Dk Nyasebwa healt center

Dk Nyasebwa healt center

Share

Tunawasaidia watu wenye changamoto mbali mbali za kiafya

12/08/2025

Ugonjwa wa P.I.D ni nini?
Mara moja nieleze kwa kina zaidi, undani wa p.i.d ni nini hasa? Ugonjwa wa Pelvic Inflamatory (PID) ni maambukizi makali kwenye uterasi, mirija ya uzazi na/au kwenye ovari. Hali hii Inathiri wanawake wengi sana kutokana na hali mbalimbali. PID hutokea pale aina fulani za bakteria wanapo sambaa kutoka kwenye uke hadi kwenye viungo vyako vya uzazi. Bakteria pia wanaweza kutoka kwa magonjwa ya zinaa ambayo hayajatibiwa vizuri (STIs). Hivyo tunasema STIs ndio chanzo kikuu cha ugonjwa wa PID. Hata hivyo, bakteria wanaopatikana kwenye uke wako pia baadhi wanaoweza kusababisha ugonjwa wa PID. Zingatia kuwa Unapokuwa na PID, unaweza kuhisi maumivu kwenye tumbo la chini (tumbo) au pelvis (nyonga). Unaweza pia kuwa na uchafu usio wa kawaida (Ukivuja) kutoka ukeni kwako. PID kali inaweza kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye viungo vyako vya uzazi na kukuzuia usipate ujauzito sasa ama baadae. Kupima na kutibiwa magonjwa ya zinaa ndiyo njia bora ya kuzuia PID.Natumaini umepata mjibu kuhusu swali la mara kwa mara kuhusu p.i.d ni nini.
Kwa tiba zaidi wasiliana nami 0614177412

01/08/2025

BAWASIRI NI UGONJWA HATARI SANA LAKINI UNATIBIKA KIKAMILIFU

CALL/ Whatsapp 0769726253

Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.

Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.

KUNA AINA KUU MBILI ZA BAWASIRI
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.

BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri

[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
Kwa matibabu zaidi
Piga 0769726253

31/07/2025

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)

Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji

BAWASILI ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa.

Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu.

Hali hii husababisha maumivu makali sana, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa na afya ya akili.

AINA ZA BAWASILI

1. Bawasili ya Ndani Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.

2. Bawasili ya Nje Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.

CHANZO CHA BAWASILI

Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)

Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua

Kufanya ngono kinyume na maumbile

Choo kigumu (constipation) mara kwa mara

Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu

Kunyanyua vitu vizito, kufanya mazoezi mazito

Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)

DALILI ZA BAWASILI

Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa

Maumivu makali wakati wa kujisaidia

Kutoka damu wakati wa haja kubwa

Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa

Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, pia upungufu wa nguvu za kiume

MADHARA YA BAWASILI

Upungufu wa damu kwa kutokwa na damu mara kwa mara

Kudhoofika mwili na kinga ya kushuka

Kukosa hamu ya tendo la ndoa na nguvu za kiume

Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni, hasira)

Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia

Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana

SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI

Watu wengi hutibiwa Bawasili hospitali kwa ajili ya upasuaji, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena na tena hata baada ya upasuaji.

Habari nzuri zaidi ni kwamba sasa kuna bidhaa zenye viambata asili, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila ya upasuaji.

Bidhaa hizi husaidia:
Kupunguza uvimbe kwa haraka hadi kuondoka kabisa

Kuponya mishipa iliyo pasuka

Kupunguza maumivu na muwasho

Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa

JE! UNA NDUGU, JAMAA AU RAFIKI ANAE SUMBUKA NA BAWASILI?

Usikubali kuishi na maumivu na aibu.
Wasiliana nami kwa ushauri na tiba salama utokomeze Bawasili ukiwa nyumbani.

WhatsApp: 0769726253

31/07/2025

KISUKARI KINATIBIKA Inawezekana.

Mtazamo wako ni wa muhimu sana kwenye program hii, maana kile unachokitarajia ndicho utakacho kubaliana nacho.

Kwa muda mrefu sana watu wengi wameaminishwa kuwa kisukari hakitibiki na hata waliojaribu kujitibu wengi wao hawajafanikiwa ila hiyo haimaanishi kuwa hakitibiki TATIZO NI MTAZAMO.... WATU WAMEKUA WAKITAZAMA NINI??

UKIBADILI NAMNA UNAVYOONA VITU, VITU UNAVYOVIONA VITABADILIKA. Karibu sana nikuhudumie mimi sijui unapitia changamoto gani kiafya sababu ya ugonjwa huu wa Kisukari ila nataka ujue kuwa Kisukari Kinatibika kwa mawasiliano wa.me/📞📞255769726253

31/07/2025

Siku zote ukisikia miguu inawaka moto fikiria nyanya za umeme wa mwili zinazopeleka umeme kwenye miguu. Hizi nyanya tunaziita neva za fahamu. K**a hizi nyanya zikipata shida (peripheral neuropathy) unasikia maumivu k**a kuwaka moto kwenye miguu.

Kuna vyanzo vingi vinavyosababisha shida hii. Angalia hapa na gundua ambayo inaweza kuwa inakuhusu

1. KUCHOKA

Hii huwapata wale ambao wanafanya kazi ya kutembea muda mrefu, kusimama muda mrefu au kukaa muda mrefu.

2. KISUKARI

Sukari nyingi kwenye damu inapelekea kuharibu mishipa ya damu inayozilisha neva za fahamu za miguuni na hivyo hizi nyanya zinaharibika.

Wakati mwingine k**a unashida ya miguu kuwaka moto bila sababu maalumu na isiyosikia matibabu, kapime sukari.

3. SUMU MWILINI

Unaweza ukawa umeingiza sumu mwili ambazo zinaathiri neva. Unaweza ukawa umeingiza kupitia chakula, vinywaji, unachojipaka, unachovuta nk

4. UPUNGUFU WA VITAMIN

Vitamin B12 na 5 ni muhimu kwa ajili ya afya ua neva za fahamu. K**a kuna upungufu inawezakupelekea kusikia dalili k**a hizi.

5. VYANZO VINGINE

Hivi sitavielezea, lakini vitakupatia wazo kuwa huenda ikawa ndio chanzo cha tatizo lako.

👉🏻 Ugonjwa wa figo
👉🏻 Athari za matibabu ya saratani (chemotherapy)
👉🏻 VVU/UKIMWI
👉🏻 Neva kubanwa sehemu (tarsal tunnel syndrome)

Kwa kuwa vyanzo ni vingi, ni muhimu kujua chanzo ni nini kabla ya kujaribu kutibu.

Chakula hai “chakula kinachotokana na mmea katika uasili wake” hakijawahi kumtupa mtu. Anza leo, wakati ukifuatilia kujua chanzo na kukitibu au/na kukiondoa.

📞📞 0769726253 pata tiba lishe ya kutibu tatizo lako la ganzi

30/07/2025

K**a wewe ni mjamzito angalia k**a ngozi ya ziwa lako ni laini au imeng'ang'ania kwenye ziwa. Iwapo ngozi yako sio laini na inaonekana k**a imebana kwenye ziwa na huwezi kuivuta kwa urahisi k**a inavyoonekana kwenye picha A uko kwenye hatari ya matiti yako kuwa yanajaa mara kwa na kuuma. Unashauriwa kuyafanyia massage wakati wa ujauzito na kuchukua tahadhari za ziada baada ya kujifungua. Iwapo ngozi inavutika kwa urahisi k**a picha B hauko kwenye hatari ya matiti kujaa na kuuma...wewe ukoje kwa msaada zaidi piga 0769726253 or sms via watsap

30/07/2025

DALILI ZA KANSA YA SHINGO YA KIZAZI/KANSA YA CERVIX

Dalili zake zinaweza kutofautiana kulingana na hatua ya ugonjwa .katika hatua za awali ,kansa ya shingo ya kizazi mara nyingi haina dalili za wazi

Kansa ya shingo ya kizazi inaweza kusababisha dalili zifuatazo.

✍️kutokwa damu kati ya vipindi vya hedhi au baada ya kumaliza hedhi
✍️maumivu wakati wa kufanya tèndo la ndoa
✍️kuongezeka kwa ukubwa wa kizazi au tumbo
✍️maumivu au kuvuja damu wakati wa kukojoa au kujisaidia haja kubwa
✍️kutokwa damu baada ya kumaliza tendo la ndo
hasa k**a damu yenye rangi ya kahawia au yenye harufu mbaya
✍️kutokwa na uchafu usio wa kawaida kutoka ukeni k**a vile uchafu mweupe ,mweusi rangi ya damu na wenye harufu mbaya.

