Dr mery
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr mery, Health/Beauty, Dar es Salaam.
04/11/2024
Gcat hospital ,inatoa fursa ya kufanya vipimo vya mfumo wa uzazi na mwili mzima kwa bei nafuu ya Tsh 30,000/=.
●Huduma hii inapatikana katika mikoa yote ya Tanzania, na lengo ni kuhakikisha unapata vipimo sahihi na huduma bora za afya.
VIPIMO HIVYO VINA ANGALIA:
1. Mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake.
2. Afya ya mifupa ya nyonga.
3. Uchunguzi wa mwili mzima kwa ujumla.
Unaweza kuweka miadi yako sasa kwa urahisi ili kujipatia huduma hizi muhimu na kuhakikisha afya yako iko katika hali nzuri.
MAWASILIANO:
📞0747247861https://wa.me/message/TD4ZMINVQVFVP1
04/11/2024
*KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE (HYPOACTIVE SEXUAL DESIRE DISEASE/ HSDD)*
↔️Hii hali inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali ya kimwili, kihisia, na kisaikolojia. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:-
1. Mabadiliko ya homoni: Hii ni pamoja na mabadiliko yanayotokea wakati wa ujauzito, kunyonyesha, au kipindi cha kukoma hedhi (menopause), ambapo kupungua kwa homoni k**a estrogeni kunaweza kuathiri hamu ya tendo la ndoa.
2. Matatizo ya kiafya: Magonjwa sugu k**a kisukari, shinikizo la damu, au matatizo ya tezi ya thairoidi yanaweza kuathiri hamu ya tendo la ndoa.
3. Matumizi ya dawa: Baadhi ya dawa k**a vile za kutibu shinikizo la damu, unyogovu, au uzazi wa mpango zinaweza kupunguza hamu ya tendo.
4. Magonjwa ya afya ya akili: Msongo wa mawazo, unyogovu, au wasiwasi wa mara kwa mara vinaweza kupunguza hamu ya tendo la ndoa.
Tujifunze wote 👆👆🌹
04/11/2024
Mama mjamzito anashauriwa kulala katika nafasi bora ili kuhakikisha faraja na usalama wa mtoto aliye tumboni. Nafasi inayopendekezwa ni kulala upande wa kushoto (left side), kwani inasaidia kuboresha mtiriko wa damu kwa placenta na kumsaidia mtoto kupata oksijeni zaidi.
Kumbuka pia:
1. **Epuka kulala tumbo*: Hii inaweza kuwa hatari kadri ujauzito unavyoendelea.
2. **Epuka kulala kwamgongo**: Hii inaweza kusababisha shinikizo kwa mishipa ya damu na kuathiri mtiriko wa damu.
Ni muhimu pia kutafuta nafasi ya kulala ambayo inatoa msaada mzuri kwa mgongo ili kupunguza maumivu. Ikiwa kuna wasiwasi wowote kuhusu usingizi au afya, ni vyema kuwasiliana na daktari.
04/11/2024
*Ona madhara ya vidonda vya tumbo.*
*MADHARA YA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO*
✍️ *DAMU KUVUJA TUMBONI*
Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja. *Hali hii ni hatari sana na inahitaji tiba ya dharura.*
✍️ *KUTOBOKA KWA UKUTA WA TUMBO*
Vidonda vya tumbo huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.
Aidha, kuenea huko kunaweza pia kuathiri tezi kongosho na kusababisha madhara katika tezi hiyo, ugonjwa unaojulikana k**a pancreatitis.
✍️ *KUATHIRI VIUNGO VINGINE VYA MWILI*
Vidonda vya tumbo vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease)
✍️ *KUVIMBA KWA UKUTA WA TUMBO KWA NDANI* yanayosababishwa na vidonda hivi huweza kusababisha kuziba kwa njia ya kupitishia chakula kutoka kwenye tumbo (stomach) kwenda sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenum) hali ambayo kitaalamu huitwa gastric outlet obstruction.
✍️ *TATIZO LA KANSA*
Iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).
✍️ *TATIZO LA NGUVU ZA KIUME*
Hali itakayomuathiri mwanaume kupata hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kabisa kufanya tendo, kuwahi
kufika kileleni pamoja na kushindwa kutungisha Mimba.
✍️ *MWANAMKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA*
Hali inayopelekewa kwa homoni kuvurugika na mwisho MWANAMKE anakoswa hamu ya tendo la ndoa kushindwa kupata hedhi vizuri na kwa asilimia chache hupelekea MWANAMKE kutopata ujauzito
Usiteseke tatizo HILI linapona kabisa cha msingi fuata maelkezo ya kupata dawa hii MJARABU iitwayo stomach ulcers dozi yako ipo
04/11/2024
*UGONJWA WA MASUNDOSUNDO/GE***AL WARTS .*
*GE***AL WARTS - ( MASUNDO SUNDO ) NI NINI?*
Ni vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando Laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri, vinyama hivyo vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), maeneo yanayozunguka haja kubwa na sehemu mbalimbali za mwili.
Ugonjwa huu unaenezwa kwa njia ya kujamiiana SEXUAL TRANSMITTED INFECTION (STI)
*CHANZO CHA TATIZO HILI*
Ugonjwa wa Masundosundo husababishwa na virus waitwao HUMAN PAPILLOMA VIRUS ( HPV) hata hivyo Kuna Aina tofauti za virus wa HPV hivyo sio wote wanaosababisha tatizo hili kwani Kuna ambao wanaosababisha Masundosundo katika sehemu tofauti k**a vile mkono, mgongoni, mguuni nk.
Pia HPV huweza kasababisha saratani ya shingo ya kizazi (CARCINOMA OF THE CERVIX) kwa wanawake, na pia huweza kusababisha saratani ya sehemu ya haja kubwa (A**L CANCER) kwa jinsia zote mbili.
Watu walio na umri kuanzia miaka 14 hadi 35 wapo katika hatari ya kupata ungojwa huo hususan wanawake waliovunja ungo na wale walikatika umri wa kuzaa.
lakini pia makundi mengine yenye hatari ya kupatwa na ugonjwa huu ni pamoja na
1.Wanawake wajawazito
2.Waathirika wa VVU
3.Wenye magonjwa k**a kisukari ,saratani nk
*DALILI ZAKE*
Moja kati ya dalili za ugonjwa huo ni kuwa na vinyama au vinyuzi nyuzi mithili ya taulo laini katika sehemu za siri ambapo mara nyingi huwasha wakati wa joto au unaponyoa nywele sehemu za siri
Vinaweza kuota pia kwenye ulimi, mashavu ya uke, mapajani, katika lips za mdomo na usoni.Vinyama hivyo pia vinaweza kutokea usoni, hasa sehemu karibu na kope ama maeneo mengine k**a vile vidole vya miguu na mikono.
~mgonjwa kupata ganzi maeneo yaliyozungukwa na Masundosundo
~kutokwa na uchafu mzito sehem za siri na kuwashwa kupita maelezo
~kutokwa damu ukeni mara baada ya kufanya tendo la ndoa.
*MADHARA YAKE*
Warts inaweza kubainika kwa vipimo vya maabara. Warts zikitokea katika shingo ya kizazi, inaelezwa kuwa inasababisha saratani ya kizazi kwa wanawake na kwa upande wa wanaume inasababisha kansa kwenye sehemu ya njia ya mkojo
NOTED :mwanaume huwa anachelewa kupata dalili na huwa na uwezekano mkubwa wa kuambikiza wenza wao
04/11/2024
Click here to claim your Sponsored Listing.