bernadetha na afya

bernadetha na afya

Share

NINASAIDIA VIJANA WA K**E NA KIUME
KUJIKWAMUA KIUCHUMI
KUPITIA FURSA MBALIMBALI
📞+255624616462

03/12/2025
03/12/2025

Tuna nafasi 10 kuwahi kwako na kipaumbele chetu wakazi wa Dar es salaam watapewa kipaumbele
Makumbusho
Mwanga tower
Floor ya tatu
📞0794616462

13/09/2025

Suluhisho la ngiri sugu

11/09/2025

HATUA ZA GERD (GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE)
Zipo hatua 4 ambazo GERD (kuzid kwa acid tumbon) hupitia,hatua hizo ni k**a ifuatavyo:⤵️

A .HATUA YA KWANZA (MILD GERD).
Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika hatua hii ya kwanza ya GERD ambapo tatizo huwa katika hatua za mwanzo sana.

DALILI ZA GERD HATUA YA KWANZA (MILD GERD)
1.🖇️ Kiungulia
2.🖇️ Maumivu ya kifua
3.🖇️ Kuhisi k**a kuna vitu vya kunata katika kooni
4.🖇️ Kucheua chakula au vinywaji

⚫ Katika Hatua hii,mtu anaweza kujitibia kwa kubadili mfumo wake wa maisha kwa kuepuka vyakula na mifumo isiyofaa kutokana na hali yake mfano ajiepushe na Caffeine, pombe,vyakula vyenye mafuta mengi nk. Lakini pia ni rahisi mgonjwa kupona akitumia dawa katika hatua hii ya awali.

B. HATUA YA PILI YA GERD (MODERATE GERD)
Katika hatua hii,watu wenye GERD hupatwa na dalili za GERD mara kadhaa ndani ya wiki na dalili zake hutokea mara kwa mara ukilinganisha na Hatua ya kwanza na dalili huanza kuwa kali kiasi.

DALILI ZA GERD HATUA YA PILI (MODERATE GERD)
1.🖇️ Kiungulia kikali kiasi
2.🖇️ Maumivu ya kifua
3.🖇️ Kuhisi uteute wenye kunata kooni
4.🖇️ Kucheua chakula au vinywaji
5.🖇️ Moyo kupaparika(Heart palpation)

⚫ Katika hatua hii,mtu anahitajia matibabu ya dawa pia kumshirikisha daktar kwaajili ya ushauri wa kimatibabu na dawa.

C. HATUA YA TATU YA GERD (SEVERE GERD)
Katika hatua hii,asilimia 15% ya wagonjwa waliopo katika hatua hii hupata dalili za GERD kali mara nyingi zaid kwa wiki au kila siku.

DALILI ZA GERD HATUA YA TATU (SEVERE GERD)
1.🖇️ Kiungulia kikali
2.🖇️ Kucheua sana chakula na vinywaji na wakati mwingine kucheua Acid (uchachu)
3.🖇️ Kuvimba kwa koo(sore throat)
4.🖇️ Kikohozi kisichoisha
5.🖇️ Sauti ya kukwaruza
6.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda kasi
7.🖇️ Wasiwasi uliopita kiasi bila sababu
8.🖇️ Kuota ndoto za kutisha
9.🖇️ Kichwa Kuvurugika na kuhisi kuchanganyikiwa
10.🖇️ Kizunguzungu
11.🖇️ Maumivu ya kichwa
12.🖇️ Macho kupungua nguvu ya kuna

11/09/2025

TUNATIBU BAWASIRI KWA NJI
A YA ASILI KABISA NDANI YA SIKU 30 TU
0️⃣7️⃣9️⃣4️⃣6️⃣1️⃣6️⃣4️⃣6️⃣2️⃣

11/09/2025

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.🧷kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.🧷kupata kinyesi chenye damu
4.🧷kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
5.🧷 Kupata maumivu ya tumbo/kiuno

_MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI_

1.🧷 Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.🧷 Ujauzito
3.🧷 Unywaji pombe
4.🧷 Kukaa sana sehemu ngumu
5.🧷 Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
6.🧷Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
-Kuzid kwa Acid tumbon(Acid reflux)
7.🧷 Kula sana nyama nyekundu
8.🧷 Presha ya kupanda
9.🧷Kula sana pilipili
10.🧷 Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)
11.🧷 Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa
12.🧷 Kuharisha kupita kiasi.
13.🧷 Kufanyakaz ngumu/kunyanyua vitu vizito0️⃣7️⃣9️⃣4️⃣6️⃣1️⃣6️⃣4️⃣6️⃣2️⃣

11/09/2025

Ukila vyakula hivi utaondokana kabisa na changamoto ya acid reflux

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam