IJUE afya YAKO with Doctor octaph.
Doctor octaph Whatsapp 0752052185
05/03/2026
AFYA YA UZAZI
HEDHI SALAMA�
UCHAFU+HARUFU+MIWASHO UKENI
18/12/2025
⭕Mwanamke tambua vyema kuwa uatofauti wa mizunguko ya hedhi hutofautishwa na idadi ya siku utakapo kuwa ktk hedhi🩸 mfano mzr wa mzunguko wa siku 28 ni huu mwanamke mwenye mzunguko huu anaenda siku tano ktk hedhi na ni mzunguko wa kawaida kabsaa....k**a ilivo hap chini👇👇
01;Hedhi🩸 ni siku ya 1-5
02;siku ya 6-10 ni siku salama mwanamke huyu atashiriki tendo bila matoke ya mimba
03;siku ya 11-18 ni siku hatari ambapo kuna kuwa na uwezekano mkubwa wa mimba ktk siku ya urubishwaji wa mayai
04;siku ya 19-28ni siku salama kuelekea kuanza cycle ya hedhi nyingne....ahsante
HEDHI�
17/12/2025
✅Huu mchoro unaonyesha..👇👇 jinsi gani ya kutambua aina za uchafu utokao ukeni tazama hii
01;Usio na rangi na unavutika hii huashilia mambo salama k**a,ovulation kwa maana ya kipindi cha yai kupevushwa,Afya na ni salama zaidiii au ni moja wapo ya ishara ya ujauzito
02;Gray..hii huashilia maambukizi ya bacteria vaginosis
03;pink..Hii ni damu ya mlango wa kiazazi ambayo huwa ni matokeo ya matumizi ya uzazi wa mpango na michubuko
04;njano ..hii huashiria magonjwa ya ngono
05; Nyekundu..inaashiri hedhi,saratani au vimbe
✅Ahsant ...k**a unajua unapitia haya kati ya hizii chukua uamzi sas dr octa..+255752185
29/06/2024
🍎🍎 *JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?*
Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.
Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.
🍎🍎 *VYANZO VYA SUMU MWILINI*
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana
🍏Matumizi ya dawa mara kwa mara
🍏Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
🍏Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
🍏Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
🍏Matumizi ya madawa makali.
🍏Uzito mkubwa
🍏Mitindo ya maisha
🍏Njia za uzazi wa mpango za kisasa
🥭🥭 *DALILI ZA KUWA SUMU MWILINI*
🍎Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
🍎Kuwa na uzito wa kupindukia
🍎Kutopata choo au kupata choo kigumu
🍎Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
🍎Kichwa kuuma kila mara
🍎Kupata miwasho sehemu mbali mbali za mwili
🍎Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
🍎Kuwa na hasira mara kwa mara.
🍎Tumbo kujaa gesi nk
🥭🥭 *MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*
🍎Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🍅Kupata maambukizi ya figo
🍎Kupata maambukizi ya Ini
🍎Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
🍎Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
🍎Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
🍎Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
🍎Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
🍏🍏 *SULUHISHO LA KUDUMU*
📌Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia tibalishe / virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.
🩸🩺📌💉💊Bidhaa hii ni asili iliyo tengenenzwa kwa ubora wa hari ya juu sana,,ni salama kwa mtumiaji na haina madhara kwa mtumiaji.
🌶🌶 *FAIDA ZA KUONDOA SUMU MWILINI* .
🍏Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.
🍏Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.
🍏Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke
🍏Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.
🍏Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.
🍏Huondoa uchovu Na kuupa nguvu.
🍏Huondoa sumu zote mwilini
🍏Inaimarisha ubongo na kutunza kumbu kumbu
🍏Inaondoa madhara ya pombe na kulinda ini na figo
🍏Inaondoa mafuta yaliyo zidi mwilini
🍏Inazuia kuota kitambi baada ya kuitumia
🍏Inaondoa sukari iliyo zidi mwilini
🍏Ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu(presha)
*Tupo Dar es salaam MLIMAN CITY lakini pia
huduma zangu ni mikoa yote TANZANIA na nje ya Tanzania
Piga simu moja kwa moja uhudumi +255752052185
............*MSHAURI WA AFYA DR S*.............
Click here to claim your Sponsored Listing.