Tatizo hili ni hatari sana kwa afya ya uzazi wa mwanamke. Hivyo inashauriwa kwa mtu ambae anapitia dalili tajwa hapo juu kuonan na daktari ama mshauri na mtabibu wa maswala ya afya ya uzazi kwa wanawake ili kuweza kujua chanzo na kupata suluhisho la tatizo.

Kwa msaada wa haraka.
# 0769726253or tuma sms wasap

30/07/2025

Ugonjwa wa vidonda vya tumbo (Peptic ulcer disease (PUD) ni nadra sana kutokea wakati wa ujauzito, PUD inaaminika kutokuwepo wakati wa ujauzito kwa sababu ya kupungua kwa asidi ya tumbo (decreased gastric acid secretion). Pia athari za ugonjwa wa madonda ya tumbo ni nadra sana kutokea wakati wa ujauzito.ila kwa mwanamke asipo kuwa na ujauzito ni haraka saba kupata athari na upande pia wa jinsia ha Me ni haraka sana kupata athari ambazo hupelekea wengine kukatwa utumbo na kushonwa hivo usikubali kuskatwa utumbo wala kufanyiwa oparetion dawa zetu zinatibu tatizo hilo haraka sana
Piga 0769726253 watsap

30/07/2025

HIZI NDIO DALILI SABA ZA VIDONDA VYA TUMBO, HEBU TEGA SIKIO KIDOGO

1. Kuhisi tumbo linauma kwa kukwangua unapohisi njaa
2. Uchovu
3. Maumivu makali ya tumbo
4) Tumbo kujaa gesi
5. Kutapika damu au kuharisha damu kwa wenye usugu wa tatizo hilii
6. Kushindwa kumeza chakula vizuri au kuhisi chakula kinarudi
7. Maumivu ya mgongo

Ukiona dalili hizi usikae kimya na tatizo kwa maana huongezeka siku baada ya siku na kupelekea madhara makubwa k**a vile kansa ya utumbo, pata suluhisho mapema
Tupigie kwa namba hii 0769726253

30/07/2025

KANSA................KANSA !
**************************
Ujue ugonjwa wa kansa, sababu,madhara na matibabu yake...
🦠Kansa ni ugonjwa unaotokana na kuharibika Kwa cell ndani ya mwili, ugonjwa huu hutokana na DNA /vinasaba inapo haribika na kushindwa kuongoza vyema chembe za dam.

¶¶ hizi ni baadhi ya aina ya Kansa.....

√kansa ya tezidume
√kansa ya koo
√kansa ya korodani
√kansa ya kongosho
√kansa ya matiti
√kansa ya kizazi

🦠Dalili za mtu mwenye Kansa,,
---kuhisi uchovu marakwamara usio wa kawaida.
---kuwa na uvimbe sehemu ya mwili unaokaa mda mrefu.
---kuwa na kidonda kisichopona.
---uzito kubadilika ghafla kupanda/kushuka.

🦠Sababu zinazo sababisha Kansa.
-- Genetic/akurithi.
--uvutaji sigara.
--kupigwa mionzi ilozidi .
--mionzi ya jua Kwa baadhi ya maeneo
--unywaji pombe.
--ulaji wa chakuka kisicho na virutubisho mda mrefu.

🦠Namna ya kujikinga na Kansa........
---epuka uvutaji sigara.
---epuka unywaji pombe kupita kiasi.
---epuka kuruhusu mionzi mikali/mda mrefu kwenye mwili wako .
---ulapo chakuka hakikisha kina virutubisho ndani yake.
---fanya mazoezi kilasiku.

Vyakula vinavyo Saidia kupambana na Kansa.
"""Mboga za majani.
""Nyanya Kwa uwingi.
""Kitunguu saum.
""Beris

🦠Kansa inatibika na dozi ya siku 30 ya nutrients supplementary Aina tatu,,

Aina ya Kansa ambayo Haitibiki ni "terminal cancer" ambayo inakuwa juu na kuenea mwili mzima,,

Aina ya Kansa amba inaweza kusababisha kifo haraka ni""pancreatic cancer""kansa ya kongosho, ikikaa Kwa mda mrefu husababisha kifo haraka, tofauti na aina za Kansa nyingine.

Tupo Kwa ajili ya kupambana na magonjwa sumbufu, usisite kuwasiliana nasi Kwa ushauri au kupata program ya matibabu ya magonjwa mbalimbali

📞📞+255769726253 watsap

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam