Afya yetu

Afya yetu

Share

Tunatibu magonjwa yote sugu yasiyo ya kuambukiza kwa njia ya virutubusho lishe

24/10/2025

Karibuni sana

14/03/2025

VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo (kwa Kiingereza: "gastritis") ni miongoni mwa magonjwa ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula katika mwili wa binadamu. Huo ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi sana duniani na huwapata sanasana watu wazima kuliko watoto wadogo.

CHANZO CHAKE NINI HASA?

Chanzo kinaweza kuwa kongosho, tezi inayojihusisha na masuala ya mmeng'enyo wa chakula.

Kongosho hutoa baadhi ya vimeng'enya k**a asidi ili kusaidia kumeng'enya chakula kwa urahisi lakini inaposhindwa kupima kiasi cha asidi na kuzitoa nyingi mno utaandamwa na vidonda vya tumbo; ndiyo maana unashauriwa kunywa maji mengi.

Ni kwamba tindikali hizo zinazopatikana ndani ya tumbo humwagika kwa muda ambao tumbo limezoea kupokea chakula. Mtu anapokaa muda mrefu bila kula tindikali hizo humwagika tu na kukuta tumbo likiwa halina chakula, hivyo huanza kuchubua ukuta wa tumbo.

Jambo hili linapotokea mara kwa mara michubuko hiyo huongezeka ukubwa na mwisho huwa vidonda.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

Baadhi ya dalili za ugonjwa huo ni kuwa na maumivu makali ya tumbo, hasa mara ya kula chakula, tumbo kuwaka moto baada ya kula baadhi ya vyakula k**a dagaa, mimea ya jamii ya mikunde hasa maharagwe, pia pilipili.

Dalili nyingine ni kizunguzungu, kushindwa kupumua, tumbo kujaa gesi, kufunga choo, kukosa hamu ya tendo la ndoa, kuharibika kwa mimba, homa isiyopona, UTI sugu, choo chenye mchangayiko wa damu, kutapika damu, kupungukiwa damu, maumivu ya mgongo na misuli, kichomi, maumivu ya kichwa, kichefuchefu, kushindwa kula baadhi ya vyakula.

UKIFIKA KWENYE KITUO CHETU TUTAPIMA NA KUONA UMEPATA ATHARI KIASI GANI NA KUKUSAIDIA KUZITIBU KWA NJIA YA TIBA LISHE. NITAFUTE KUPITIA WHATSAPP LINK

AU NIPIGIE KWA SIMU NAMBA

Mara nyingi vidonda vya tumbo vinaambatana na chembe ya moyo yaani tumbo linapokusumbua huuma kwa kuambatana na chembe ya moyo na mgonjwa huteseka sana.

Endapo utahitaji dawa zetu utapewa dawa ambazo zitafanya kazi zifuatazo

1. Kuondoa mlundikano wa gesi tumboni
2. Kusaidia mmeng'enyo wa chakula
3. Kutibu makovu ambayo tayari yameshatokea
4. Kukukinga dhidi ya hatari za gesi tumboni na kukuondolea maumivu milele ya vidonda vya tumbo

Wasiliana nami kwa namba
0740608749
Au WhatsApp Linkhttps://wa.me/message/FQIBL762BDRBC1

05/03/2025

Afya yetu Tunatibu magonjwa yote sugu yasiyo ya kuambukiza kwa njia ya virutubusho lishe

05/03/2025
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Njia Panda Segerea
Dar Es Salaam