mshauri na mtabibu wa afya
tunatoa ushauri na matibabu ya changamoto mbali mbali za kiafya,kwa mawasiliani zaidi piga 0655952030
๐จ๐ ๐จ๐๐๐ ๐จ ๐ช๐ ๐๐จ๐๐๐ก๐ฌ๐ ๐ฉ๐๐ฃ๐๐ ๐ข ๐ ๐๐ฅ๐ ๐๐ช๐ ๐ ๐๐ฅ๐ ๐๐ช๐ ๐ ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
๐ฅฆ"Kujua Kiwango Chako cha Sukari โ Ni Zaidi ya Taarifa, Ni uhai wako"
Kwa nini ni muhimu?
๐Unapojua kiwango chako cha sukari, unapata nafasi ya kuchukua hatua mapema โ kabla hali haijawa mbaya.
๐Unapata uhuru wa kupanga lishe yako vizuri, kujua lini unahitaji kupumzika, au hata kubadilisha dawa kwa ushauri wa daktari.
๐Ni njia yako ya kusema: "Nathamini afya yangu, na sitaki kuruhusu kisukari kinidhibiti."
โก๏ธUnawezaje kufanya hivyo kwa urahisi?
1. ๐ง๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐๐น๐๐ฐ๐ผ๐บ๐ฒ๐๐ฒ๐ฟ (๐ธ๐ถ๐ณ๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ถ๐บ๐ฎ ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ป๐๐๐บ๐ฏ๐ฎ๐ป๐ถ):
Ni kifaa kidogo chenye uwezo mkubwa. Unaweza kukinunua kwenye maduka ya vifaa vya afya. Inakuchukua dakika chache tu kujipima โ na matokeo hayo yanaweza kukuokoa maisha.
2. ๐ง๐ฒ๐บ๐ฏ๐ฒ๐น๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐๐ผ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ฎ๐ณ๐๐ฎ ๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐น๐ฎ๐ ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ธ๐ถ ๐ฎ๐ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐ฏ๐ฎ๐ฎ๐ฑ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ธ๐ ๐ฏ:
Hata k**a huna kifaa nyumbani, bado una njia. Kituo cha afya ni sehemu salama ambapo unaweza kupima na kupata ushauri sahihi.
3. ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ธ๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐๐บ๐ฏ๐ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ฝ๐ถ๐บ๐ผ ๐๐๐ฎ๐ธ๐ผ:
Andika tarehe, muda na kiwango cha sukari kila unapopima. Hii itamsaidia daktari wako kuona mwenendo na kuchukua hatua mapema.
4. ๐๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฒ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ณ๐๐ถ๐ฟ๐ถ ๐บ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ผ
โ๏ธ4.0-7.0 mmol/L (kawaida kabla ya kula).
โ๏ธChini ya 10.0 mmol/L (saa 2 baada ya kula)
Ukiona kiwango kipo juu au chini ya hayo, wasiliana na daktari haraka.
๐Kumbuka:
Kupima sukari mara kwa mara si ishara ya udhaifu, bali ni ushahidi wa ujasiri na upendo kwa maisha yako.
๐Kwa kila kipimo unachofanya, ni k**a unajiambia:
"Nataka kuishi zaidi, kwa furaha zaidi, na kwa afya njema."
๐๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ถ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐บ๐ฎ ๐ป๐ถ ๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ ๐ถ๐น๐ถ ๐ธ๐๐ฑ๐ต๐ถ๐ฏ๐ถ๐๐ถ ๐บ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ผ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐๐ฎ.
๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ ๐ก๐๐ฆ๐ ๐๐จ ๐๐๐๐ ๐ข๐๐๐ฆ๐๐ก๐.
๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ฆ๐จ๐๐จ๐๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐ก๐๐ช๐.
๐ Nawatakia Asubuhi Njema kwa kila mmoja wetu.
Tunapoanza siku hii mpya, nawakumbusha kwa upendo kuchukua muda mfupi kujiuliza:
โHali yangu ya kiafya iko vipi leo?โ
Je, umejitathmini kuhusu kiwango chako cha sukari?
Umepanga kula nini leo?
Na je, umejiandaa kujipa utulivu na kuupa mwili upendo unaostahili?
Kumbuka, afya yako ni msingi wa maisha yako. Tujitunze, tushirikiane, na tuendelee kuhamasishana.
๐ ๐ง๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐น๐ถ ๐๐๐ท๐๐น๐ถ๐๐ต๐ฒ ๐ต๐ฎ๐น๐ถ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐๐ฎ ๐น๐ฒ๐ผ.
Tupo pamoja katika safari hii ya afya njema.
Asanteeni sana ni mimi
๐ ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐บ ๐ธ๐ถ๐ฏ๐ผ๐ป๐ฎ
โ๏ธ๐+255 655 952 030
WAHI MAPEMA KUTIBU CHANGAMOTO YAKO KABLA YA MADHARA MAKUBWA ZAIDI HAYAJATOKEA....
Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi au fika ofisini.
โ๏ธ๐+255 655 952 030
Chanzo cha Diabetic Foot Ulcer kwa wagonjwa wa kisukari kinahusiana zaidi na mchanganyiko wa sababu tatu kuu:
1. Neuropathy (Kufa au kudhoofika kwa neva)
โข Kisukari cha muda mrefu huathiri neva za miguu (peripheral neuropathy).
โข Hii husababisha kupoteza hisia za maumivu, joto au presha kwenye miguu.
โข Mgonjwa anaweza kuumia, kuchubuka au kupata malengelenge bila kuhisi, hivyo jeraha hubaki bila kutibiwa na kuendelea kuwa kidonda.
2. Mzunguko hafifu wa damu (Peripheral Arterial Disease โ PAD)
โข Kisukari huharibu mishipa ya damu na kusababisha damu kutofika vizuri kwenye miguu.
โข Ukosefu wa damu yenye oksijeni na virutubisho hufanya majeraha kuchelewa kupona.
3. Maambukizi
โข Sukari nyingi kwenye damu huchochea ukuaji wa bakteria na kudhoofisha kinga ya mwili.
โข Hivyo, hata jeraha dogo linaweza kuambukizwa haraka na kugeuka kuwa kidonda kikubwa.
โก๏ธVichocheo vya Hatari Zaidi
โข Viatu visivyofaa vinavyosugua au kubana.
โข Kukata kucha vibaya na kujeruhi ngozi.
โข Kuungua miguu (mfano kwa maji
๐๐, ๐๐ง๐๐ฃ๐ฎ๐โฆ?
๐๐ข๐ฅ๐ ๐ฎ๐ง๐๐๐ก๐จ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฌ๐๐ก๐๐ง๐ข ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ฅ๐๐จ ๐ค๐ข๐ง๐ ๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐จ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฌ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐จ๐ง๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ค๐ข๐ฆ๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐ฒ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐ข๐๐ค๐ ๐ฆ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐๐ข๐ฅ๐ ๐ค๐ฎ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฎ๐.
โก๏ธLishe duni siyo tu inakuumiza tumboni, bali inaweza kuathiri uzazi wako na afya ya mwili kwa ujumla.
โ
๏ธMapendekezo ya lishe bora:
1. ๐๐ต๐ฎ๐ด๐๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ถ (๐ผ๐ฟ๐ด๐ฎ๐ป๐ถ๐ฐ ๐ณ๐ผ๐ผ๐ฑ)
vile vinavyotoka moja kwa moja ardhini bila kemikali nyingi za viwandani.
2. ๐ข๐ป๐ด๐ฒ๐๐ฎ ๐บ๐ฏ๐ผ๐ด๐ฎ ๐บ๐ฏ๐ถ๐ฐ๐ต๐ถ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐๐ป๐ฑ๐ฎ ๐๐ฎ๐ณ๐ถ
pamoja na nafaka zisizokobolewa, mbegu, njugu, na vyakula vingine vya mimea.
3. ๐๐ฝ๐๐ธ๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ธ๐ฎ (๐ท๐๐ป๐ธ ๐ณ๐ผ๐ผ๐ฑ)
vyenye kemikali, sukari nyingi na mafuta mabaya. Hivi ni maadui wakuu wa kinga ya mwili na afya ya uzazi.
โ๏ธ๐๐ถ๐ฑ๐ผ๐ธ๐ฒ๐๐ผ ๐ ๐๐ต๐ถ๐บ๐:
Fanya detoxification mara kwa mara ili kuondoa sumu mwilini. Hii husaidia:
Kuimarisha homoni (hormone balance)
Kupunguza uzito kupita kiasi (obesity)
Kuongeza kinga ya mwili
๐๐๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ฎ:
Afya yako ya kesho inaanza na sahani yako ya leo. Chagua vizuri, kwa sababu mwili wako ni kile unachokilisha kila siku.
๐๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ฎ ๐บ๐ฝ๐ฎ๐ป๐ด๐ผ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ถ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐บ๐ฎ ๐ป๐ถ ๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ ๐ถ๐น๐ถ ๐ธ๐๐ฑ๐ต๐ถ๐ฏ๐ถ๐๐ถ ๐บ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ผ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐๐ฎ.
๐๐ช๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ ๐ก๐๐ฆ๐ ๐๐จ ๐๐๐๐ ๐ข๐๐๐ฆ๐๐ก๐.
โ๏ธ๐+255 0655 952 030
KILA UNACHOWEKA KWENYE SAHANI YAKO LEO NI DAWA AU SUMU. AMUA LEO
โ๏ธ๐+255 0655 952 030
VYAKULA VYA KUONGEZA AU KUPUNGUZA SUKARI.
> โ Je unajua ugali mwingi unaweza kuongeza sukari kupita kiasi?
Lakini mboga za majani k**a mchicha na matembele husaidia kuipunguza.โ
โ
Orodha fupi ya vyakula vya kupunguza sukari:
Mboga za majani
Parachichi
Karanga chache (sio nyingi)
> โLeo umelisha nini mwili wako mchana? Hebu taja japo mlo mmoja tu tuone k**a ulikuwa sahihi kwa afya yako.โ
KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NASI AU FIKA OFISINI
โ๏ธ๐+ 255 655 952 030
๐ง๐จ๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐๐ก๐๐๐ก๐ฌ๐๐๐ข ๐๐จ๐จ ๐๐๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ๐ก๐๐จ๐ ๐จ๐ญ๐๐ง๐ข ๐๐ช๐ ๐๐๐ฅ๐๐๐ ๐ญ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐.
โ
Mtu mwenye uzito mkubwa anaweza kutumia mchanganyiko wa mlonge, tangawizi, karafuu na mdalasini kwa sababu:
๐ฏ Hivi viungo vina faida zifuatazo katika kupunguza uzito:
๐ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ฒ: Huongeza kasi ya umengโenyaji na kusaidia kuondoa sumu mwilini.
๐ง๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐๐ถ๐๐ถ: Huchoma mafuta mwilini (fat burner) na hupunguza hamu ya kula kupita kiasi.
๐๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ณ๐๐: Husaidia kudhibiti njaa na kuongeza metabolism.
๐ ๐ฑ๐ฎ๐น๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ถ: Hushusha kiwango cha sukari na hupunguza kutunza mafuta tumboni.
๐ก๐ฎ๐บ๐ป๐ฎ ๐๐ผ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐ ๐๐ ๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐จ๐๐ถ๐๐ผ ๐ ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ:
โ
Mpangilio wa matumizi kwa matokeo bora:
โก๏ธ Asubuhi (kabla ya kifungua kinywa):
Kunywa kikombe 1 cha mchanganyiko huu ukiwa bado hujala chochote.
Subiri dakika 30 kabla ya kula chakula.
โก๏ธ Kwenye mlo wa mchana na usiku:
Punguza wanga (ugali, wali, mikate) โ badala yake tumia mboga nyingi, maharage, dagaa, au protini nyepesi k**a mayai au samaki.
๐Epuka soda, juisi za dukani, chips, vyakula vya kukaanga.
โก๏ธ Jioni (saa 11โ12 jioni):
Kunywa kikombe kingine kabla ya chakula cha jioni au badala ya chai ya maziwa.
โ๏ธ ๐ ๐๐ผ๐ป๐ด๐ผ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ผ๐ป๐ด๐ฒ๐๐ฎ ๐ป๐ด๐๐๐ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐๐ป๐ด๐๐ฎ ๐๐๐ถ๐๐ผ
1. ๐ข๐ป๐ด๐ฒ๐๐ฎ:
โก๏ธLimao: Kamua nusu limao kwenye mchanganyiko wako โ husaidia kuchoma mafuta kwa kasi.
โก๏ธAsali kijiko 1 cha chai (hiari) โ badala ya sukari.
โก๏ธApple cider vinegar kijiko 1 (hiari kabisa).
2. ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ผ๐ฒ๐๐ถ ๐บ๐ฒ๐ฝ๐ฒ๐๐ถ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐๐ถ๐ธ๐ (๐ฑ๐ฎ๐ธ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฌโ๐ฏ๐ฌ):
Kutembea kwa kasi, kuruka kamba, au squats hata nyumbani.
Lengo ni kusababisha jasho litoke โ huongeza kasi ya kuchoma mafuta.
3. ๐๐๐ป๐๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ผ๐๐ต๐ฎ (๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐น๐ฎ๐ ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ธ๐)
โ
๏ธ๐ ๐ฝ๐ฎ๐ป๐ด๐ผ ๐๐ฎ ๐ ๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐๐ถ ๐ธ๐๐ฎ ๐ช๐ถ๐ธ๐ถ ๐ญ:
๐Siku Asubuhi (kabla ya kula) Mchana na Jioni
โ๏ธ๐ ๐ผ๐ป๐ฑ๐ฎ๐-๐ฆ๐ฎ๐๐๐ฟ๐ฑ๐ฎ๐
๐Kikombe cha mchanganyiko Mlo wenye mboga na protini nyingi Kikombe kingine kabla ya saa 1 ya kulala
๐Sunday(Jumapili) Pumzika matumizi ya mchanganyiko, endelea na maji, matunda, na mboga za majani
โ ๏ธ ๐ง๐ฎ๐ต๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ถ๐ป๐ด๐ฎ๐๐ถ๐ฎ:
Epuka kutumia ikiwa una matatizo ya tumbo la kuungua au mimba changa.
Ikiwa unashuka nguvu sana au presha kushuka, acha na punguza kiwango.
Usiweke sukari wala maziwa kwenye mchanganyiko huu.
๐๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ฎ ๐บ๐ฝ๐ฎ๐ป๐ด๐ผ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ถ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐บ๐ฎ ๐ป๐ถ ๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ ๐ถ๐น๐ถ ๐ธ๐๐ฑ๐ต๐ถ๐ฏ๐ถ๐๐ถ ๐บ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ผ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐๐ฎ.
๐๐ช๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ ๐ก๐๐ฆ๐ ๐๐จ ๐๐๐๐ ๐ข๐๐๐ฆ๐๐ก๐.
โ๏ธ๐+255 655 952 030
K**a haujui namna ya kuanza kutunza afya yako piga โ๏ธ๐0655 952 030 kwa ushauri zaidi na matibabu...
๐ง๐จ๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐๐ก๐๐๐ก๐ฌ๐๐๐ข ๐๐จ๐จ ๐๐จ๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐๐๐ข ๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐ฅ๐๐๐๐.
Mchanganyiko wa mlonge, tangawizi, karafuu, na mdalasini ni wa asili na wenye faida nyingi kiafya. Vifaa hivi vinaweza kusaidia watu mbalimbali, hasa wale wanaokabiliwa na magonjwa yafuatayo:
โ
1. ๐ช๐ฎ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ
Faida:
Mlonge husaidia kushusha sukari kwenye damu.
Tangawizi na mdalasini huongeza insulin sensitivity.
Karafuu ina uwezo wa kusaidia kuzuia kushuka au kupanda kwa ghafla kwa sukari.
๐ข๐ป๐๐ผ: Wanapaswa kupima sukari mara kwa mara kwani mchanganyiko huu unaweza kushusha sukari kupita kiasi.
โ
2. ๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฃ๐ฟ๐ฒ๐๐ต๐ฎ (๐๐๐ฝ๐ฒ๐ฟ๐๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ผ๐ป)
๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ฎ:
Tangawizi na mlonge husaidia kupunguza shinikizo la damu.
Mdalasini husaidia kulainisha mishipa ya damu.
๐๐ข๐ป๐๐ผ: Ikiwa mtu anatumia dawa za presha, ni vyema kushauriana na daktari kabla ya kuchanganya na tiba hizi za asili.
โ
3. ๐ช๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ ๐ฎ๐๐บ๐ถ๐๐ ๐๐ฎ ๐ฉ๐ถ๐๐ป๐ด๐ผ ๐ป๐ฎ ๐๐๐๐ถ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐ ๐๐ถ๐น๐ถ๐ป๐ถ
๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ฎ:
Tangawizi na karafuu zina anti-inflammatory properties (huondoa uvimbe na maumivu).
Mlonge pia husaidia kwenye matatizo ya arthritis na gout.
โ
๏ธ 3. ๐ช๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ ๐ฎ๐ฎ๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ถ๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ ๐ณ๐๐บ๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ฒ๐๐ฎ (๐๐ถ๐ธ๐ผ๐ต๐ผ๐๐ถ, ๐ ๐ฎ๐ณ๐๐ฎ, ๐ฃ๐๐บ๐)
๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ฎ:
Tangawizi, karafuu na mdalasini huua bakteria na virusi.
Hupunguza kikohozi na hufungua njia ya hewa.
Mlonge huimarisha kinga ya mwili.
โ
5. ๐ช๐ฎ๐๐ ๐ช๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐๐ถ๐ป๐ด๐ฎ ๐๐ต๐ฎ๐ถ๐ณ๐ ๐๐ฎ ๐ ๐๐ถ๐น๐ถ
Mlonge una vitamini nyingi (C, A, E), madini na antioxidants.
Mchanganyiko huu huimarisha kinga dhidi ya maradhi.
โ
6. ๐ช๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ง๐๐บ๐ฏ๐ผ (๐๐ฒ๐, ๐ฉ๐ถ๐ฑ๐ผ๐ป๐ฑ๐ฎ ๐๐๐ฎ ๐ง๐๐บ๐ฏ๐ผ, ๐ฆ๐๐บ๐)
๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ฎ:
๐Mlonge na tangawizi husafisha tumbo na kusaidia digestion.
๐Karafuu husaidia kuondoa gesi tumboni.
๐ ๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฎ ๐๐๐๐ฎ ๐ ๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐ฎ๐ ๐๐๐ฒ๐ฝ๐๐ธ๐ฎ
โก๏ธWajawazito (hasa miezi ya mwanzo) โ karafuu na mdalasini vinaweza kusababisha mikazo ya uterasi.
โก๏ธWenye matatizo ya damu kuganda โ tangawizi na mdalasini huweza kupunguza uwezo wa damu kuganda.
โก๏ธWanaotumia dawa za kisukari au presha โ washauriane na daktari kabla ya kutumia.
๐ก๐ผ๐๐ฒโ๏ธ: hii sio mbadala wa dawa k**a unachangamoto ni vyema ukapata na matibabu mapema ili kuweza kumaliza tatizo lako.
โ๏ธ๐+255 655 952 030
๐๐ ๐บ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐บ ๐ธ๐ถ๐ฏ๐ผ๐ป๐ฎ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |