bernadetha na afya
NINASAIDIA VIJANA WA K**E NA KIUME
KUJIKWAMUA KIUCHUMI
KUPITIA FURSA MBALIMBALI
π+255624616462
TAIFA LINAKUTANA KWA AJILI YA MAENDELEO YA KIFEDHA.
YEMCO VICOBA TANZANIA, kwa kushirikiana na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), wanakualika kushiriki National Financial Inclusion Summit (NFIS) 2026.
Kongamano hili litawakutanisha viongozi, taasisi za fedha, wafanyabiashara, wajasiriamali, vikundi vya VICOBA na wadau wa maendeleo kujadili fursa na mikakati ya kuimarisha ujumuishaji wa huduma za kifedha nchini.Hii ni Katika kuadhimisha Miaka kumi ya YEMCO VICOBA TANZANIA Kuihudumia jamii Katika elimu ya fedha.
Usikose kuwa sehemu ya jukwaa litakalounganisha maarifa, fursa na ushirikiano kwa maendeleo ya kifedha ya Tanzania.
π
22 Agosti 2026
π Blue Sapphire Hall, Dar es Salaam
Jiandikishe mapema na ushiriki. Kesho ya maendeleo ya kifedha inaanza na wewe.
Kushiriki au kudhamini wasiliana nasi kwa namba 0715448643 au 0743636927
NFIS 2026
Pamoja kwa Maendeleo ya Kifedha.
amis
amis
tanzania
Click here to claim your Sponsored Listing.