afya na uhai 02

afya na uhai 02

Share

Karibu upate Ushauri wa kiafya pamoja na tiba kwa magonjwa yote yasiyoyakuambukiza kwa mifumo yote ya mwili

23/06/2025

🌸 MAMA BORA HUANZA KUJALI KABLA YA KUJIFUNGUA 🌸

Je, wewe ni mjamzito au unanyonyesha?
Unajisikia kuchoka sana? Maumivu? Kukosa nguvu? Maziwa kutotoka vizuri?

🍼 Tupo hapa kwa ajili yako!
Ninahudumia akina mama kabla na baada ya kujifungua kwa kutumia virutubisho vya asili vilivyotokana na mimea, mizizi na matunda vinavyosaidia:

βœ… Kuongeza damu
βœ… Kupunguza uchovu
βœ… Kuimarisha maziwa kutoka
βœ… Kulinda afya ya mtoto tumboni

🎁 Huduma ni ya kibinafsi na kwa upendo – kwa kila mama!

πŸ“ Tunahudumia mama popote ulipo Tanzania!
Karibu kimara stop over tukuhudumie 0745050999

23/06/2025

MAMA MJAMZITO
Njoo kimara Stop over upatevirutubisho kwa ajili ya mimba yako*
VIRUTUBISHO HiVi HUONDOA,
*Shinikizo la juu la damu(High-pressure)
*HUONDOA maumivu ya mgongo na miguu kuvimba,
*Huondoa uchovu na kukosa usingizi,
*Huimalisha meno,kucha na mifupa,
*Husaidia uponyaji,haraka baada ya kujifungua,
*CHAGUA AFYA YAKO NA YA MTOTO WAKO,Ni muhimu upate utulivu
Wasiliana nasi uhudumiwe 0745050999

17/06/2025

Homa ya ini (hepatitis) inaweza kusababisha ngozi kuwa kavu kwa njia kadhaa....

Hepatitis ni hali ya kuvimba kwa ini inayoweza kusababishwa na virusi, pombe,

Wakati ini linapoharibika, linaweza kushindwa kufanya kazi zake za kawaida, k**a vile :-

kutoa majimaji ya mwili.

- kudhibiti kiwango cha sumu
- kudhibiti usawa wa virutubisho muhimu.

Madhara kwa ngozi yanayoweza kutokea ni k**a ifuatavyo:

1. Kupungua kwa uzalishaji wa mkojo: Ikiwa ini linahusika, mwili unaweza kushindwa kutoa majimaji kwa ufanisi, na hivyo ngozi kuwa kavu.

2. Kuwaka kwa ngozi (jaundice): Homa ya ini inaweza kusababisha kutoondoa vizuri bilirubini mwilini, na hivyo kuleta hali ya manjano kwenye ngozi, ambayo pia inaweza kuathiri unyevu wa ngozi.

3. Kupungua kwa kinga ya mwili: Hepatitis inaweza kupunguza uwezo wa mwili kulinda ngozi kutokana na uchafuzi na ukavu wa nje, hivyo ngozi inaweza kuwa kavu na kuharibika.

*NJIA MAALUMU ITAKAYOKUSAIDIA KUONDOKANA NA TATIZO HILI LA HOMA YA INI....*

*wahi matibabu mapema*

Kwa mawasiliano tupigie kwa namba 0745050999

17/06/2025

*MAZOEZI & HOMA YA INI.*

Kufanya mazoezi asubuhi kuna faida nyingi kiafya, zikiwemo :

1. Kuimarisha nguvu za mwili: Mazoezi ya asubuhi huamsha mwili, hukusaidia kuwa na nguvu na mchangamfu siku nzima.

2. Kuboresha mzunguko wa damu: Huongeza mzunguko mzuri wa damu na oksijeni, jambo linalosaidia afya ya moyo na ubongo.

3. Kuongeza umakini: Husaidia kuimarisha uwezo wa kufikiri na umakini kwa siku nzima.

4. Kuboresha usingizi: Watu wanaofanya mazoezi asubuhi hupata usingizi mzuri zaidi usiku.

5. Kudhibiti uzito: Husaidia kuchoma mafuta na kudhibiti uzito kwa ufanisi zaidi.

6. Kuimarisha hisia: Hutoa kemikali za furaha mwilini (endorphins), hivyo kuboresha hali ya hisia na kupunguza msongo wa mawazo.

Kwa hiyo, kufanya mazoezi asubuhi kunaweza kuboresha afya ya mwili na akili kwa ujumla.

Furahia weekend yako,

Imeandaliwa na mshauri wa afya ya ini

Wasiliana nasi kwa namba 0745050999

_PAMOJA TUISHI KIAFYA_

11/06/2025

*Habarini za asubuhi rafiki zangu natumai wote tuko salama na tunaendelea vizuri kiafya...*

KWA NINI TATIZO LA HOMA YA INI HUSABABISHA MACHO NA NGOZI KUWA YA NJANO..??
Tatizo la homa ya ini, au hepatitis, linaweza kusababisha macho kuwa ya njano kutokana na kuongezeka kwa bilirubini kwenye damu.
Bilirubini ni kemikali inayoundwa wakati seli za damu zinapovunjika.

Ini hufanya kazi ya kusafisha bilirubini,

lakini ini linapopata shida kwa kushambliwa na wadudu, kazi hii inashindwa kufanyika.
Hivyo, bilirubini inajikusanya mwilini na kusababisha jaundice, ambayo ni hali ya kuwa na ngozi na macho ya njano.

*NOTE: ILI KUONDOKANA NA KUDHIBITI HALI HIO TUMIA TIBA HIZI KWA SABABU HUREKEBISHA INI LIFANYE KAZI YAKE IPASAVYO NA HALI HIO HUISHA.*

Imeandaliwa na mshauri wa afya ya INI ( Lubibi) unaweza kuwasiliana nami kwa namba 0745050999

11/06/2025

π•π˜π€ππ™πŽ π•π˜π€ π’π”πŒπ” πŒπ–πˆπ‹πˆππˆ 𝐍𝐀 ππ€πŒππ€ π˜π€ πŠπ”π„ππ”πŠπ€ππ€ ππ€π•π˜πŽ...

*↳ Sumu mwilini ni hali ambapo mwili umeathiriwa na vitu vya kemikali ambavyo vinaweza kuwa hatari kwa afya yako.*

*Vitu hivi vinaweza kuwa dawa, kemikali za viwandani, au sumu kutoka kwa mimea au wanyama.*

π‰πˆππ’πˆ π’π”πŒπ” πˆππ€π•π˜πŽπ–π„π™π€ πŠπ”πˆππ†πˆπ€ πŒπ–πˆπ‹πˆππˆ...

1. Kupitia Kinywaβ€” Kula au kunywa kitu chenye sumu.

2. Kupitia Ngoziβ€” Kugusa kitu chenye sumu, ambapo sumu inaingia kupitia ngozi.

3. Kupitia Kupumuaβ€” Kuvuta hewa yenye sumu.

4. Kupitia Sindanoβ€” Kuchomwa na sindano yenye sumu au kuingizwa kwa sumu kupitia sindano.

*ILI KUJIHAKIKISHIA USALAMA WA AFYA YAKO TUMIA DOZI YA KUONDOA SUMU MWILINI*

Wasiliana nasi kwa namba 0745050999

28/05/2025

Watu wenye changamoto ya homa ya ini (hepatitis) hukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowafanya wapate mateso kimwili, kiakili, na kijamii.

*Baadhi ya siri zinazowafanya wapate mateso ni:*

βœ…Uchovu Mkali na Maumivu ya Mwili
β€’ Watu wengi wenye homa ya ini huhisi uchovu usioelezeka, hata bila kufanya kazi ngumu.
β€’ Maumivu ya viungo na mwili mzima ni jambo la kawaida.

βœ…Mabadiliko ya Ngozi na Macho
β€’ Ngozi na macho ya wagonjwa wengi hugeuka njano (jaundice), hali inayosababisha aibu na unyanyapaa.

βœ…Kukosa Hamu ya Kula na Kupungua Uzito
β€’ Wagonjwa hupoteza hamu ya kula, na hii hupelekea kupungua kwa uzito kwa kasi.

βœ…Maumivu ya Tumbo na Kuvimba kwa Ini
β€’ Homa ya ini husababisha ini kuvimba, na kusababisha maumivu makali kwenye sehemu ya juu kulia ya tumbo.

βœ…Madhara ya Kisaikolojia (Msongo wa Mawazo na Unyanyapaa)
β€’ Wagonjwa wengi huathirika kisaikolojia kwa sababu ya unyanyapaa kutoka kwa jamii, hasa kwa wale walioambukizwa kupitia njia za kijamii k**a matumizi ya sindano au njia za ngono.

βœ…Hatari ya Saratani ya Ini na Kushindwa Kufanya Kazi kwa Ini
β€’ Ikiwa homa ya ini haitatibiwa mapema, inaweza kusababisha makovu kwenye ini (cirrhosis), kushindwa kufanya kazi kwa ini, au hata kusababisha saratani ya ini.

βœ…Matatizo ya Kifedha
β€’ Gharama za matibabu na vipimo vya mara kwa mara ni kubwa, jambo linalofanya maisha kuwa magumu kwa wagonjwa wengi.

Suluhisho ni Nini?
✍️Kupima mapema na kuanza matibabu haraka.
✍️Kufuata lishe bora inayosaidia afya ya ini.
✍️Kuepuka pombe na dawa zinazoweza kuharibu ini.
✍️Kupata msaada wa kisaikolojia ili kukabiliana na msongo wa mawazo.
✍️Kuhamasisha jamii kuhusu homa ya ini ili kupunguza unyanyapaa.

*KWA USHAURI WA HARAKA NA TIBA WASILIANA NASI....*Kwa namba 0745050999

28/05/2025

_MATUMAINI YANGU MAKUBWA SIKU YA LEO UMEAMKA VYEMA UKIWA NA AFYA NJEMA MSHUKURU MUNGU ._

Ni mimi mshauri wa afya ya INI (Dr Lubibi) πŸ“žπŸ“ž*0745050999

_Zingatia jambo hili ✍️_

*KUMBUKA KADIRI UNAVYOENDELEA KUKAA NA TATIZO LA INI NALO HUENDELEA KUTENGENEZA MADHARA MAKUBWA.*

_Haya hapa madhara 8 ya tatizo la INI_

πŸ‘‡πŸ‘‡

[1 ] INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma).

[3 ] Figo kuferi na kujaa maji

[4 ] Maumivu ya tumbo yasiyo isha

[5 ]Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6 ] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7 ] Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha

[8 ] Mgonjwa Kupoteza maisha (kifo✍️)

π—ͺπ—”π—žπ—”π—§π—œ 𝗨𝗑𝗔𝗣𝗒 π—˜π—‘π——π—˜π—Ÿπ—˜π—” π—žπ—¨π—§π—¨π— π—œπ—” π——π—’π—­π—œ 𝗨NAPATIπ—ͺ𝗔 𝗨𝗧𝗔π—₯π—”π—§π—œπ—•π—¨ π—ͺ𝗔 π—žπ—¨π—­π—œπ—‘π—šπ—”π—§π—œπ—” π—Ÿπ—œπ—¦π—›π—˜ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—žπ—ͺ𝗔 π—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ π—–π—›π—”π—‘π—šπ—”π— π—’π—§π—’ 𝗬𝗔 𝗛𝗒𝗠𝗔 𝗬𝗔 π—œπ—‘π—œ, π—œπ—Ÿπ—œ π—žπ—¨π—£π—”π—§π—” π— π—”π—§π—’π—žπ—˜π—’ 𝗖𝗛𝗔𝗑𝗬𝗔 𝗑𝗔 𝗬𝗔 𝗛𝗔π—₯π—”π—žπ—” π—­π—”π—œπ——π—œ π—žπ—”π—§π—œπ—žπ—” π—žπ—¨π—§π—’π—žπ—’π— π—˜π—­π—” π— π—”π—”π— π—•π—¨π—žπ—œπ—­π—œ:

19/05/2025

UKIJIONA una dalili hizi saba(7) na ukazipuuzia, itafika siku utaanza kuwa na changamoto ambayo itaanza kukupotezea kati ya laki (3) hadi milioni (1) kwa wiki, na itafika kipindi utatumia hadi kati ya milioni tano (5) mpaka milioni (15) ili kuokoa maisha yako

Hapa naongelea changamoto ya Homa ya Ini(Hepatitis B na C) hivyo kuwa makini kuangalia dalili hizi k**a unazo:-

-Maumivu ya tumbo na viungo
-Kuvimba tumbo na miguu
-Kupungua uzito kwa haraka
-Kupata choo nyeupe
-Kupata manjano kwenye macho na kucha
-Mkojo kuwa na rangi ya kahawia na
-Ngozi kukosa nuru

Sababu kubwa ni:-

-Mtindo wa maisha
-Sababu za kijenetic
-Mazingira
-Matumizi ya madawa na
-Maambukizi ya muda mrefu

Ili kuepuka gharama kubwa kupitia program yetu tumekuandalia matibabu pamoja na ushauri

Tunapatikana Dsm au tupigie kwa namba 0745050999 hili pia unaweza kuwasiliana nasi kwa WhatsApp kwa namba hizo pia

19/05/2025
01/05/2025

Na hawa ni
Wanawake Wenye Uwezekano Mkubwa wa Kubeba Ujauzito

Wanawake wengi wana ndoto ya kuwa na familia, lakini kuna baadhi ya wanawake wenye nafasi kubwa zaidi ya kufanikisha ujauzito kwa urahisi. Wanawake hawa ni:

1. Wanawake wasio na changamoto za uzazi.
2. Wanawake wanaopata hedhi kwa wakati sahihi na wanaofuata mzunguko wa kawaida.
3. Wanawake waliopima na kuthibitishwa kutokuwa na matatizo ya kiafya kwenye mfumo wa uzazi.
4. Wanawake waliopata ujauzito katika umri sahihi wa uzazi.
5. Wanawake wanaopata ute wa uzazi (fertile discharge) katika siku za hatari (ovulation).

Ikiwa wewe au mtu unayemjua anakutana na changamoto yoyote ya uzazi, usisite kuniona kwa matibabu salama na ya kitaalamu. K**a daktari mwenye uzoefu wa masuala ya uzazi, nipo hapa kusaidia wanawake kufanikisha ndoto zao za kuwa mama.

Kwa msaada wa matibabu ya uzazi:
➑ Piga simu: 255 74505999
➑ Nifuate: . Lubibi

🌟 Nakutakia mwaka mpya wenye afya, furaha, na mafanikio mwaka 2025! 🌟

17/04/2025

PONA TEZI DUME BILA UPASUAJI

Benign Prostate Hypertrophy (BPH) KUVIMBA KWA TEZI DUME.
TEZI dume ipo chini ya kibofu cha mkojo hufanya kazi katika mifumo miwili tofauti (Mfumo wa uzazi wa mwanaume na mfumo wa mkojo kwa mwanaume)
Kuvimba Kwa Tezi Dume Hupelekea SHIDA/MATATIZO Kwenye Mifumo Yote Miwili. Kwa UZAZI Nguvu Za Kiume Kuisha Au Kupungua Na Kwa MKOJO Njia Ya Mkojo Kuziba Na Kushindwa Kupitisha Mkojo, Kwani Tayari Uvimbe Unakuwa Ndio Kikwazo Kikubwa.
𝑫𝑨𝑳𝑰𝑳𝑰 𝒁𝑨 𝑲𝑼𝑽𝑰𝑴𝑩𝑨 𝑲𝑾𝑨 𝑻𝑬𝒁𝑰 𝑫𝑼𝑴𝑬
Kuna dalili mbali mbali ambazo zinaweza kuwa kiashiria cha kuwepo kwa changamoto hiyo ya kuvimba kwa tezi dume nazo ni:
πŸ’‘Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku

πŸ’‘Matone ya mkojo unaobaki baada ya kumaliza kukojoa

πŸ’‘Kushindwa kuzuia mkojo pale unapohisi kukojoa

πŸ’‘Maumivu makali unapotaka kukojoa

πŸ’‘Kukosa hamu ya tendo la ndoa

πŸ’‘Kiwango kidogo cha mbegu za kiume

πŸ’‘Mkojo kutoka kwa udhaifu na wakati mwingine unaweza ukajikojolea.

πŸ’‘Maumivu ya nyonga hasa wakati wa tendo la ndoa

πŸ’‘Mkojo wenye damu(Hematuria)

πŸ’‘Tumbo kujaa mara kwa mara
𝑴𝑨𝑫𝑯𝑨𝑹𝑨 𝒀𝑨 𝑲𝑼𝑽𝑰𝑴𝑩𝑨 𝑲𝑾𝑨 𝑻𝑬𝒁𝑰 𝑫𝑼𝑴𝑬 (COMPLICATIONS )
Kuvimba kwa tezi dume, huweza kuadhiri mwili kwani mkojo unakuwa umezuiliwa katika njia yake lakini pia tezi hiyo huhusika na mfumo wa uzazi, hivyo basi madhara yake ni:
⭕️Kushindwa kumudu tendo la ndoa

⭕️Magonjwa ya Figo na kibofu cha mkojo

⭕️Saratani ya tezi dume

⭕️Kudhoofika kunakotokana na tatizo la saratani ya tezi dume

⭕️Kushindwa kujiamini kunakotokana na kushindwa kudhibiti mkojo

⭕️Msongo wa mawazo (stress)

⭕️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
𝑺𝑼𝑳𝑼𝑯𝑰𝑺𝑯𝑢
TEZI DUME INATIBIKA BILA UPASUAJI

0745050999

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kimara Stop Over
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00