bernadetha na afya

bernadetha na afya

Share

NINASAIDIA VIJANA WA K**E NA KIUME
KUJIKWAMUA KIUCHUMI
KUPITIA FURSA MBALIMBALI
πŸ“ž+255624616462

30/06/2026

TAIFA LINAKUTANA KWA AJILI YA MAENDELEO YA KIFEDHA.

YEMCO VICOBA TANZANIA, kwa kushirikiana na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), wanakualika kushiriki National Financial Inclusion Summit (NFIS) 2026.

Kongamano hili litawakutanisha viongozi, taasisi za fedha, wafanyabiashara, wajasiriamali, vikundi vya VICOBA na wadau wa maendeleo kujadili fursa na mikakati ya kuimarisha ujumuishaji wa huduma za kifedha nchini.Hii ni Katika kuadhimisha Miaka kumi ya YEMCO VICOBA TANZANIA Kuihudumia jamii Katika elimu ya fedha.

Usikose kuwa sehemu ya jukwaa litakalounganisha maarifa, fursa na ushirikiano kwa maendeleo ya kifedha ya Tanzania.

πŸ“… 22 Agosti 2026
πŸ“ Blue Sapphire Hall, Dar es Salaam

Jiandikishe mapema na ushiriki. Kesho ya maendeleo ya kifedha inaanza na wewe.

Kushiriki au kudhamini wasiliana nasi kwa namba 0715448643 au 0743636927

NFIS 2026
Pamoja kwa Maendeleo ya Kifedha.












amis




amis






tanzania

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam