WinnienaAfya
Tunatatua Changamoto za Magonjwa
FURAHA NA AFYA BORA, TIBA YA PRESHA INAPATIKANA!
Tunatoa tiba za kisasa,lishe bora na ushauri wa kitaalamu ili kudhibiti presha yako.
Usichelewe Pata suluhisho la haraka na maisha yenye afya ya moyo.
Tunapatikana Dar es Salaam Kimara Stop Over
☎️Wasiliana nasi 0659 958 995
22/10/2024
ILI MWILI WAKO UWE NA VITAMINI VYA KUTOSHA
22/10/2024
SULUHISHO LIMEPATIKANA
15/10/2024
07/10/2024
WALE WOTE WENYE MATATIZO YA GANZI
01/10/2024
TATIZO LA MIKONO/MIGUU KUFA GANZI NA KUWAKA MOTO🔥
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili
yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na
hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
DALILI ZINAZOAMBATANA NA UGONJWA HUU NI HIZI ZIFUATAZO👇
1.Mtu kuhisi ganzi
2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.
3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi.
4:Kushindwa kutembea vizuri n.k
VISABABISHI VYA GANZI KWENYE MIKONO NA MIGUU KUWAKA MOTO NI PAMOJA NA:👇
1. Shinikizo la Neva (k**a carpal tunnel).
2. Ugonjwa wa Kisukari (neuropathy).
3. Pungufu la Vitamini (B12, folate).
4. Mzunguko Duni wa Damu (k**a vasculitis).
5. Magonjwa ya Autoimmune (k**a multiple sclerosis).
6. Mavunjiko au Maumivu ya Misuli.
👉Kama unapitia changamoto hii Wasiliana nasi Kwa Ushauri na Matibabu.
☎️Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0659958995
04/09/2024
HII NI MAALUM KWA WANAWAKE WOTE WANAOJALI USAFI UKENI.
Hi
FEMICARE FEMININE CLEANSER:Ni Dawa au TIBA Asilia Iliyotengenezwa Maalum kwaajili ya kuwasaidia Wanawake wote wanaopata changamoto za Magonjwa mbalimbali Ukeni.
➡️Ndani ya Dawa hii Kuna Viambata Vifuatayo
1️⃣ Natural essential oil from plant.
2️⃣Amino acid.
3️⃣Rejuvenating minerals
4️⃣ Vegetable anti-Oxidant...
➡️Kwahiyo Kupitia viambata hivi FEMICARE FEMININE CLEANSER itakusaidia katika mambo yafuatayo:-
1:Kuondoa Fangasi sugu ukeni
2:kuondoa miwasho ukeni.
3:Kuondoa Uchafu na Harufu mbaya ukeni.
4:Inaondoa Maumivu Wakati wa Tendo la Ndoa.
5:Inarejesha Ute asilia ukeni na kufanya uke ubane.
6:Inatibu U.T.I sugu.
7:Inaongeza ulinzi ukeni Kwa kuzalisha bacteria walinzi na kuondoa bacteria wabaya.
Tunapatikana Kimara Stop Over (Dar es salaam).
☎️Tupigie:0659958995
Click here to claim your Sponsored Listing.