Afya bora
TUNATOA USHAURI NA TIBA YA MAGONJWA MBALIMBALI
ACHA KUTESEKA SULUHISHO LIMEPATIKANA
0761 985 367
08/01/2025
SULUHISHO LA GESI TUMBONI
08/01/2025
Mlo kamili wa kila siku asubuhi
*KUTOPATA CHOO KWA MUDA MREFU AU KUPATA CHOO KIGUMU - (CONSTIPATION) - SULUHISHO*
*CONSTPATION NI NINI ?*
*Hili ni Tatizo la kutopata Choo Kwa *Muda Mrefu au Kupata Mara Chache*
*Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu* *Kubwa huwa inatumika.*
*CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?*
*Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula*
*Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula*
*K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:*
~*Kansa ya Utumbo.*
~*Uzito uliozidi.*
~*Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).*
~*Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.*
~*Kukosa usingizi(Insomnia)*
~*Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).*
~*Tumbo kujaa gesi.*
~*Vidonda vya tumbo (Ulcers).*
~*Upungufu wa nguvu za kiume.*
~*Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).*
π¦π¨ππ¨πππ¦ππ’ ππ ππ¨ππ¨π π¨ ππ π§πππ ππ¨π π ππππ ππ¨πππ‘π¬ππͺπ π¨π£ππ¦π¨πππ (π¦π¨π₯πππ₯π¬)π
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (π£π₯π’π¦π§ππ§π ππππ‘π) Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.
ππππππ ππ ππ¨π©ππ ππ ππͺπ π§πππ ππ¨π π π
π Kukojoa Mara kwa mara.
π Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
π Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
π Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
π Kupungukiwa nguvu za kiume.
π UTI ya Mara kwa mara.
π Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
π Figo kujaa maji.
π Kupoteza fahamu.
π Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
π Uume kushindwa kusimama vizuri.
π Kuwa na wakati mgumu wa kukojoa
07/01/2025
*SABUNI YA ANATIC*
Hii ni sabuni ya Asili isiyokuwa na kemikali, sabuni hii Huondoa changamoto za ngozi na kuifanya ngozi kuwa na muonekano mzuri WA Asili bila Madhara.
*SABUNI HII:*
βinaondoa chunisi usoni.
βinandoa mafuta yaliyoganda usoni.
βinaondoa mapele mwilini.
βinaondoa mapunyepunye.
βinaondoa harufu mbaya mwilini
na kukukinga na bacteria.
βinaondoa miwasho na fungus kwenye ngozi
βHuifaonya ngozi iwe laini na kavu yenye kuvutia.
Kuipata piga simu au tuma ujumbe kupitia namba hii 0620421892
07/01/2025
SULUHISHO LA TEZI DUME
07/01/2025
SULUHISHO LA MACHO
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
TABATA,KINYEREZI