Dr Valerian Skin care
Skin care
15/11/2025
25,000 Arusha
24/10/2025
Ni Face cream inayoondoa tatizo la chunusi na madoa Kwa uhakika. Utaipata kwatu Kwa tsh 25 tu. Tunapatkana Arusha ..
02/10/2025
Treat acne
15/09/2025
03/08/2025
Wale wote wenye changamoto ya chunusi, weusi na makovu usoni hii face cream ni suluhisho la matatizo yote hayo ndani ya cku tano tu
29/07/2025
Hello boses
16/06/2025
Suluhisho la chunusi na madoa usoni, ni face cream nzuri sana Kwa wale wenye tatizo la chunusi zisizoisha
TUJIFUNZE KIDOGO KUHUSU SABABU ZA CHUNUSI USONI 👌
🌿 Chunusi usoni (Acne) husababishwa na mambo mbalimbali hasa yanayohusiana na mabadiliko ya homoni, Usafi wa ngozi, na uzalishaji wa mafuta (Sebum) kwenye ngozi.
🌀 SABABU KUU ZA CHUNUSI
1🌿 Mabadiliko ya homoni -hasa wakati wa balehe, hedhi, ujauzito au kutumia dawa za kupanga uzazi.
2🌿 Uzalishaji mwingi wa mafuta (sebum)
Mafuta haya huziba matundu ya ngozi (pores) na kusababisha kuvimba au kutokea Kwa chunusi.
3🌿 Bakteria (Propionibacterium) - Bakteria hawa wanaweza kuongezeka kwenye ngozi na kusababisha uvimbe au chunusi.
4🌿 Vitu vinavoziba ngozi- Vitu k**a vipodozi vizito, mafuta au vumbi vinaweza kuziba matundu ya ngozi na kusababisha uvimbe au chunusi.
5🌿 Msongo wa mawazo (Stress) Msongo wa mawazo unaweza kuathiri homoni na kuchangia kutokea Kwa chunusi
6🌿 Kurithi (Genetics) Ikiwa wazazi wako walikuwa na chunusi Kuna uwezekano mkubwa ww pia kupata.
7🌿 Lishe - Ingawa si sababu kuu, bidhaa ya vyakula k**a vile vyenye sukari nyingi au maziwa vinaweza kuchangia chunusi Kwa baadhi ya watu.
🌀 Ikiwa una changamoto au tatizo lolote la ngozi, usisite kutuma ujumbe Whatsapp Kwa namba 0788, 916498 Tutakuhudumia kutokana na tatizo lako.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam