Neolife Independence Distributor

Neolife Independence Distributor

Share

WASILIANA NASI 0715 744716 /0753 844716 KARIBUNI SANA TUWAHUDUMIE

Wauzaji Na Wasambazaji Wa Bidhaa Za Neolife Super Gro Mbolea ya Maji Tanzania...KUSAJIRI MAWAKALA WA MBOLEA KWA MTAJI MDOGO..OFISI ZETU ZINAPATIKANA DAR ES SALAAM MWENGE MPAKANI..

09/03/2026

NAITWA DIRECTOR AMINATA MACHULO TOKA NEOLIFE GNLD INTERNATIONAL (TANZANIA 🇹🇿 )

JE UNATAKA KUJIUNGA NA NEOLIFE
KIBIASHARA AU KWA MATUMIZI BINAFSI??
KUBORESHA AFYA YAKO AU KWA WALE UWAPENDAO?

AMA UNAHITAJI KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA NA ENDELEVU?

NA UMEJARIBU BIASHARA NYINGI BILA MAFANIKIO??

NJOO NIKUFUNDISHE BIASHARA YENYE FAIDA ZA KILA SIKU NA FAIDA KUBWA NA NZURI KILA MWISHO WA MWEZI.

UMEAMBIWA MTAJI NI BEI GANI RAFIKI??

MIMI NAKWAMBIA NI KWA 195,000/=TU KUMBUKA HII NI OFA.

NJOO UIMARISHE AFYA HUKU UKIPATA BIDHAA KWA BEI YA JUMLA.
UWE MWANACHAMA
NA UJENGE BIASHARA UKIWA WAKALA UNAETAMBULIKA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.

NI RAHISI SANA KUIFANYA UKIWA POPOTE TUTAKUSHIKA MKONO NA UTAFANIKIWA SAWA SAWA NA SHAUKU YAKO.

Wasiliana nami 0715 744716
KARIBUNI SANA

24/11/2025

Wakulima niwaambie kitu, Huu sio wakati tena wa kulima KINYONGEEE....si wakati wa kutumia nguvu nyingi na gharama nyingi halafu MAZAOO habaaa......MKOMBOZI YUPOO 🔥🔥🔥🔥🔥SUPER GRO inajibu changamoto zako zotee kwenye kilimo.....

Pia TUNASAJILI MAWAKALA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI TUWAFIKIE WAKULIMA WENGI ZAIDI

Wasiliana nasi 0715744716
Karibuni sanaa Tuwahudumie

20/11/2025

Mbolea ya Super Gro ni kirutubisho cha kimiminika kinachotumiwa k**a kiamshamvua (sticker & spreader) ili kusaidia mimea kunyonya maji na virutubisho vizuri zaidi. Kwa zao la korosho, unaweza kuitumia kwa njia ya kupulizia majani au kumwagilia kwenye udongo. Hapa kuna mwongozo wa matumizi yake:

1. Matumizi kwa Kupulizia Majani

Changanya Super Gro na maji kwa uwiano wa 1ml ya Super Gro kwa lita 1 ya maji.

Ikiwa unataka mchanganyiko mwingi, tumia 20ml ya Super Gro kwa lita 20 za maji.

Mimina mchanganyiko huo kwenye pampu ya kunyunyizia na upulizie majani ya mti wa korosho hadi yapate unyevunyevu mzuri.

Pulizia asubuhi au jioni ili kuepuka upotevu wa maji kwa mvuke.

Rudia kila baada ya wiki 2 hadi 3 kwa matokeo bora.

2. Matumizi kwa Kumwagilia Udongo

Changanya Super Gro kwa uwiano wa 1ml kwa lita 1 ya maji kisha umwagilie kwenye shina la mti wa korosho.

Hii husaidia mizizi kunyonya maji na virutubisho kwa ufanisi zaidi.

Fanya hivi mara moja kwa mwezi kwa mti uliokomaa na mara mbili kwa mwezi kwa miche midogo.

