasiliana nasi 0670550526 kwa ushauri zaidi kuhusu dawa na tiba
29/04/2024
TATIZO LA TUMBO KUJAA GESI
Ndugu mpendwa, na ieleweke kuwa hali ya chakula kutokumeng’enywa tumboni mwako sio ugonjwa, bali ni baadhi ya dalili zinazokupata, kwa mfano; tumbo kuuma na kujaa gesi mara baada tu unapoanza kula chakula. Ingawa tatizo hili linaonekana kuwa la kawaida sana, lakini tatizo hili linaweza kutokana na vyanzo mbalimbali. Dalili za chakula kutokumeng’enywa unaweza kuzihisi mara kwa mara kila siku.
NUKUU: Hali ya kutokumeng’enywa kwa chakula tumboni inaweza kuwa dalili ya ugonjwa mwingine wa usagaji chakula tumboni mwako.
Je, Nini Dalili Za Tatizo Hili?
Watu wengi wenye tatizo hili wanaweza kuwa na dalili moja au zaidi, nazo huwa k**a ifuatavyo:
Tumbo kujaa gesi wakati anapokula chakula
Tumbo kujaa gesi muda mrefu
Kuhisi maumivu ya tumbo la juu
Kuhisi kiungulia juu ya tumbo
Tumbo kuunguruma sana mara kwa mara na kuhisi maumivu chini ya kitovu
Kuhisi kichefuchefu na kutaka kutapika
NUKUU: Wakati mwingine watu wanaosumbuliwa na tatizo hili pia hupatwa na kiungulia, lakini inasaema kumbuka kuwa kiungulia au chakula kutokumeng’enywa tumboni huwa ni hali mbili tofauti. Kiungulia huwa ni moto au maumivu unayoyahisi katikati ya kifua chako ambayo yanaweza kupenya mpaka kwenye shingo yako au mgongoni mwako wakati ama baada ya kumaliza kula.
Je, Nini Husababisha Chakula Kutokumeng’enywa Tumboni?
Chakula kutokusagwa au kumeng’enywa tumboni husababishwa na vyanzo vingi. Mara nyingi inaeleza hali hii hutokana na mtindo wa maisha ya muhusika mwenyewe, hasa katika matumizi ya vyakula, vinywaji au madawa ya vidonge anayoyatumia. Visababishi vya tatizo hili huwa k**a ifuatavyo:
Vyakula vyenye mafuta mengi sana, k**a vile chips, roast, nk.
Vyakula vilivyokobolewa k**a vile, ugali wa sembe, maandazi, chapati, nk
Utumiaji wa nyama mara kwa mara
Vinywaji vyenye caffeine nyingi,k**a vile pombe, kahawa, nk
Ulaji wa chokleti,
Uvutaji sigara
Kuwa na wasiwasi
Mazoea ya kula kwa haraka.
Mawasiliano (0760550526)
27/04/2024
Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kuondoa maumivu za kundi la NSAIDs: Ukuta wa utumbo hujilinda na madhara yatokanayo na tindikali ya utumbo (gastric acid) kwa kuwa na utando laini (mucus) ambao hutolewa na vichocheo vijulikavyo k**a Prostaglandins. Dawa hizi za kundi la NSAIDs huharibu mfumo wa kutengeza vichocheo hivi yaani prostaglandins na hivyo kufanya kuta za tumbo kukosa utando wa kuzilinda na mashambulizi ya tindikali hali ambayo hupelekea kutokea kwa vidonda vya tumbo..
26/04/2024
VIDONDA VYA TUMBO NI NINI?
Ni kuharibika kwa ukuta wa tumbo la chakula na sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba. Kuna aina kuu mbili (2) za vidonda vya tumbo.
1. Gastric Ulcers: hutokea kwenye mfuko wa tumbo la chakula
2. Duodenal Ulcers: hutokea sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
1. Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H.pylori)
2. Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
3. Kuwa na mawazo mengi
4. Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
5. Kunywa pombe na vinywaji vikali
6. Uvutaji wa sigara
7. Kuto kula mlo kwa mpangilio
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
2. Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
3. Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4. Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
5. Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
6. Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
7. Kushindwa kupumua vizuri
SULUHISHO
Tumia bidhaa zetu ni suluhisho pekee kwa tatizo hili maana huondoa chanzo cha ugonjwa sio kutuliza maumivu. Bidhaa zetu ni 100% NATURAL & HALAL ambazo hufanya mtu kupona na kuimarika afya yake.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
14110