Elisha Afya Plus

Elisha Afya Plus

Share

Elimu, ushauri wa afya na tiba sahihi za virutubisho lishe visivyokuwa na kemikali:+255755417757

05/09/2025

k**a upo kati ya makundi haya huenda ukachelewa kupata mimba au kuikosa kabisa.

15/08/2025

..!! Wa.me/+255755417757
Inawezekana ni ndugu, jamaa, rafiki au wewe mwenyewe umekuwa ukisumbuliwa na magonjwa ya uzazi hasa Fangas, U.T.I na P.I.D inayojirudia.
Mwanamke amua kuanza kutibu chanzo cha tatizo lako badala ya kutibu dalili za tatizo ambazo hujirudia tena baada ya nguvu ya dawa kuisha.

Usiendelee kuteseka ewe mwanamke kwa kusumbuliwa na dalili k**a:
●Kupata miwasho mikali sehemu za siri.

●Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu mbaya.

●Kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya.

●Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

●Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

●Kukosa ute wa uzazi na kukosa hamu ya tendo la ndoa.

●Kupata hedhi isiyokuwa salama, hedhi kuvurugika.

●Maumivu ya tumbo upande wa kulia, kushoto au chini ya kitovu.

●Kupata dalili za ujauzito hali ukipima huna mimba.

Inahitajika tiba ya haraka ikiwa ni ndugu au wewe umewahi kuonekana na matatizo k**a:
👉Makovu au uvimbe kwenye kizazi.
👉Mirija ya uzazi imeziba.
👉Mimba kuharibika mara kwa mara.
👉Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.
👉Mayai kutopevuka kwa wakati.
👉Kuchelewa kupata au kutopata ujauzito.
👉Mvurugiko wa homoni/Hormonal Imbalances.

Nimesaidia wanawake wengi sana kuondokana na changamoto za namna hiyo, hivyo tuwasiliane popote ulipo uweze kupata ushauri na tiba thabiti ya virutubisho lishe kutibu na kumaliza kabisa changamoto yako.
: Wa.me/+255755417757

🇹🇿 🇺🇸

15/08/2025

:
Nyama puani kwa jina lingine (nasal polyps) ni vinyama laini na si saratani, vinyama hivi huota kwenye kuta laini za ndani ya matundu ya pua kutokana na michomo sugu.

Vinyama hivi huwa na mwonekano wa zabibu zilizoning'inia kwenye kikonyo chake na huota kwenye kuta zinazozalisha majimaji ya puani.

✍️Endapo vinyama vilivyoota si vikubwa mtu anaweza asipate dalili zozote zile, vivyama hivi jinsi vinavyokua na kuongezeka dalili hutokea au kuongezeka na mwisho wa siku vinyama vinaweza kukua na kusababisha shida katika upumuaji na hivyo mtu kuanza kupumulia mdomo, kupoteza uwezo wa kunusa kwa muda na maambukizi ya mara kwa mara puani.

:
✍️Tatizo hili linaweza kumpata kila mtu kwa umri wowote ule, hata hivyo hutokea sana kwa watoto, vijana na umri wa kati.

*CHAZO CHA NYAMA ZA PUANI.
Hadi sasa chanzo halisi cha tatizo hili hakijajulikana rasmi ila kuna baadhi ya sababu ambazo huweza kusababisha tatizo hilo.
Baadhi ya sababu hizo ni
1. Upungufu wa kinga mwilini.
2. Maambukizi ya fangasi puani au katika mfumo wa upumuaji.
3. ⁠Uvimbe katika sehemu ya pua (Chronic Sinusitis)
4. ⁠Magonjwa ya mfumo wa upumuaji mfano Arthma(Pumu)
5. ⁠Allegy.
6. ⁠Historia ya familia(kurithi)
7. ⁠upungufu wa baadhi ya virutubisho.

*DALILI ZA NYAMA PUANI.*
1. Kutokwa na mak**asi
2. Matundu ya pua kukauka kwa ndani
3. Kuchuruzika kwa mak**asi mepesi
4. Kutoweza nusa au kupungua uwezo wa kunusa
5. Kupoteza hisia za ladha ya chakula
6. Maumivu ya uso au kichwa
7. Maumivu kwenye meno ya juu
8. Kuhisi mgandamizo mbele ya kichwa na usoni
9. Kukoroma
10. Kutokwa na damu puani mara kwa mara

*DALILI ZA HATARI.*
Endapo dalili hizi zimedumu zaidi ya siku 10
A-Utashindwa kupumua vema
B-Dalili kuwa kali ghafla
C-Kuona mawenge au kupoteza uwezo wa kuona
D-Kuvimba maeneo ya kuzunguka macho
E.Maumivu ya kichwa makali au kuongezeka kwa maumivu ya kichwa

*TIBA YAKE:*
katika kutuo chetu cha afya tunazo dawa nzuri sana ambazo zinatibu na kumaliza nyama za puani bila upasuaji wowote
Dawa hizi ni tiba lishe asili(supplements)na hazina madhara yeyote kwa mtumiaji.

*KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NA ELISHA-AFYA:* WA.ME/+255755417757 *ILI UWEZE KUTATUA CHANGAMOTO YAKO HARAKA.*

04/08/2025

🔴
Je, unakabiliwa na matatizo ya uzazi au unamfahamu mwanamke anayeteseka kimya kimya.?
Zifahamu sababu kuu 10 zinazochangia matatizo ya uzazi kwa wanawake wengi:

1. Fangasi sugu: Husababisha muwasho na maambukizi ya mara kwa mara.

2. Maambukizi ya U.T.I isiyoisha: Huathiri mfumo wa uzazi kwa muda mrefu.

3. P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease): Huathiri mirija ya uzazi na kuleta utasa.

4. Harufu mbaya ukeni: Ni dalili ya maambukizi ya ndani.

5. Mirija ya uzazi kuziba: Huzuia yai kufika kwenye mfuko wa mimba.

6. Uvimbe kwenye kizazi (fibroids): Huleta maumivu na kuzuia mimba kutunga.

7. Mimba kuharibika mara kwa mara: Huashiria matatizo ya uzazi ya ndani.

8. Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa: Ni ishara ya maambukizi au tatizo kubwa la kiafya.

9. Kukosa hamu ya tendo la ndoa: Mara nyingi husababishwa na mabadiliko ya homoni au maambukizi.

10. Hedhi kubadilika na kukosa ute wa uzazi (fertile mucus): Huathiri uwezo wa kupata mimba.

🛑 .
Matibabu ya mapema yanaweza kuokoa mfumo wako wa uzazi na kurejesha furaha ya maisha ya ndoa.
📞 Wasiliana nasi sasa kwa ushauri na tiba salama kupitia: : Wa.me/+255755417757
..!

03/08/2025

🔴 .
Je, unakabiliwa na matatizo ya uzazi au unamfahamu mwanamke anayeteseka kimya kimya.?
Zifahamu sababu kuu 10 zinazochangia matatizo ya uzazi kwa wanawake wengi:

1. Fangasi sugu: Husababisha muwasho na maambukizi ya mara kwa mara.

2. Maambukizi ya U.T.I isiyoisha: Huathiri mfumo wa uzazi kwa muda mrefu.

3. P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease): Huathiri mirija ya uzazi na kuleta utasa.

4. Harufu mbaya ukeni: Ni dalili ya maambukizi ya ndani.

5. Mirija ya uzazi kuziba: Huzuia yai kufika kwenye mfuko wa mimba.

6. Uvimbe kwenye kizazi (fibroids): Huleta maumivu na kuzuia mimba kutunga.

7. Mimba kuharibika mara kwa mara: Huashiria matatizo ya uzazi ya ndani.

8. Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa: Ni ishara ya maambukizi au tatizo kubwa la kiafya.

9. Kukosa hamu ya tendo la ndoa: Mara nyingi husababishwa na mabadiliko ya homoni au maambukizi.

10. Hedhi kubadilika na kukosa ute wa uzazi (fertile mucus): Huathiri uwezo wa kupata mimba.

🛑 .
Matibabu ya mapema yanaweza kuokoa mfumo wako wa uzazi na kurejesha furaha ya maisha ya ndoa.
📞 Wasiliana nasi sasa kwa ushauri na tiba salama kupitia: : Wa.me/+255755417757
..!

01/08/2025

🔴HUENDA NI MWANAMKE MWENYE MATATIZO HAYO BILA KUJUA CHANZO..!!
Je, unakabiliwa na matatizo ya uzazi au unamfahamu mwanamke anayeteseka kimya kimya.?
Zifahamu sababu kuu 10 zinazochangia matatizo ya uzazi kwa wanawake wengi:

1. Fangasi sugu: Husababisha muwasho na maambukizi ya mara kwa mara.

2. Maambukizi ya U.T.I isiyoisha: Huathiri mfumo wa uzazi kwa muda mrefu.

3. P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease): Huathiri mirija ya uzazi na kuleta utasa.

4. Harufu mbaya ukeni: Ni dalili ya maambukizi ya ndani.

5. Mirija ya uzazi kuziba: Huzuia yai kufika kwenye mfuko wa mimba.

6. Uvimbe kwenye kizazi (fibroids): Huleta maumivu na kuzuia mimba kutunga.

7. Mimba kuharibika mara kwa mara: Huashiria matatizo ya uzazi ya ndani.

8. Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa: Ni ishara ya maambukizi au tatizo kubwa la kiafya.

9. Kukosa hamu ya tendo la ndoa: Mara nyingi husababishwa na mabadiliko ya homoni au maambukizi.

10. Hedhi kubadilika na kukosa ute wa uzazi (fertile mucus): Huathiri uwezo wa kupata mimba.

🛑 .
Matibabu ya mapema yanaweza kuokoa mfumo wako wa uzazi na kurejesha furaha ya maisha ya ndoa.
📞 Wasiliana nasi sasa kwa ushauri na tiba salama kupitia: : Wa.me/+255755417757
..!

25/07/2025

..??
Wanawake wengi ni wahanga wa magonjwa yanayojirudia mara kwa mara hasa Fangas, U.T.I, P.I.D na mvurugiko wa homoni (HORMONAL IMBALANCE) hali hii hutokea kwa sababu k**a kutumia uzazi wa mpango, ✅usafi usiofaa, ✅kuvaa nguo za ndani au pedi muda mrefu, ✅kuwa na wepenzi wengi, ✅ulaji usiofaa n.k

⚠️ :
1. Hedhi kubadilika badilika
2. Miwasho mikali sehemu za siri.
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
4. Kutokwa na damu wakati usio wa hedhi
5. Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu.
6. Kukosa ute wa uzazi na hamu ya tendo la ndoa
7. Maumivu ya kiuno mgongo na tumbo chini ya kitovu.
8. Kuhisi homa na joto la mwili kupanda mara kwa mara.

Haya ni maradhi yanayoweza kusababisha ugumba, mimba kuharibika au kutunga nje ya mfuko wa uzazi, na maumivu ya nyonga ya kudumu.
🎯Usinyamaze afya ya uzazi ni hazina yako, pata ushauri na tiba mapema unapohisi dalili zozote.

📞Wasiliana nasi kwa ushauri, msaada na elimu zaidi:
Elisha-Afya: Wa.me/+22755417757

16/07/2025

.
Huu ni ugonjwa wa maambukizi ya bakteria katika mfumo wa uzazi wa wanamke (Pelvic Inflammatory disease).

⚠️ .
1. Hedhi kubadilika badilika
2. Miwasho mikali sehemu za siri.
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
4. Kutokwa na damu wakati usio wa hedhi
5. Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu
6. Kukosa ute wa uzazi na hamu ya tendo la ndoa
7. Maumivu ya kiuno mgongo na tumbo chini ya kitovu
8. Kuhisi homa na jotonla mwili kupanda mara kwa mara.

🔍
1. Maambukizi ya mara kwa mara.
2. Kutumia dawa za uzazi wa mpango.
3. Historia ya kuwa na PID hapo awali.
4. Ngono isiyo salama au kuwa na wepenzi wengi
5. Kutumia dawa za hospitali mara kwa mara.
6. Matumizi ya bidhaa za kemikali kusafisha sehemu za siri.

Hili ni tatizo linaloweza kusababisha ugumba, mimba kuharibika au kutunga nje ya mfuko wa uzazi, na maumivu ya nyonga ya kudumu.
🎯Usinyamaze afya ya uzazi ni hazina yako, pata ushauri na tiba mapema unapohisi dalili zozote.

📞Wasiliana nasi kwa ushauri, msaada na elimu zaidi:
:: Wa.me/+22755417757

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam