Winnie Unga Lishe Products
Winnie Unga Lishe Products aina zote
KWA JUMLA NA REJAREJA
Tunapatikana KINONDONI DAR ES SALAAM
24/05/2026
*TUMEANZA KUPOKEA ODER ZA SIKUKUU YA EID AL ADHA*
TUNAOMBA MUWEKE ODER ZA VYAKULA MAPEMA .
CHAKULA KITAKUWA TAYARI KUANZIA SAA SITA KAMILI MCHANA.
TUTAKUWA NA CHAKULA CHA FAMILIA KUANZIA KG MOJA......
NA HATA CHAKULA CHA MTU MMOJA MMOJA ILA KITAPATIKANA KWA ODER TUU.
NA ODER TUNAPOKEA SIKU TATU KABLA YA SIKUKUU.
*Vile vile tutakuwa na vitafunwa aina mbalimbali pamoja na baites aina zote*
Fanya kuweka oder yako sasa.
*Wapendwa siku ya sikukuu sio lazima kila mmoja aingie jikoni tupo hapa kuhakikisha unapata chakula safi kabisa na kitamu sana*
🔥JUICE PIA ZITAKUWEPO(kwa oder)
Weka oder yako sasa
0711288613
*PILAU NYAMA*
*BIRYAN NYAMA YA NGOMBE*
*PILAU KUKU UKWAJU MKAVU*
*BIRYAN KUKU*
KACHUMBARI
SAMBARO🔥🔥🔥🔥😋😋😋
22/05/2026
WINNIE PRODUCTS.
Hello boss wekeza kuanzia tsh 500 ,1000,hadi 2000 kila siku ili kuweza kupata bidhaa zetu.
@ Tuko na bidhaa aina mbalimbali .
K**a vile
💯Unga wa lishe.
💯Mixed butter
💯Vitafunwa aina mbali mbali.
💯Cokies aina zote.
💯Chai ya Bibi na Bwana.
💯Chumvi tiba.
💯Pamoja na Baites aina zote
Bonyeza link hii kujiunga👇
https://chat.whatsapp.com/HPkXOdUIApoKOG5NrLiHSI?s=cl&p=a&mlu=1
Watu wa mikoa yote tunaruhusiwa.
Siku yako ya kupokea ikifika utatumiwa kwa bus.
WINNIE PRODUCTS.
Hello boss wekeza kuanzia tsh 500 ,1000,hadi 2000 kila siku ili kuweza kupata bidhaa zetu.
@ Tuko na bidhaa aina mbalimbali .
K**a vile
💯Unga wa lishe.
💯Mixed butter
💯Vitafunwa aina mbali mbali.
💯Cokies aina zote.
💯Chai ya Bibi na Bwana.
💯Chumvi tiba.
💯Pamoja na Baites aina zote
Bonyeza link hii kujiunga👇
https://chat.whatsapp.com/HPkXOdUIApoKOG5NrLiHSI?s=cl&p=a&mlu=1
Watu wa mikoa yote tunaruhusiwa.
Siku yako ya kupokea ikifika utatumiwa kwa bus.
20/05/2026
Weka oder yako sasa
20/05/2026
Tunapokea oder kuanzia sasa
17/05/2026
Winnie Products.
Tunauhitaji mkubwa wa mawakala kwa bidhaa zetu zote
Wateja ni wakutosha na uhakika tunakuunganisha nao kazi yako ni kuwahudumia tuu.
Watu wangu wa
-NAIROBI,MOMBASA,KENYA.
-ARUSHA
-MOSHI
-MWANZA
-TANGA
-MBEYA
IRINGA
NAOMBA MJE TUFANYE KAZI WATEJA NI WAKUTOSHA NA UHAKIKA
UWE NYUMBANI AU OFISINI MUHIMU WATEJA WAPATE HUDUMA KWA WAKATI.
UKIWA NA MTAJI KUANZIA LAKI MOJA NA 20 UNAWEZA KUANZA KARIBU SANA
0711288613 TUNAPATIKANA Tanzania Dar es salaam
17/05/2026
-Winnie Products
ni waandaaji na wasambazaji wa bidhaa mbali mbali zenye kujenga mwili na kuupa mwili nguvu na afya njema.
-Unga lishe wenye kuongeza damu.
-Unga lishe wenye kuongeza Hamu ya kula .
-Unga lishe wenye kuongeza uzito.
-Unga wa lishe kwa watoto kusaidia katika ukuaji ,kumpa hamu ya kula ,afya,nguvu na ushupavu.
-Butter mixed yenye kusaidia kurejesha kumbukumbu ,kumfanya mtoto awe na akili kubwa pamoja na afya njema.
Inafaa kwa wagonjwa na watu wenye kumbumbu ndogo na hata matatizo ya akili.
Butter mixed ni tsh 18000/= ujazo wa gram 500.
Unga lishe aina zote kg 1 ni tsh elf 15000/=
Tupigie 0711288613.
Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia tupo.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
14109