Ibn na Afya

Ibn na Afya

Share

Umesumbuka na presha,kisukari kwa mda mrefu.Tokomeza presha na kisukari kwa tiba lishe za kiasili.

21/10/2024

Je wewe ni moja ambaye unaishi katika mikoa mitano inayoongoza kwa uzalishaji wa chakula (BIG FIVE)

Je unapitia changamoto ya kisukari na presha??

Umeangaika kutafuta suluhu ya changamoto yako bila ya mafanikio.

Tashangaa sana bado unasumbuka ujapata suluhisho la kudumu na upo katika mikoa hii nitafute niweze kakusaidia upate suluhu ukiwa nyumbani kwako.
255752369970

21/10/2024

Jinsi Ugonjwa wa Kisukari Unavyopelekea Kukosa Nguvu za Kiume…

Ugonjwa wa kisukari unashika kasi sana sikuhizi.

Zamani ulikuwa unaaminika ni ugonjwa wa wazee, lakini sasahivi hadi sisi vijana tunaupata.

Hivyo ni muhimu kujikinga nao kwa kula vizuri.

Kwasababu, unaathiri sehemu nyingi za maisha ikiwemo nguvu za kiume.

Utauliza, unaathirije nguvu za kiume? Ipo hivi…

Ile sukari nyingi iliyopo kwenye mishipa ya damu, inaathiri neva na mishipa ya damu pamoja na baadhi ya seli mwilini.

Sukari inaweza kuwa k**a gundi, nadhani hata wewe unaona jinsi inavyokunasia ikiwa katika mfumo wa majimaji.

Sasa, ndiyo hivyo hivyo inaenda kunata kwenye neva au seli ndani ya mishipa ya damu na kuathiri mzunguko mzima wa damu.

Pia, utakuwa na homa au maumivu, ambayo yataathiri mzunguko wako wa damu kuelekea kwenye viungo vyako vya uzazi.

Pia, kisukari inapunguza kiwango cha homoni za kiume mwilini, hivyo na nguvu za kiume zinapungua.

Vilevile, kisukari inasababisha presha na baadhi ya magonjwa ya moyo, na kupelekea kuishiwa nguvu za kiume.

NB:PATA SULUHISHO LA KUDUMU KUTOKOMEZA CHANGAMOTO HII ILI UWEZE KUWA MWANAUME RIJALI
NATIBU CHANGAMOTO HII KWA TIBA LISHE ZA KIASILI KABISA,JINYAKULIE TIBA UREJESHE HESHIMA YAKO
255752369970

17/10/2024

UGONJWA WA MOYO KUTANUKA,/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO.

Kutanuka kwa moyo maana yake ni moyo unakuwa mkubwa kuliko kawaida,moyo hutanuka kutokana na utanukaji wa misuli/ kuta za moyo ambayo ni matokeo ya misuli au kuta za moyo kufanya kazi kubwa kuliko uwezo wake.
Kutanuka kwa moyo ni matokeo ya itilafu inayotokana na moyo kutumia nguvu nyingi katika kusukuma damu mwilini,nguvu hiyo ndio hudhoofisha misuli/kuta za moyo na kupelekea misuli hiyo kutanuka

Je wajua nini hasaa chanzo cha moyo kutanuka

Kutanuka kwa moyo huchangiwa na moja ya sababu zifuatazo

1.Kupanda zaidi kwa shinikizo la juu la damu mwilini au kwenye mishipa inayounganisha moyo na mapafu

Hali ya presha au shinikizo la damu kuwa juu zaidi husababisha moyo kusukuma damu zaidi kuliko kawaida hali inayopelekea misuli/kuta za moyo kuwa nene hatimae hufanya moyo kuwa mpana.

2.Ugonjwa wa mishipa ya moyo pamoja na ugonjwa wa misuli ya moyo

Moyo wenye itilafu ya mishipa au misuli husababisha misuli au mishipa hiyo kukak**aa, kukak**aa kwa misuli/mishipa hupunguza uwezo wa moyo hatimae moyo hujaribu kutumia nguvu nyingi kusukuma damu hali inayofanya misuli kuwa minene

3.Uchache wa chembe hai nyekundu katika damu au uwingi wa madini ya Chuma katika damu.

Uwepo wa chembe hai nyekundu chache katika damu ambayo inatafsiriwa k**a ukosefu wa damu mwilini hufanya ubebaji na usambazaji wa damu mwilini kuwa mdogo hivyo moyo nguvu za ziada tena za haraka kukabiliana na hali hiyo na kupelekea kuta za moyo kutanuka

Kwa upande mwingine, uwingi wa madini ya chuma mwilini hufanya madini hayo kujijenga sehemu mbalimbali za mwili hasaa zaidi ogani za mwili k**a moyo.Uwingi wa madini haya kwenye moyo hudhoofu misuli ya moyo na kufanya misuli ya moyo kuwa minene.

4.Magonjwa ya tezi mfano Thyroid disease.

Magonjwa ya tezi hupelekea homoni kutolewa kwa kiwango kidogo au kingi, kuvurugika kwa mpangilio huu huathiri mapigo ya moyo, msukumo wa damu na ukubwa wa moyo na hivyo kuufanya moyo kuwa mnene.

5.Kurithi na matatizo ya kuzaliwa nayo kwa mfano kuwepo kwa tundu kwenye aorta

NB:UMESUMBUKA NA CHANGAMOTO HII KWA MDA MREFU,TIBA LISHE NDIO SULUHU YA CHANGAMOTO HII
NJOO UTOKOMEZE TATIZO HILI KWA BEI YA PUNGUZO SAWA NA BURE KWA KUJALI AFYA YAKO
+255752369970

17/10/2024

Je unapitia moja ya changamoto hizi na umetumia nyia mbalimbali kuondokana na changamoto hizi bila ya mafanikio Leo ni siku ya kipekee kwani ukichukua hatua stahiki utaenda kutokomeza changamoto hizi moja kwa moja

Je ni changamoto gani hizo?? usiwe na Shaka

•PRESHA YA KUPANDA(SHINIKIZO LA JUU LA DAMU)

•KISUKARI

•UZITO KUPINDUKIA

•MOYO MPANA

NB:Tiba lishe ndie kiboko wa changamoto hizi zote kwa utaenda kuandika historia na kuweza kurejea katika hali yako ya kawaida
Njoo tuongee changamoto hii namna ya kuzitokomeza
255752369970

17/10/2024

FAHAMU UGONJWA WA MOYO NA SABABU

Moyo
Ni ogani ambayo husambaza Damu kwenda maeneo yote ya mwili,

Damu hii hubeba Oxygen na lishe kupeleka maeneo yote ya mwili.

Moyo umegawanyika katika makundi 4

mawili ya juu atrium kulia na kushoto na chini ni ventricle Kulia na kushoto

Miongoni mwa Magonjwa ya Moyo ni Moyo kufeli (Heart Failure),

Shinikizo kubwa la Damu (High blood pressure),

Ugonjwa wa valvu za Moyo(Heart Valve Disease)

Tatizo la mishipa (Coronary artery disease)

Ugonjwa wa misuli ya Moyo (Cardiomyopathy) Na mengine mengi....

Zifuatazo ni sababu za kupata Magonjwa ya moyo

✔️ Historia ya familia Kurithi Magonjwa ya moyo

✔️ Kuwa na uzito au Unene mkubwa

✔️ Ugonjwa wa shinikizo la juu la Damu

✔️ Uvutaji wa sigara

✔️ Kutofanya mazoezi na maisha ya kutoushughulisha mwili

✔️ Umri mkubwa

✔️ Utumiaji wa pombe

✔️ Maambukizi ya bacteria na fangasi

✔️ Ugonjwa wa Kisukari

✔️ Baadhi ya vyakula hasa vya mafuta mengi

✔️ Msongo mkali wa mawazo

✔️ Lehemu mwilini Yaani "cholesterol"

✔️ Watoto wenye umri Kati ya miaka 5 hadi 15

NB:Leo wenda ni siku yako ya kipekee kwako kuondokana na tatizo hili pindi ukichukua hatua stahiki
Tiba lishe ndio suluhu ya tatizo hili.jinyakulie tiba sasa kwa bei ya punguzo
+255752369970

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam