afya na zulfa
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from afya na zulfa, Health/Beauty, Dar es Salaam.
30/08/2025
Huduma hii na mikoani pia inapatikana sasa Kaz kwenu sijui Mpate nn Jaman
Wasiliana nasi 0754878776
07/04/2025
*WAJIBU WANGU NI KUKUELIMISHA KUCHUKUA HATUA NI MAAMUZI YAKO*
1. Unapohisi miwasho ukeni hata k**a ni kidogo tu.
2. Ukivua nguo ya ndani unakuta uchafu ambao si wa kawaida kabisa.
3. Uchafu unatoka k**a maziwa na muda mwingine rangi zingine, unaoambatana na harufu mbaya.
4. UTI zinazojirudia mara kwa mara.
5. Maumivu makali wakati wa tendo na muda mwingine kutoka damu wakati wa tendo pamoja na kukosa hamu ya tendo kabisa
6. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
*USIENDELEE KUPUUZIA DALILI HIZO MADHARA YANAWEZA KUWA MAKUBWA K**A;*
✍ Kupata Kansa ya kizazi.
✍ Kushindwa kupata ujauzito na hata ukipata unatoka mara kwa mara.
✍ Kushindwa kufurahia tendo la ndoa na kuvuruga mahusiano.
✍ Msongo wa mawazo ambao hupelekea kuvuruga homoni,
Na kusababisha kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kunakoambatana na maumivu.
✍ Tatizo la harufu mbaya na ukavu uliopitiliza.
K**a unapitia changamoto tajwa hapo njoo wasiliana na mimi sasa hivi kwa ushauri na Msaada zaidi.
Piga 0754878776
25/03/2025
Huduma hii na mikoan pia inapatikana sasa Kaz kwenu sijui Mpate nn Jaman
Wasiliana nasi 0754878776
24/03/2025
Habar karibun tuwaudumie sas Kitambi kinapingua Bila shaka ww mama, baba k**a unasumbuliwa na kitambi tupigie 0754878776
Afya yako nimuhim kwetu kalibn ETERNAL hospital
24/03/2025
K**A UNA DALILI ZIFUATAZO UJUE UNA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID
1. Kuwaka moto kifuani (Kiungulia) hasa wakati wa
usiku au unapolala, hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa
moyo baadhi ya nyakati. Hali hii hupelekea baadhi ya
watu kuhisi wana matatizo ya moyo
3. Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhisi
kuchanganyikiwa.
4. Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida
kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu
5. Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6. Kuwa na wasiwasi na hofu kubwa na hufikia
hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku
7. Moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi
mkubwa.
8. Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara
kutoka usingizini.
9. Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati
10. Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
11. Kupata kikokozi kisichoisha
12. Kuvimba Tonsilitis/mafidofido mara kwa
mara.
13. Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea
kutoa harufu mbaya ya kinywa
14. Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakini
kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
15. Kupata fangasi mdomoni (mdomo huanza
kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya)
16. Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za
kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa
17. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya
mabega, maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
Piga simu no. 0754878776
Tunapatikana:dareslam na mikoani pia
Click here to claim your Sponsored Listing.