Afya line
karibu eternal international kwa Huduma za afya na matibabu...
08/07/2025
Je wajua kuwa .Ganzi ya miguuni..Uwepo wa moto ..husababisha Kiharusi au stroke pamoja na maungio kuwa na maumivu makali sana
Wahii tiba mapema..
📞 0778 318 208
07/07/2025
Je wajua kuwa kwamba uwepo wa presha yakupanda nakushuka mara kwa mara husababisha ..kutanuka kwa mapigo ya moyo...kudumaa kwa afya ya akili..Maumivu day kichwa ..kizunguzungu ..Maumivu ya kifuwa..kupoteza uwezo wa kuona ...Ganzi na stroke ..kupoteza fahamu ..kupoteza uwezo wa kufikiri..kinga ya mwili kushuka ..Mwili katika mifupa na maungio kuwa na maumivu makali sana
Kuondokana na hayo yote
Karibu kwa tiba
# Mawasiliano zaidi piga simu namba 0778 318 208 .
& Daresalam, Tanzania 🇹🇿..
25/06/2025
*BAWASIRI INATIBIKA BILA UPASUAJI*
Bawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama katika Maeneo hayo.
*AINA ZA BAWASIRI*
1.Bawasiri ya ndani
2.Bawasiri ya nje.
Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
Bawasiri ya ndani hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui.
*DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI*
1.Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
2.miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa
3.kinyesi kuvuja
4.kinyesi kutoka kuchanganyika na damu chenye harufu mbaya.
*CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI*
1.kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu
2.kufanya mazoezi magumu yanayokaza misuli ya haja kubwa
3.Uzito kupitiliza
4.Mapenz kinyume na maumbile
5.tatizo la kutokupata choo
Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo wengi ilirudi baada ya UPASUAJI, changamoto hii ya BAWASIRI inatibika
22/06/2025
Tiba /ushauri/ dawa
22/06/2025
Zimewasili kwa upya
Usikubari kutoa jino lako wala kuwa kibogoyo tumia kutwa x2 Asubui kabla ya chakula na jioni baada ya chakula..
20/06/2025
13/06/2025
Hii fully package ya mwezi mzima
Matumiz ake 1x1 kutwa pamoja na vyakula asilia na matunda asilia ina kwanzia siku 3 unakuwa katika uimara sahihi na imara
Wasiliana 0778318208
Location
Daresalam, 🇹🇿 Tanzania
13/06/2025
Halii hii ikikomaa husababisha ...Stroke yaani Kiharusi au kupooza au kupalalaizi ...Kulika kwa joint...Maumivu ya viungo ...Husababisha gauti ...Husababisha kupoteza maisha pia k**a hutotilia ufatiliaji wa tiba kikamilifu
📞 📲 +2556778318208
27/05/2025
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam