DR sharifu juma
Mimi ninashughulika na kutatua changamoto mbalimbali za kiafya kwa kutumia mimea na virutubisho
11/09/2025
BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.
‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISO•
🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS.
Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa,
Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa.
BAWASIRI YA NDANI.
Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➡️Huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➡️pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia
BAWASIRI YA NJE
➡️Hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.
Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➡️ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➡️ujauzito
➡️kuhara kwa muda mrefu
➡️kutopata choo kwa muda mrefu
🍇DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
-kujisaidia choo chenye harufu Kali
-kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Kinyam kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa
🍇MADHARA YA BAWASIRI
➡️upungufu wa damu mwilini
➡️kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
➡️kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➡️Kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapozid
Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua.Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa na kutokwa na damu mara kwa Mara
WASILIANA NASI *CARE & CURE HERBAL CLINIC* KUPATA MATIBABU BILA OPERATION NA BILA KUJIRUDIA
09/09/2025
Dawa Asili
✨HERBAL HEALING✨
Ngiri & Bawasiri zinatibika bila upasuaji, bila maumivu na bila kujirudia ✅
👉 Wasiliana na CARE & CURE HERBAL CLINIC
📞 +255 792 527 587
and cure
---
DALILI ZA MSHIPA WA NGIRI / HERNIA
Ngiri inaweza kuambatana na dalili zifuatazo:
1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu, hasa wakati wa baridi au baada ya kula vyakula vya baridi/vitamu.
2. Tumbo kujaa gesi, kupiga miungurumo na kuonekana k**a kitambi.
3. Shida ya haja kubwa – kuvimbiwa, kutoa upepo tu au kwenda haja mara nyingi.
4. Maumivu ya mgongo, kiuno, kinena na kati ya paja (wakati mwingine miguu kuungua moto au kupata ganzi).
5. Kushuka au kuvimba kwa korodani / korodani kupanda juu.
6. Tatizo la nguvu za kiume – hamu kupungua, uume kusinyaa au kushindwa kuendelea na tendo.
7. Kupungua kwa nuru ya macho taratibu.
8. Maumivu ya kifua (hasa hiatal hernia).
---
👉 Kwa tiba ya asili bila upasuaji wasiliana na:
CARE & CURE HERBAL CLINIC
---
🍇 BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION
Bawasiri (Hemorrhoids) ni uvimbe wa mishipa ya haja kubwa unaosababisha maumivu, miwasho, kutokwa damu au kinyama kuota ndani/nje ya tundu la haja kubwa. Tatizo hili huwapata watu wa rika zote.
✅ Aina za Bawasiri:
1. Ya Ndani – uvimbe huanza ndani na wakati mwingine hutoka nje wakati wa haja kubwa.
2. Ya Nje – uvimbe hujitokeza moja kwa moja nje ya tundu.
🚫 Sababu zinazochangia:
Kukosa choo kwa muda mrefu au kuharisha mara kwa mara.
Ujauzito.
Kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula usio sawa.
🔎 Dalili kuu:
Maumivu na miwasho sehemu ya haja kubwa.
Kinyesi kuchanganyika na damu.
Kijiuvimbe kuota sehemu ya haja kubwa.
Kushindwa kuzuia upepo au kinyesi.
Hamu ya tendo la ndoa kupungua.
⚠️ Madhara:
Upungufu wa damu.
Maumivu makali kila ukijisaidia.
Kutojiamini mbele za watu kutokana na miwasho na usumbufu.
💊 Tiba:
Hospitali hutibu kwa operation, lakini mara nyingi hujirudia na kuleta maumivu makali.
👉 Kwa tiba ya asili isiyo na operation na isiyojirudia, wasiliana na:
CARE & CURE HERBAL CLINIC
10/07/2025
*P.I.D NI UGONJWA GANI?*
Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (PID)
Maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke hujulikana kwa kitaalamu k**a ‘Pelvic Inflamatory Diseases’ yaani P.I.D
P.I.D ni ugonjwa mpya katika jamii yetu na ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.
Maambukizi haya huweza kuhusisha shingo ya uzazi, yanaweza kuwa pia kwenye nyama ya mfuko wa uzazi, na katika mirija ya uzazi.
*NI NINI HASA HUSABABISHA P.I.D?*
Huu ni ugonjwa wa unaotokana na bakteria wanaojulikana kwa kitaalamu bakteria wa jamii ya ‘Neisseria Gonorrhoeae’ na kundi lingine la bakteria hawa hujulikana k**a ‘Chlamydia trachomatis’.
Makundi haya mawili ya bakteria ndiyo wanahusika kwa sehemu kubwa na ugonjwa huu wa P.I.D.
*JE P.I.D HUAMBUKIZWAJE?*
Zipo njia kadhaa ambazo wanawake wanaweza kuambukizwa ugonjwa wa P.I.D.
*Baadhi ya hizo njia ni pamoja na:*
2. Maambukizi katika njia ya uzazi baada ya kujifungua
3. Kutoa ujauzito
4. Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango
5. Kuwa na wapenzi wengi
6. Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea vya PID hasa katika harakati za upasuaji nk.
DALILI ZA P. I. D
Wapo baadhi ya wanawake ambao wanaweza kuwa na ugonjwa huu na wasionyeshe dalili wala ishara zozote za kuwa nao.
Mwanamke akianza kuonyesha dalili za ugonjwa wa P.I.D anaweza:
1. Kuhisi maumivu ya tumbo hasa maumivu chini ya kitovu
2. Kutokewa na maumivu ya mgongo mara kwa mara
3. Kupata utoko mchafu sehemu za siri ambao huambatana na harufu mbaya k**a shombo ya samaki
4. Kupata maumivu wakati wa kukojoa
5. Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
6. Kupata damu bila mpangilio akiwa kwenye siku zake
7. Kuwa na homa mara kwa mara
8. Kichefuchefu
9. Kutapika
MADHARA YA P. I. D
P.I.D inaweza kukuletea madhara yafuatayo usipochukuwa hatua ya kutibu tatizo hili mapema
✳Inavuruga homoni
✳Inavuruga mzunguko wa hedhi
✳Inasababisha uke kuwa mkavu
✳Inaondoa ute ute wa uzazi (ovulation)
✳Mirija ya uzazi itajaa maji
✳Mirija ya uzazi kuziba au kuvimba
✳Inaweza kukuletea saratani ya shingo ya kizazi
✳Inaweza kukufanya kuwa mgumba
*JINSI YA KUPAMBANA NA P.I.D)*
Ili kutibu aina yoyote ya maambukizi ya ndani ya mwili ambayo yanahusu bakteria, virusi au fangasi kunategemea sana na uimara na ubora wa kinga yako ya mwili.
Kinga yako ya mwili inajumuisha aina ya seli nyeupe maalumu ambazo hutafuta na kuua bakteria na vijidudu vingine nyemelezi ambavyo husababisha magonjwa.
Kinga yako ya mwili inapokuwa ni dhaifu bakteria wabaya wanaweza kuongezeka na kujirundika mwilini na kusambaa mpaka kwenye via vya uzazi kwa njia ya damu.
Kwahiyo ili kutibu na kukinga P.I.D unahitaji kuwa na dawa ya uhakika ya kuboresha kinga yako ya mwili ifanye kazi kwa kiwango chake cha juu kabisa.
Kwa huduma/ushauri na kupata bidhaa za kumaliza hii shida Wasiliana nami
CARE AND CURE
LOCATION
DSm -MBAGALA
10/07/2025
DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)*
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1. Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3. Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4. Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5. Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6. Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7. Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8. Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10. Kupata kikokozi kisichoisha
11. Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12. Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13. Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14. Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15. Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17. Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18. Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19. Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20. Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21. Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.Kichefuchefu na kutapika.
23. Maumivu ya Masikio
24. Kupata ganzi kwenye vidole vya miguu au mkono.
06/07/2025
FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .
Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;
Moja,Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa,uwenda ikawa bawasi ya ndani au ya nje.
Mbili, Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea,kwa asilimia 90 hii utokea pale unapo kaa chini because mgandamizo wote unakuwa chini kwa asilimia 100
Tatu, Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa, hii inathiri sana lakini ndicho kinacho pelekea kupata bawasi iyo tuliozungumzia apo juu.
Nne, Kujichua/punyeto Punyeto Punyeto Punyeto. Nimeiita mara 3 punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu unazani ata ile raha utapata asilimia 98 MWANAUME anapata raha pale anapo mwaga.
Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.
Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani
Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.
Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.
Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua na utatumia gharama nyingi mpaka kukaa sawa.
K**a unahitaji Matokeo Mengine ya waliotumia Dawa yetu na wakapona Tafadhali nitafute inbox
NB: Kwa Wanawake pia Ambao wanakosa hisia za kushiriki Tendo Dawa yao Ipo
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Care & cure Herbal Clinic
Location:
Dsm - Mbagala
04/06/2025
DALILI ZA MTU MWENYE MSHIPA WA NGIRI/HERNIA
_____________
Dalili za ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵
1.Kubana tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu/vyakula vya baridi.
2.Kupiga miungurumo tumboni.
3.Kujaa gesi tumboni.
4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5.Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7.Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8.Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9.Nuru ya macho hupotea taratibu.
10.Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11.Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12.Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13.Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14.Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
15 .Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
16. Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)
17. Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.
18. Ukila vyakula vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas
19. Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
_____________________________©©©_________©©©_____________________________________
Kwa Tiba Ya Ngiri/Hernia Bila Operation Wasiliana Nasi CARE & CURE HERBAL CLINIC
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam