Afya

Afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya, Health/Beauty, majumba sita, Dar es Salaam.

19/02/2025

JE TEZI DUME INAWEZA KUWA CHANZO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?

Jibu ni NDIO

Twende pamoja
👇👇👇👇👇👇👇👇
Tezi dume ikivimba hupelekea kupungua kwa uwezo kitandani kwa mwanaume hii nikwasababu misuli inayohusika na kusimama kwa uume huanza kukosa umaridadi wake kutokana na kubanwa na tezi dume au mkojo kutokana na kutokuisha kwa mkojo kwenye kibofu au hata maambukizi baada ya tezi dume.
Pia zipo sababu nyingine za ki anatomically ambazo hupelekea kushindwa kuhimili tendo kabisa au kwa mda mrefu hii ni kwasababu anatomy ya mfumo wa uzazi kwa wanaume nipamoja na tezi dume BADO HUJACHELEWA MATIBABU YAPO

💎 Sasa tuanze kufaham baadhi ya Madhara yanayotokea kwenye hii Tezi Dume Mpaka kupelekea udhaifu kwenye nguvu za kiume. Kwenye hii Makala nitazungumzia kuhusu KUVIMBA KWA TEZI DUME (BPH).

👴Kwa kadiri mwanaume anavyozeeka, ni jambo la kawaida pia kwa tezi dume kuongezeka ukubwa na kuvimba. Hali hii kitabibu huitwa (Benign Prostate Hyperplasia) kwa kifupi BPH. Kwenye makala hii tutautumia sana ufupisho huu wa BPH ili kurahisisha mambo.

👴Ukuaji wa tezi dume hupitia hatua kuu mbili. Hatua ya kwanza hutokea kipindi cha balehe wakati tezi dume linapoongezeka ukubwa na kuwa mara mbili ya lilivyokuwa hapo awali. Baada ya hapo ukuaji husimama kwa muda mpaka kijana anapofikisha miaka 25 hadi 30 ndipo hatua ya pili ya ukuaji huanza tena. Ukuaji huendelea kwa viwango na kasi tofauti kati ya mtu na mtu na hatimaye kusababisha BPH katika umri wa utu uzima.

🤔BPH husababishwa na nini?

Chanzo halisi cha BPH au vihatarishi vyake (risk factors) havijulikani kwa uhakika. Kwa muda mrefu imekuwa ikichukuliwa kuwa BPH hutokea kwa wanaume watu wazima na wazee tu. ila kutokana na theories Mbali mbali za kitaalam zinathibitisha Kwamba kuvimba Kwa Tezi Dume inachochewa sana na hormonal imbalance ( mvurugiko wa homoni ) Sababu Kubwa ni uongezekaji wa estrogen kupita Kiasi, na hata Kupungua Kwa Uzalishaji wa hormone ya Testosterone.

Dalili za Kuvimba Kwa Tezi Dume.

Dalili za BPH hutokea kwa sababu ya kubanwa kwa njia ya kutoa mkojo nje ya mwili (urethra) au kibofu kushindwa kuthibiti mkojo. Aidha dalili hizi hutofautiana kati ya mtu na mtu, ingawa karibu wagonjwa wote

👉Hukojoa mkojo unaokatika katika.
👉Hukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu.
👉Husita kabla ya kuanza kukojoa.
👉Hali ya kujihisi kubanwa na mkojo kila mara.
👉Kushindwa kuthibiti mkojo kiasi cha mkojo kutirika wenyewe.
👉Hali ya kuhisi mkojo haujaisha kwenye kibofu.
👉Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
👉Kushindwa kukojoa kabisa (urine retention).

MADHARA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME.

BPH k**a ilivyo saratani ya tezi dume, inaweza kumletea mgonjwa madhara kadhaa. Madhara hayo ni pamoja na;

🌺Mkojo kushindwa kutoka (retention of urine).
🌺Mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo.
🌺Vijiwe kwenye kibofu cha mkojo.
🌺Uambukizi katika njia ya mkojo (UTI).
🌺Madhara katika figo au kibofu.
🌺Shinikizo la damu.
🌺Kushindwa kutoa shahawa kwenye uume (retrograde ej*******on).
🌺Nimonia (Pneumonia).
🌺Damu kuganda.
🌺Uhanithi.

Nb:WENGI WENYE TATIZO HILI LA KUVIMBA KWA TEZI DUME HUKOSA UWEZO MZURI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA HIVYO HUONEKANA K**A WANA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, WENGI WENYE HALI HII HUWA TUNATIBU CHANZO (TEZI DUME) NDIPO APATE MATIBABU YA UWEZO WA KUHIMILI TENDO LA NDOA.

MATIBABU.
Matibabu ya BPH yamegawanyika katika sehemu mbili, yale yanayofanywa kwa kutumia dawa na yale yanayofanywa kwa kutumia upasuaji mdogo. Aidha matibabu hufanywa kwa watu wenye BPH kubwa zaidi na dalili zinazowaletea usumbufu na kuathiri maisha yao, wakati wale wenye dalili ndogo ndogo hawalazimiki sana kuhitaji matibabu.

Ipo tiba ya tezi dume bila upasuaji kwaajili ya kuimarisha Afya ya Tezi Dume!

KWA MAELEKEZO ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA 👇🏽
KWA MATATIZO YOTE YA MFUMO WA UZAZI KWA MWANAUME👉UTI
👉Tezi dume
👉Ngiri(hernia)
👉Chango
👉Bawasiri n.k
☎️kwa msaada zaidi piga 0618695520

Afya 17/02/2025

Afya Health/beauty

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Majumba Sita
Dar Es Salaam