Dr Valerian Skin care

Dr Valerian Skin care

Share

Skin care

15/11/2025

25,000 Arusha

Photos from Dr Valerian Skin care's post 24/10/2025

Ni Face cream inayoondoa tatizo la chunusi na madoa Kwa uhakika. Utaipata kwatu Kwa tsh 25 tu. Tunapatkana Arusha ..

02/10/2025

Treat acne

15/09/2025
Photos from Dr Valerian Skin care's post 03/08/2025

Wale wote wenye changamoto ya chunusi, weusi na makovu usoni hii face cream ni suluhisho la matatizo yote hayo ndani ya cku tano tu

29/07/2025

Hello boses

16/06/2025

Suluhisho la chunusi na madoa usoni, ni face cream nzuri sana Kwa wale wenye tatizo la chunusi zisizoisha

19/05/2025

TUJIFUNZE KIDOGO KUHUSU SABABU ZA CHUNUSI USONI 👌

🌿 Chunusi usoni (Acne) husababishwa na mambo mbalimbali hasa yanayohusiana na mabadiliko ya homoni, Usafi wa ngozi, na uzalishaji wa mafuta (Sebum) kwenye ngozi.

🌀 SABABU KUU ZA CHUNUSI

1🌿 Mabadiliko ya homoni -hasa wakati wa balehe, hedhi, ujauzito au kutumia dawa za kupanga uzazi.

2🌿 Uzalishaji mwingi wa mafuta (sebum)
Mafuta haya huziba matundu ya ngozi (pores) na kusababisha kuvimba au kutokea Kwa chunusi.

3🌿 Bakteria (Propionibacterium) - Bakteria hawa wanaweza kuongezeka kwenye ngozi na kusababisha uvimbe au chunusi.

4🌿 Vitu vinavoziba ngozi- Vitu k**a vipodozi vizito, mafuta au vumbi vinaweza kuziba matundu ya ngozi na kusababisha uvimbe au chunusi.

5🌿 Msongo wa mawazo (Stress) Msongo wa mawazo unaweza kuathiri homoni na kuchangia kutokea Kwa chunusi

6🌿 Kurithi (Genetics) Ikiwa wazazi wako walikuwa na chunusi Kuna uwezekano mkubwa ww pia kupata.

7🌿 Lishe - Ingawa si sababu kuu, bidhaa ya vyakula k**a vile vyenye sukari nyingi au maziwa vinaweza kuchangia chunusi Kwa baadhi ya watu.

🌀 Ikiwa una changamoto au tatizo lolote la ngozi, usisite kutuma ujumbe Whatsapp Kwa namba 0788, 916498 Tutakuhudumia kutokana na tatizo lako.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam