Muya better health
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Muya better health, Health/Beauty, Dar es Salaam.
KARIBU MUYA BETTER HEALTH
*Tumejikita kutoa ushauri na Tiba kwa Changamoto zifuatazo
*Magonjwa ya Mfumo mzima wa Uzazi K**a* ugumba ,PID sugu nk
Nguvu za kiume naTezidume
▪️ Bawasiri
▪️UVIMBE Aina zote
•Presha na sukari
•Vidonda vya tumbo
•Menokuuma
*MAAJABU YA DAWA ZETU KWA VIDONDA VYA TUMBO.*
*Vidonda ya tumbo ni nnini?*
*Vidonda tumboni ni vidonda ama michubuko ambavyo utokea katikati ya ukuta wa tumbo na sehemu ya juu ya utumbo mdogo.*
Dalili kuu mojawapo ya vidonda vya tumbo ni kuhisi maumivu ya tumbo na tumbo kuwaka moto.
*(A). Aina za Vidonda vya tumbo*
Vidonda vya tumbo vipo katika aina mbili k**a ifuatavyo:
*1. Vidonda vinavyo jitokeza ndani ya kuta za tumbo na*
*2. Vidonda vinavyo tokea sehemu ya juu ya utumbo mdogo wa chakula.*
*(B). Dalili za vidonda vya tumbo*
Daliliza vidonda vya tumbo Ni pamoja na:
*1. Dalili kuu ya vidonda vya tumbo ni kuhisi maumivu ya kuungua kwa tumbo. Asidi ya ndani ya tumbo upelekea maumivu kuzidi, hasa pale tumbo likiwa halina kitu. maumivu yanaweza pungua endapo ukila chakula kinacho weza punguza asidi ndani ya tumbo au kwa kutumia dawa zinazo punguza asidi ndan ya tumbo, pia iyo hali inaweza rudi tena. maumivu yanaweza zidi katikati ya milo na wakati wa usiku.*
2. Kuhisi maumivu ya kuungua tumbo
3. Kuhisi tumbo kujaa
*4. Kuto vumilia vyakula vya mafuta*
5. Kiungulia
*6. Kichefuchefu*
*Vidonda vikikomaa utapata Dalili zifuatazo👇👇;*
✍️ Kutapika au kujisaidia damu – ambayo damu inaweza kua nyekundu au nyeusi
✍️ Damu nyeusi kwenye choo, au choo ambacho ni cheusi au kahawia
✍️ Kupumua kwa shida
kuhisi kuzimia
✍️ Kuhisi kichefu chefu na kutapika
✍️ Kupungua uzito isivyo kawaida
✍️ Hamu ya kula kubadili
*3.SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO👇👇.*
*1. Vidonda vya tumbo utokea wakati k**asi ya kulinda tumbo inakuwa haifai. Tumbo hutoa tindikali au asidi kali ambayo husaidia katika kusaga chakula na kulinda tumbo dhidi ya vijidudu (vimelea vya magonjwa).*
*2. Maambukizi ya bakteria.*
*Bakteria ya Helicobacter pylori kwa kawaida huishi kwenye safu ya mak**asi inayofunika na kulinda tishu zinazozunguka tumbo na utumbo mdogo. Mara nyingi, bakteria ya H. pylori husababisha matatizo yoyote, lakini inaweza kusababisha kuvimba kwa safu ya ndani ya tumbo, na kuzalisha kidonda.*
*3. Matumizi ya mara kwa mara ya dawa fulani za kupunguza maumivu. Kuchukua aspirini, pamoja na dawa fulani za kutuliza maumivu za dukani na zilizoagizwa na daktari zinazoitwa nonsteroidal anti-inflammat
Food that boost testesterone lever naturally
A kwanza ya mwanaume
TIBA YA ASILI KWA MAUMIVU YA VIUNGO, VIUNGO KUSAGIKA , NYONGA, MGONGO,KIUNO, MAGOTI ,MIGUU NK.
UFUMBUZI UMEPATIKANA.
MAUMIVU YA VIUNGO HUSABABISHWA NA VIUNGO KUSAGANA.
Kwa nini mifupa husagana na kusababisha maumivu ya viungo?
Kwenye maungio kati ya mfupa na mfupa kuna CARTILGE / MFUPA LAINI unao zunguka mfupa. kazi yake ni kuzuia mfupa usisagane na mfupa mwingine. Na hiya Cartilage inatengenezwa na kirutubisho kinachoitwa GLUCOSEAMINE kinachotengenezwa na mwili.
Pia kati ya mfupa na mfupa kuna ute ute unaoitwa SYNOVIAL FLUID unao tengenezwa na kirutubisho kinachoitwa CHONDROTIN .
SYNOVIAL FLUID NA CARTILAGE kwa pamoja mifupa isisagane kwenye mjongeo ( MOVEMENT).
Mtu anapofikisha miaka 30 na kuendelea GLUCOSEAMINE inashindwa kutengenezwa ya kutosha , hivyo CARTILAGE inaanza kupotea na CHONDROTIN inashindwa kutengenezwa na kusababisha mifupa kwenye maungio kuanza kusagana na kusababisha maumivu makali.
Ndio maana unakuta watu wazima wengi wana tatizo la maumivu ya viungo.
UFUMBUZI WA TATIZO HILI UMEPATIKANA.
ARTHROXTRA ni bidhaa ya asili GLUCOSAMINE kutoka kwenye mimea ambayo inakwenda kutengeneza CARTILAGE ( mfupa laini , gegedu) pia INA CHONDROTIN asilia inayokwenda kutengeneza SYNOVIAL FLUID/ uteute .
Huondoa maumivu ya viungo , mifupa, mgongo ,nyonga nk.
ZAMINOCAL - ina madini ya CALCIUM na ZINC bidhaa hii hufaa sana kuimarisha mifupa na maungio sababu haya madini ni muhimu sana mwilini.
-K**a utaitumia bidhaa hii basi mifupa yako itakuwa imara na yenye afya pia kamwe haitakuwa dhaifu na kuathiriwa na magonjwa.
-Hutibu matatizo yote ya mifupa na maungio.
Hazina kemikali ni salama kwa matumizi ya wanadam zimethibitishwa na TFDA .
Zina ubora wa Kimataifa kwa Huduma na ushauri zaidi mawasiliano,
+255785602193.TIBA YA ASILI KWA MAUMIVU YA VIUNGO, VIUNGO KUSAGIKA , NYONGA, MGONGO,KIUNO, MAGOTI ,MIGUU NK.
UFUMBUZI UMEPATIKANA.
MAUMIVU YA VIUNGO HUSABABISHWA NA VIUNGO KUSAGANA.
Kwa nini mifupa husagana na kusababisha maumivu ya viungo?
Kwenye maungio kati ya mfupa na mfupa kuna CARTILGE / MFUPA LAINI unao zunguka mfupa. kazi yake ni kuzuia mfupa usisagane na mfupa mwingine. Na hiya Cartilage inatengenezwa na kirutubisho kina
Faida ya Sunday la ndizi asubuhi na jioni
Pona imarika na isirudi tena
*FAIDA ZA KUTUMIA UZAZI PACKAGE KWA MWANAMKE.*
*Angalia👇*
*💊 Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.*
💊 Hutibu na kutokomeza tatizo la Genitalwarts(Visundosundo) sehemu za siri
*💊 Hutibu na kutokomeza tatizo la mimba kuharibika.*
💊 Hutibu na kutokomeza tatizo la uvimbe kwenye kizazi (Fibroid)
*💊 Hutibu tatizo la mayai kutopevuka (kutokomaa)*
*💊 Hutibu tatizo la kutopata Mimba(Ugumba)*
*💊 Hutibu na kutokomeza madhara ya Dawa za kuzuia mimba mfano madhara ya P2, NJITI, VITANZI, SINDANO n.k*
*💊Inatibu na kutokomeza Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu na harufu mbaya ukeni*
💊 Inatibu na kutokomeza P.I.D sugu na miwasho ukeni.
*💊Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.*
💊Inafanya Uke kuwa msafi na Kuongeza uteute wa uzazi muda wote.
*💊Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.*
*💊Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.*
*💊Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).*
*💊Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.*
*Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Uzazi package, Kiboko ya Ugumba na Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.*
Bidhaa hii unaipata popote ulipo katika ofisi zetu.
*Piga simu au tuma ujumbe kupitia namba hii 0785602193
es salaam
na mikoa yote Tanzania
*DALILI ZINAZOASHIRIA KUWA UNA KISUKARI..👇👇*.
Tafadhali, unapoona dalili hizi wahi kwa mtaalamu wa Afya mapema..
➡Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati..
➡Kwenda haja ndogo mara kwa mara.. Watoto kukojoa kitandani..
➡Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati..
➡Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri..
➡Kusikia njaa kila wakati na kula sana..
➡Wanawake kuwashwa ukeni..
➡Kutoona vizuri..
➡Kupungua nguvu za kiume.. au hamu ya kujamiiana kwa wanawake..
➡Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole..
➡Miguu kuoza na hata kupata gangrini..
➡Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu..
➡Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili Kutopona haraka..
➡Majipu ..
Hakikisha uonapo dalili hizi dhibiti sukari yako haraka kwa kuboresha ulaji wako lakini pia...
K**a utakuta sukari hakikisha haraka sana una anza matibabu ya diabetic package kuondokana na changamoto hii mapema...
Kabla haijawa kubwa zaidi...
*CALL/TEXT 0785602193
yako kwanza
Kaa kimya
16/12/2025
Imarisha afya yako
Click here to claim your Sponsored Listing.