Grace na Afya bora

Grace na Afya bora

Share

Nasaidia watu wenye changmoto za afya ya mwili

29/07/2025

Ugonjwa wa Kisukari ni nini???

Kisukari ni ile hali ya kuwepo kwa sukari nyingi sana kwenye mfumo wa damu, pindi baada ya kula vyakula vya wanga k**a vile ( wali, ugali, chapati, maandazi n.k) ama vyakula vya sukari sukari mfano soda, juice na vingine k**a hvyo.

Sababu ya hali hii kutokea mwilini ni;
1. Uchakavu ama usugu wa seli kwa kimombo inaitwa cell resistance/ insulin resistance
2. Kudhoofu au kuzimia kwa kongosho
3. Uzito mkubwa mwilini
4. Tatizo la kukosa choo mara kwa mara kwa muda mrefu
5. Utumiaji wa sigara ama pombe kwa muda mrefu na sababu nyingine nyingi.

Angalizo: Hizi ni sababu za ugonjwa wa Kisukari mwilini ila sio CHANZO cha ugonjwa wa Kisukari mwilini.

Kwa muda mrefu sana watu wamekua wakitibu sababu hizi za ugonjwa huu mwilini.

Sababu za kitu kuwepo haimaanishi ndio chanzo chake. Embu tuchukulie mfano huu;
Mimi na wewe tunakutana hospitali wote tumeenda kutibiwa. Sababu zetu kuja hapo hospitali zinaweza kutofautina ila chanzo chetu sote ni kimoja ambacho ni hiyo Hospitali. Hivyo hyo hospitali isingekuepo wenda Mimi na wewe tusingekutana.

Karibu sana nkuhudumie mimi sijui unapitia changamoto gani kiafya sababu ya ugonjwa huu wa Kisukari ila nataka ujue kuwa Kisukari Kinatibika kwa mawasiliano wa.me/wa.me/255780620813

14/07/2025

Kisukari kinatibika kirahisi kabisa wa.me/255780620813

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Nasra Tower
Dar Es Salaam