Biashara kubwa

Biashara kubwa

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Biashara kubwa, Health/Beauty, Dar es Salaam.

24/08/2024

TIBA HII
1.Kuondoa tezi dume na kuitibu bila upasuaji

2. Huzuia kuvimba kwa tezi dume (prostate gland) na kutibu matatizo ya haja ndogo kwa wanaume

3. Husaidia na huongeza uzalishwaji wa majimaji yanayolinda mbegu za kiume (semen) zisiharibike

4. Huimarisha nguvu za kiume na kukupa uwezo wa kushiliki tendo kwa kujiamini.

ZA TEZI DUME
1. Kutomaliza mkojo.

2. Kupata ugumu wakati wa kukojoa

3. Kushindwa kuzuia hamu ya kukojoa

4. Wakati wa usiku kukojoa mara kwa mara

5. Kupungukiwa na nguvu za kiume au kuishiwa kabisa

6. Mkojo kutoka bila nguvu.

7. Kukojoa mkojo au mbegu zenye damu

8. Maumivu ya viungo vya mwili k**a nyonga, kiuno, misuli nk.

TUNAPATIKANA JIJINI ES SALAAM
MWASILIANO YETU
0767 595 644
0621 217 832
Dkt. Emmanuel Theophilo

KUFAHAMU ZAIDI KUHUSU TEZI DUME
👇

DUME DALILI, NA LA
Saratani ya tezi dume ni ugonjwa hatari unaoathiri maelfu ya wanaume duniani kote kila mwaka.

Ya Tezi Dume:
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo. Tezi dume sio ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini.

Dume Inapatikana Wapi Katika Mwili?
Tezi dume inapatikana chini ya kibofu cha mkojo na inazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

Za Tezi Dume Katika Mfumo Wa Uzazi:
kutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa) ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizotengenezwa kutoka kwenye korodani, ambapo wakati wa tendo la ndoa, mwanaume anapofika kileleni, tezi dume hukamulia majimaji (shahawa) ndani ya mrija wa mkojo na kutolewa pamoja na mbegu za kiume k**a manii (Semen). Pia husaidia mbegu za kiume kubaki na uhai kwa muda unaostahili.

https://youtu.be/OWK8M8LamkU?si=370kRS_hfthgVJX3

👆🏾Fahamu zaidi hapo

Aina za Ya Tezi Dume:
Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume ambazo ni;

1) Maambukizi ya bakteria (Prostatitis).

2) Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostate Hyperplasia-BPH)).

3) Saratani ya tezi dume.

Ya Saratani Ya Tezi Dume:
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani (cancer). Tatizo Linakuja kiungo hiki (tezi dume) kinapoanza kutanuka kutokana na kugawanyika Kwa chembe chembe hai zake bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili.

Chembechembe hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini. Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa tezi dume.

Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani. Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.

Chanzo Cha Kupata Tezi Dume:
Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;

a) UMRI (Age).

Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wapo katika hatari kubwa ya kupata saratani ya tezi dume.

b) KURITHI (Genetics).

Familia yenye historia na saratani hii ipo katika hatari kubwa ya kupata saratani ya tezi dume.

c) LISHE HATARISHI.

Ulaji kwa wingi wa nyama nyekundu, mafuta (samli), maziwa ya krimu huongeza hatari kubwa ya kupata saratani ya tezi dume.

d) UNENE ULIOKITHIRI (Obesity).

e) UKOSEFU WA MAZOEZI.

f) UPUNGUFU WA VIRUTUBISHO, mfano vitamini D.

g) MAAMBUKIZI YA MARA KWA MARA KWENYE TEZI DUME.

h) MATUMIZI YA POMBE KALI, NA UVUTAJI WA SIGARA.

i) UWEPO WA SUMU NYINGI MWILINI.

Dalili Za Saratani Ya Tezi Dume:
Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (Benign Prostate Hyperplasia). Dalili hizo ni pamoja na;

a) Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.

b) Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.

c) Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.

d) Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.

e) Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu.

f) Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.

g) Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.

Kumbuka: Mtu mwenye tatizo katika tezi dume huanza kwa dalili ndogo ndogo sana mpaka mtu apate saratani ya tezi dume(prosate cancer) ujue amekaa na tatizo hilo kwa muda mrefu si chini ya miaka isiyopungua 10. Hii hutokana na mrundikano wa mkojo unaobaki kwenye kibofu na kwenye mrija wa mkojo(urethra) wakati unakojoa ukiendelea kujirundika kwenye kibofu na mrija baada ya muda unazalisha”Uric acid” na ndio inatengeneza saratani (cancer).

nyingi saratani ziko katika stage nne ambapo stage ya 1 na ya 2 ukiwahi unaweza kupona lakini ikishafika stage ya 3 na ya 4, hazitibiki bali unasaidiwa kupunguza makali kwa mionzi ukijitayarisha kupoteza maisha muda wowote.

Cha Tezi Dume:
Katika hatua za awali, tezi dume inapotanuka hugunduliwa kwa kupimwa kwa njia ya kidole cha Shahada. Hii ni njia ambayo daktari huingiza kidole cha shahada kwenye njia ya haja kubwa ili kuweza kubaini k**a tezi dume imetanuka. Kipimo hiki ndicho rahisi kinacho kubalika duniani kote na kisicho na gharama. Lakini kipimo hiki kimekuwa kikipata upinzani kutoka kwa wanaume kutokana na imani potofu ya wahusika wa tatizo hili kuona ni udhalilishaji.

digital re**al examination(DRE)
Kipimo kingine ni kipimo cha damu kuangalia kiwango cha aina ya protini iitwayo ”Prostate Specific Antigen (PSA), protini hii huwa juu kuliko kawaida k**a mtu ana saratani ya tezi dume na wakati mwingine k**a ana maambukizi (Prostatitis).

Kuchukua kipande cha nyama kwenye tezi (Prostate biopsy) kwa uchunguzi wa kimaabara.

Kipimo cha mawimbi sauti (Ultrasound) ambacho husaidia kuonesha ukubwa na sura ya tezi dume.

Vipimo vya CT scan na MRI kutambua k**a saratani imesambaa sehemu zingine za mwili.

Ya Saratani Ya Tezi Dume:
Watu wengi hukimbilia hospitali pindi wanapopatwa na madhara ya tezi dume na kujikuta wakipewa tiba ambazo huficha tatizo hilo kwa muda mfupi kisha tatizo hujirudia kwa kasi kubwa.

https://youtu.be/OWK8M8LamkU?si=370kRS_hfthgVJX3
👆🏾Fahamu zaidi hapo

dume iliyotanuka haiwezi kutibika kwa njia za madawa yenye makemikali au Mitishamba, lakini madawa au upasuaji hupunguza maumivu ya dalili na kuzifanya zisizidi sana.

Kuna njia tatu za kudhibiti tezi dume iliyotanuka ambazo ni;

1) Kusubiri na kufuatilia kwa ukaribu na daktari.
Inashauriwa kwamba kwa tatizo hili ni bora kuendelea kulichunguza bila kukimbilia tiba kali k**a dawa, upasuaji na tiba kemikali, mpaka pale mtu atakapoona hakuna njia mbadala.

2) Madawa.
Baadhi ya madawa wanayopewa wagonjwa wa saratani ya tezi dume yaligunduliwa miaka30 iliyopita yanasababisha athari kwenye ini, moyo, na kuvimbisha magoti,yamepigwa marufuku katika nchi haswa za ulaya.”(Johnathon Waxman, cancer specialist Hammer Smith Hospital, London).

3) Upasuaji.
Njia hii ambayo madaktari hutumia inapelekea ”70% ya wagonjwa kuwa mahanithi baada ya upasuaji, na 40% wanashindwa kuzuia mkojo kutoka wanapo banwa na haja ndogo.”

Kumbuka: Matibabu ya saratani ya tezi dume yanategemea hatua ya ugonjwa na umri wa mgonjwa.

https://youtu.be/OWK8M8LamkU?si=370kRS_hfthgVJX3
👆🏾Fahamu zaidi hapo

Ya Saratani Ya Tezi Dume:
Yafuatayo ni madhara ya tezi dume iliyotanuka ambayo ni pamoja na;

a) Kibofu cha mkojo kuuma; hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharubu figo na ini n.k

b) Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa.

c) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

d) Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika).

e) Ugumba (infertility, frigidity for men).

f) Kutokea kwa majipu sehemu ya tezi dume.

g) Kifo.

Madhara Ya Upasuaji wa Tezi Dume:
Baada ya mgonjwa wa saratani ya tezi dume kufanyiwa upasuaji, madhara yafuatayo yanaweza kutokea;

1) Kukosa uwezo wa kufikia mshindo yani hutoi shahawa (retrogade ej*******on).
Wazee wengi hulalamika sana baada ya upasuaji wa tezi dume hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.

2) Kuziba kwa njia ya mkojo kutokana na kuumia kwa njia hiyo wakati wa kufanyiwa upasuaji.
Baada ya upasuaji wa tezi dume, mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.

3) Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Urine Incontinence).
Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kudhibiti kutoka kwa mkojo katika siku za mwanzo baada ya operesheni. Hata hivyo hali hii hujirekebisha baada ya siku kadhaa kupita.

4) Kutokwa na damu katika siku za awali baada ya upasuaji.
Mara baada ya upasuaji wa tezi dume kupitia njia ya mkojo, Kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.

5) Ugumba.
Kwa kawaida wakati wa tendo la ndoa, mbegu za kiume kutoka kwenye korodani huingia kwenye urethra karibu na kijitundu cha kibofu cha mkojo. Wakati wa tendo la ndoa, misuli maalumu hufunga kijitundu hicho ili kuzuia mbegu zisiingie kwenye kibofu badala yake zielekee kwenye urethra ya katika uume. Hata hivyo, upasuaji wa tezi dume huondoa misuli hiyo na kufanya mbegu kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kuendelea kwenye urethra ya uume. Shahawa hizo hatimaye hutolewa nje ya kibofu pamoja na mkojo.

Kinga Ya Saratani Ya Tezi Dume:
1) Fanya mazoezi ya mwili na uwe na uzito unaostahili ukilinganisha na urefu wako.

2) Kula vyakula vyenye mafuta kiasi na hasa ya mimea, vyakula vyenye asili/vyenye soya, vyakula vyenye” lycopene”(inapatikana kwenye nyanya), tikiti maji na matunda mengine, mboga za majani kwa wingi na samaki.

https://youtu.be/OWK8M8LamkU?si=370kRS_hfthgVJX3
👆🏾Fahamu zaidi hapo

La Kudumu La Saratani Ya Tezi Dume:
Tezi dume inatanuka kwa sababu ya upungufu wa madini na virutubisho ambavyo mwili Unavihitaji. Hivyo basi tumekuandalia progam maalumu kwa wenye changamoto hii ya kutanuka kwa tezi dume na mfumo wa uzazi wa mwanaume.

Tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu.Bidhaa hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika mwili wa mwanaume ili kutengeneza afya bora na Nadhifu. Kwa yeyote atakayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha afya yake ya tezi dume (Prostate gland) na mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume awasiliane nasi kwa simu namba 0767595644
Dkt. Emmanuel Theophilo

24/08/2024

KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA NA KUISHIWA KUPATA MAPATO HABA?
LEO NA BIASHARA HII KUBWA KWA
TZS 185,000 TU.
NA UFURAHIE MAOKOTO YA KILA SIKU.

Je, umechoka kuhairisha shughuli za kubudurika na wale uwapendao kisa hupati MUDA?
Je, uko tayari kujituma na kufanya kazi kwa bidii kwenye biashara yako inayoweza kubadili maisha yako?
Ondoa shaka, BF SUMA ndio funguo wa kutimiza ndoto zako na zaidi!

ni nini?
BF SUMA
Bright
Future
Super
Unique
Manufacturer of
America
ni kampuni inayozalisha DAWA MBADALA ZA KIASILI zenye ubora wa hali ya juu, ubora wa kimataifa.
Kampuni ilianza mwaka 1993 mjini Hong Kong ikizalisha dawa mbadala za mifupa.
Baada ya muda mfupi, kampuni ilisambaa hadi Marekani kwa sababu ya UZALISHAJI WAKE WA KIPEKEE.
Kampuni iliendelea kusambaa haraka duniani kote kwa sababu ya UBORA WA BIDHAA zake. Iliingia Tanzania Febuari 2012.

Nini malengo ya ?
1. Kukufanya wewe uwe na AFYA BORA
2. KUKUONGEZEA KIPATO
Utapataje KIPATO kupitia BF_SUMA?

Usambazaji wa bidhaa za BF SUMA unatumia mfumo wa mtandao(network marketing). Nini maana ya network marketing?

Mfumo wa mtandao wa BF SUMA unakuruhusu kufurahia FAIDA ZA KIAFYA za bidhaa zake, KUPATA FAIDA kwa kuuza bidhaa zake na pia KUPATA MAPATO NA MARUPURUPU!

Unapataje haya mapato na marupurupu?
Mapato na Marupurupu yanagawiwa kulingana na POINTI zako na za watu walio chini yako. Pesa utakayopata pia itatofautiana kulingana na cheo ulichonacho.

Kwa kila cheo unapata kiasi gani cha mapato?

KUSOMA KWA MAKINI SEHEMU INAYOFUATA.
POINTI 1 = DOLA 1 ILIYOTUMIKA KUNUNUA BIDHAA YA BF SUMA

KUNDI LAKO NI WATU WALIO CHINI YAKO KATIKA MTANDAO.

Kwa cheo cha '1 Star':
Cheo hiki utakipata pale utakapojiunga k**a msambazaji wa BF SUMA.
Utakuwa hujanunua bidhaa yoyote ya BF SUMA na hivyo hakutakuwa na mapato yoyote.

Kwa cheo cha '2 Star':
Cheo hiki utakipata pale k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 20 na zaidi kwa mwezi huo.
-Utakuwa bado huna mtu chini yako.

BF SUMA itakulipa 5% ya pointi zako.

Kwa cheo cha '3 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 20 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 300 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 9% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Kwa cheo cha '4 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 30 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 1000 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 13% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Kwa cheo cha '5 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 40 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 5000 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 17% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Mfano: K**a pointi zote ni 5100 malipo yatakuwa:
17% mara 5100= DOLA 867 sawa na TSHS 1,387,200 KWA MWEZI!!

Kwa cheo cha '6 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 50 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 8000, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 22% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Kwa cheo cha 'Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 50 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 12000 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Mfano: K**a pointi ni 13,000 malipo yatakuwa:
28% mara 13,000= DOLA 3,640 sawa na TSHS. 5,824,000 KWA MWEZI!!

Kwa cheo cha 'Senior Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una mtu mmoja(1) mwenye cheo cha 'Leader' katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya 5% ya jumla ya pointi za huyo Leader wa chini yako na watu walio chini yake.

Kwa cheo cha 'Diamond Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' wawili(2) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya kulipiwa safari BURE na BF SUMA pamoja na bonasi zote za vyeo vilivopita.

Kwa cheo cha 'Senior Diamond Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' watatu(3) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya kununuliwa gari BURE na BF SUMA pamoja na bonasi zote vyeo vilivopita.

Kwa cheo cha 'Crown Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' wanne(4) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya kugharamia kujenga au kununua nyumba BURE na BF SUMA pamoja na bonasi zote za vyeo vilivopita.
Pia utakuwa kati ya wale watakaopewa 3% ya faida ya mauzo ya kanda ya Africa!!

Kwa cheo cha 'Senior Crown Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' watano(5) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utakuwa kati ya wale watakaopewa 1.5% ya faida ya mauzo ya DUNIA!!
Pia utapata bonasi zote za vyeo vilivopita.

YOTE HULIPWA KWA DOLA ZA KIMAREKANI.
MALIPO HULIPWA KWA MWEZI.

K**a una maswali yoyote kuhusiana na mfumo wa malipo, wasiliana nasi:
Simu: +255 767 595 644
+255 621 217 832
Barua Pepe: [email protected]

Tazama maajabu ya mfumo huu!
Nchini Kenya, mwanamama mmoja huingiza DOLA 13,000 KWA MWEZI k**a mapato!!

Hapahapa Tanzania, baba mmoja aitwaye Mr. John aliingiza DOLA 2,100 NDANI YA WIKI 3!! Leo anaingiza zaidi ya DOLA 9,000 KWA MWEZI!! Na hiyo ni baada ya kujiunga na mfumo huu KWA MIEZI 5 TU!!

Pia wewe waweza kuwa mmoja wa wale watakaotoa ushuhuda hapo juu.
CHUKUA HATUA SASA NA BADILI MAISHA YAKO!!
HAKUNA KIKOMO CHA MAPATO!!!

Pia kuna BONASI k**a:
1. MFUKO MAALUMU KWA AJILI YA SAFARI BURE!!
Je wataka kusafiri daraja la kwanza kwenye ndege? Je wataka kulala kwenye hoteli yenye hadhi ya nyota 5? Fanya safari yako iwe vile upendavyo!! Malipo yote yatafanywa na kampuni!!!
Bonasi hii ni yako ukiwa na cheo cha 'Diamond Leader' na kuendelea!
UTAPOKEA HADI DOLA 3000!!!

2. MFUKO MAALUMU KWA AJILI YA GARI BURE!!
Je, wataka kutimiza ndoto yako ya kumiliki GARI LA KIFAHARI??? Weka oda tu!! Kampuni italilipia KABISA gari lako!!

Bonasi hii ya kushangaza ni yako ukiwa na cheo cha 'Senior Diamond Leader' na zaidi!
POKEA GARI LENYE THAMANI YA HADI DOLA 25,000 BURE!!!

3. MFUKO MAALUMU WA NYUMBA BURE!!
Wataka kufanya ndoto yako ya kumiliki nyumba bora na ya kifahari kuwa kweli? Pata nyumba yako sasa!! Kampuni italipia KILA KITU!!

Bonasi hii ni YAKO ukiwa na cheo cha 'Crown Leader' na kuendelea!!
POKEA HADI DOLA 300,000 KWA AJILI YA NYUMBA YAKO!!

4. BONASI YA 'CROWN LEADER'!!
Bonasi hii ni yako ukifika cheo cha 'Crown Leader'! UTAKUWA NA HAKI YA KUPATA 3% YA FAIDA KATIKA KANDA YAKO!!

5. BONASI YA 'SENIOR CROWN LEADER'!!
Bonasi hii ni yako ukiwa ma cheo cha 'Senior Crown Leader'!!
UTAKUWA NA HAKI YA ASILIMIA 1.5 YA FAIDA YA BF SUMA DUNIANI KOTE!!
UNAKUWA K**A MMOJA WA WAMILIKI!!(SHAREHOLDER)

, MARUPURUPU, BONASI ZOTE HIZI NI ZAKO!!
UNANGOJEA NINI??
JIUNGE NASI LEO!!

JIUNGE LEO na POKEA KIFURUSHI CHAKO CHA BURE CHA BF SUMA!!!
Kifurushi hiki cha BURE kina:
1. Kijitabu chenye orodha na maelezo kuhusu dawa za BF SUMA
2. Kijitabu cha mpango bora wa kibiashara kwa ajili yako
3. DVD ya bure yenye maelezo ya kina kuhusiana na BF SUMA
4. Badge maalumu ya BF SUMA
5. Kitambulisho k**a msambazaji wa BF SUMA

6. BOKSI LA '4 IN 1 REISHI COFFEE' BURE!!!
Kahawa hii muruwa na ya kiasili itakupa uchangamfu na kukujaza na virutubisho!!

Je, upo tayari kubadili maisha yako leo kwa kuwa sehemu ya familia ya usambazaji wa BF SUMA??
Wasiliana nasi SASA na uanze maisha yenye
AFYA BORA na KIPATO ZAIDI.
Tupigie: +255 621 217 832
+255 767 595 644
Dkt. Emmanuel Theophilo
Tutumie Barua Pepe: [email protected]

Kujiunga ni Tshs. 185,000 TU!!
HUTATOZWA PESA TENA!!
JIUNGE LEO UPATE '4 IN 1 REISHI COFFEE' YENYE THAMANI YA Tshs. 70,000 BURE!!!
BADILI MAISHA YAKO LEO!!

Je, upo nje ya Tanzania? Wasiliana nasi ili uweze kujua jinsi ya kujiunga na familia hii yenye manufaa makubwa!

Je we u mwanachama wa kikundi chochote cha maendeleo? Tunatoa semina BURE!! Wasiliana nasi tufanyie semina kikundi chako popote mlipo!!

Je, unataka tuje kufanya semina mahali ulipo? Wasiliana nasi! Tunatoa semina BURE popote ulipo!!

Je, una maswali yoyote kuhusiana na BF SUMA? Wasiliana nasi na uliza! Tupo muda wote kwa ajili yako!

Waweza kwenda kwenye tovuti ya BF SUMA kwa maelezo zaidi:-www.bfsuma.com
FUNGUO YA KUFANYA NDOTO ZAKO ZOTE ZIWE KWELI NI HII HAPA!!
ICHUKUE!!
JIUNGE NA FAMILIA YETU SASA!!

WASILIANA NASI
SIMU: 0767 595 644
0621 217 832

BARUA PEPE: [email protected]

Dkt. Emmanuel Evod Theophilo
Kiongozi katika kampuni kubwa hii ya kimataifa

24/08/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam
11102