Faida za Super Gro kwa Korosho

✅ Husaidia mimea kunyonya maji na virutubisho vyema.
✅ Hupunguza upotevu wa maji kwenye udongo.
✅ Huimarisha ukuaji wa majani na kuongeza utengenezwaji wa maua na matunda.
✅ Huzuia baadhi ya magonjwa ya majani kwa kuboresha uimara wa mmea.

Kumbuka kutumia mbolea hii ya super gro pia na mbolea nyingine za kawaida k**a NPK na Samadi kwa kiwango kidogo sana ili kupata mavuno bora zaidi. Je, unataka mwongozo wa matumizi kwa hatua maalum za ukuaji wa korosho?

Kwa mahitaji ya Mbolea ya super gro piga hizi namba
0715744716

17/11/2025

OFA OFA OFA 📢📢
Habari mkulima wetu wa kilimo chenye Tija nitumie nafasi hii kukwambia usipitwe na upepo wa OFA haijalishi upo mkoa gani ukinunua Super Gro ya lita tano unasafirishiwa bure kabisa

Lita Tano unaipata Kwa Bei ya 150,000/
Sasa hii ofa ni Kwa siku tatu
Narudia ni siku tatu usiseme haujaona Ili TANGAZO

10/07/2025

SUPER GRO NI NINI..?

Ni kirutubisho Cha udongo ambalo ni tone moja la maajabu ...Imetengenezwa na vinyesi vya ndege,wanyama pamoja na mimea na imefanyiwa Utafiti na wanasayansi ambao ni wataalam wa kilimo....

Pata kwa bei ya kampuni
Lita 5 kwa 145,000/-
Lita 1 kwa 45,000 /-
Robo lita kwa 20,000/-
Na Mills 200 kwa 10,000/-

Wasiliana nami 0715 744716
Tunapatikana DAR Mwenge Mpakani Centre.

SUPER GRO INAVIRUTUBISHO MBALI MBALI (INGREDIENTS)
1.Nitrogen (N)72
2.Phosphorious(p)45
3.potassium30
4.Sulphur15
5.callicium9
6.magnesium7
7.iron5
8.Iodine3
9.Marine 1
10.Zink 1
Hii ni kwa liter 1 ya ujazo wa super Gro

KAZI ZA SUPER GRO
1.Husaidia udongo kutunza unyevu unyevu kwa Muda mrefu maana kwamba inatabia ya kuvunja vunja udongo hadi kufikia tabaka la tatu...Ambapo inaenda kusaidia kurutubisha udongo ili uwe na rutuba..

2.kuongeza uzalishaji kwa maana ya kuzalisha wingi wa mazao

3.Husaidia dawa za kuliwa na wadudu zisitiririke ipasavyo.

4.Hupunguza gharama

5.Inasaidia mmea kuwa na rangi halisi ya ukijani au rangi yake ipasavyo iwekipindi Cha masika au hata kiangazi...

6.Inaleta Nguvu mpya kwenye mazao ili kuwa na ukomavu

7.Huongeza mauwa kuwa mengi mfano mauwa ya mpapai,parachichi,maindi n.k

8.kuongeza uzito kwenye mazao au ujazo kwenye matunda..

NAMNA YA KUTUMIA SUPER GRO
Inapuliziwa kwenye shina na majani ya mimea na inapuliziwa baada ya mmea kutoa majani ..

VIPINDI VYA KUPULIZIA
✔️Kwa msimu wa kiangazi unashauriwa KUPULIZIA mara moja kila baada ya siku saba maana kwamba kwa mwenzi mara nne tu..

✔️Kwa msimu wa masika (Mvua)
Inapuliziwa mara moja kwa kila baada ya siku 14 maana kwamba kwa mwenzi mara mbili tu ...

VIPIMO VYAKE

CC1 au mils 1 kwa liter moja ya maji.

Photos from Neolife Independence Distributor's post 17/06/2025

Msimu wa mkulima kufurahia mavuno zaidi ya mara 3 ndio huu sasa

Mkulima Tumia Super Gro mbolea ya maji Inayojibu changamoto zote za mkulima

Super Gro ni mkombozi wa mkulima Kwa tone moja la maajabu

Wasiliana nami 0715 744716

Ofisi zetu zinapatikana Dar Mwenge Mpakani Tunafanya delivery Mikoani Tunatuma Karibuni sana TUWAHUDUMIE

Pia TUNASAJILI MAWAKALA MIKOA YOTE TANZANIA MDOGO NA KWA FAIDA KUBWA

12/06/2025

SUPER GRO NI MKOMBOZI KWA MKULIMA
LIMA KILIMO CHENYE TIJA NA SUPER GRO
WASILIANA NASI 0715 744716
TUNASAJILI MAWAKALA MIKOANI YOTE TANZANIA 🇹🇿
OFISI ZETU ZINAPATIKANA DAR MWENGE MPAKANI.

Super gro ni kirutubisho cha asili kwenye mimea yote
Ipo katika hali ya kimiminika
Inapatikana kwenye ujazo wa

Robo lita
Lita moja
Lita tano

Bidhaa hii imekuwa maarufu Sana hasa Afrika mashariki kwani imewasaidia wakulima wengi Sana kuongeza mazao na kupunguza GHARAMA za pembejeo hasa madawa na mbolea

Nzuri zaidi super gro
IMEJIBU CHANGAMOTO zote za wakulima K**a vile

-MVUA HABA
-MAZAO HAFIFU
-WADUDU na MAGONJWA
-UDONGO KUISHIWA RUTBA
-GHARAMA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

KAZI NA FAIDA ZA KUTUMIA SUPER GRO

1️⃣inarutubisha ardhi kwani huwezesha maji kupenya hadi tabaka la tatu la udongo ambako huwa na madini na virutubisho

2️⃣Inazuia FUNGUS au UKUNGU kwenye mimea

3️⃣inazuia maua kupukutishwa kwa upepo hivyo kufanya mazao yawe mengi zaidi

4️⃣Inasaidia viwatilifu kufanya kazi vizuri kwani super gro inaasili ya gundi hivyo kuwezesha madawa ya kilimo Aina zote kushika vizuri kwenye majani na hivyo madawa kuua wadudu kwa urahisi zaidi

5️⃣Inaongeza uzito wa mazao hasa kwenye mazao ya biashara K**a vile (embe,chungwa,tikiti,parachichi,maharage,mahndi,kunde na mazao mengine

6️⃣ Inaongeza nguvu kwenye mazao yaliyolemaa

7️⃣ Inaongeza unyevunyevu kwa ardhi hivyo hata wakati kwa jua Kali mimea yako inaendelea kuwa imara zaidi bila kusinyaa

8️⃣ Inaongeza ukijani mwingi kwenye mazao hivyo kufanya mmea kuwa na uwezo wa kujitengenezea chakula chake

9️⃣inalinda mazao yasiliwe na wadudu au kubunguliwa baada ya kuvunwa

MATUMIZI YA SUPER GRO

SUPER GRO pima cc/mls ziendane na ujazo wa maji

Mfano:
Cc/mls 5 kwa lita 5 za maji
Cc/mls15 kwa lita 15 za maji

NOTE:HAKIKISHA UJAZO WA MAJI USIPUNGUE WALA KUZIDISHA

WAKATI UNAOFAA KUPULIZA SUPER GRO (ASUBUHI/JIONI)

1️⃣PULIZA SUPER GRO KILA BAADA YA SIKU 7 K**A NI WAKATI WA JUA(KIANGAZI)

2️⃣PULIZA SUPER GRO KILA BAADA YA SIKU 14 K**A NI WAKATI WA MVUA(MASIKA)

ANZA LEO KUTUMIA SUPER GRO ULIME KWA FAIDA.

Photos from Neolife Independence Distributor's post 12/06/2025

Kwa nini ujifunze kilimo chenye tija na Super Gro??
Kwa sababu kilimo chenye tija kinakupa uwezo wa kuzalisha kwa ubora na wingi bila kupoteza muda, nguvu, wala rasilimali. Unajifunza kutumia mbinu bora, teknolojia sahihi, na pembejeo zinazofaa — ili kuongeza mavuno na kipato.

Lakini uzalishaji bila soko ni sawa na kupanda bila matumaini ya kuvuna

SOKO NI MUHIMU SANA
Tafuta soko mapema kabla hujalima.
Fahamu unachotakiwa kulima,
Kwa kiasi gani, na kwa ubora upi.
Hii itakuepusha hasara na kukupa uhakika wa kuuza kwa bei nzuri.

Wasiliana nami 0715 744716
Tunapatikana DAR Mwenge Mpakani Karibuni sana TUWAHUDUMIE

Photos from Neolife Independence Distributor's post 12/06/2025

Feedback ya mkulima wa zao la viatu ulaya kutoka mbeya baada ya kutumia mbolea ya Super Gro 👌

Super Gro haiongopi
Tumia sasa ikupe matokeo unayotani shambani mwako
Wasiliana nami 0715 744716

Tunapatikana DAR Mwenge Mpakani Centre

15/05/2025

SUPER GRO NI MKOMBOZI KWA MKULIMA
LIMA Kilimo Chenye Tija
KWA MAHITAJI YA MANUNUZI NA USHAURI WASILIANA NASI 0715 744716

Super gro ni kirutubisho cha asili kwenye mimea yote
Ipo katika hali ya kimiminika
Inapatikana kwenye ujazo wa

Lita tano

Bidhaa hii imekuwa maarufu Sana hasa Afrika mashariki kwani imewasaidia wakulima wengi Sana kuongeza mazao na kupunguza GHARAMA za pembejeo hasa madawa na mbolea

Nzuri zaidi super gro
IMEJIBU CHANGAMOTO zote za wakulima K**a vile

-MVUA HABA
-MAZAO HAFIFU
-WADUDU na MAGONJWA
-UDONGO KUISHIWA RUTBA
-GHARAMA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

KAZI NA FAIDA ZA KUTUMIA SUPER GRO

1️⃣inarutubisha ardhi kwani huwezesha maji kupenya hadi tabaka la tatu la udongo ambako huwa na madini na virutubisho

2️⃣Inazuia FUNGUS au UKUNGU kwenye mimea

3️⃣inazuia maua kupukutishwa kwa upepo hivyo kufanya mazao yawe mengi zaidi

4️⃣Inasaidia viwatilifu kufanya kazi vizuri kwani super gro inaasili ya gundi hivyo kuwezesha madawa ya kilimo Aina zote kushika vizuri kwenye majani na hivyo madawa kuua wadudu kwa urahisi zaidi

5️⃣Inaongeza uzito wa mazao hasa kwenye mazao ya biashara K**a vile (embe,chungwa,tikiti,parachichi,maharage,mahndi,kunde na mazao mengine

6️⃣ Inaongeza nguvu kwenye mazao yaliyolemaa

7️⃣ Inaongeza unyevunyevu kwa ardhi hivyo hata wakati kwa jua Kali mimea yako inaendelea kuwa imara zaidi bila kusinyaa

8️⃣ Inaongeza ukijani mwingi kwenye mazao hivyo kufanya mmea kuwa na uwezo wa kujitengenezea chakula chake

9️⃣inalinda mazao yasiliwe na wadudu au kubunguliwa baada ya kuvunwa

MATUMIZI YA SUPER GRO

SUPER GRO pima cc/mls ziendane na ujazo wa maji

Mfano:
Cc/mls 5 kwa lita 5 za maji
Cc/mls15 kwa lita 15 za maji

NOTE:HAKIKISHA UJAZO WA MAJI USIPUNGUE WALA KUZIDISHA

WAKATI UNAOFAA KUPULIZA SUPER GRO (ASUBUHI/JIONI)

1️⃣PULIZA SUPER GRO KILA BAADA YA SIKU 7 K**A NI WAKATI WA JUA(KIANGAZI)

2️⃣PULIZA SUPER GRO KILA BAADA YA SIKU 14 K**A NI WAKATI WA MVUA(MASIKA)

ANZA LEO KUTUMIA SUPER GRO ULIME KWA FAIDA

13/05/2025

Wasiliana nasi 0715 744716
0715 744 716
Neolife Independence Distributor

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

MWENGE MPAKANI
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00