AFYA YANGU Kipaumbele changu

AFYA YANGU Kipaumbele changu

Share

Tunatoa tiba za uhakika kwa watu wenye changamoto za magonjwa sugu/ yasiyoambukiza kwa kutumia tiba asilia. Ushauri na kumwona daktari ni bure.

Huduma ya vipimo mwili mzima kwa njia ya kisasa Tsh.30,000 tu. Karibu sana
#+255 743 623 272
#+255 624 544 892

22/10/2025
01/09/2025

๐ŸŸฆ TANGAZO LA HUDUMA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA

๐Ÿงช Huduma za Vipimo vya Mwili Mzima sasa zinapatikana!
Tunajali afya yako na tunakupatia huduma bora za uchunguzi wa mapema kwa magonjwa yasiyoambukiza pamoja na matibabu yake.

๐Ÿ”น Tunatibu na kutambua magonjwa yafuatayo:

1. Kisukari (Diabetes Mellitus)

Dalili: Kiu ya mara kwa mara, kukojoa mara kwa mara, kupungua uzito bila sababu, uchovu.

2. Shinikizo la damu (Hypertension)

Dalili: Maumivu ya kichwa, kizunguzungu, mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida, wakati mwingine bila dalili.

3. Magonjwa ya moyo (Heart Disease)

Dalili: Maumivu ya kifua, upungufu wa pumzi, mapigo ya moyo kwenda mbio, uchovu.

4. Kansa (Cancer)

Dalili: Uvimbe usioisha, maumivu yasiyoelezeka, kupungua uzito ghafla, kutokwa damu isiyo ya kawaida.

5. Pumu (Asthma)

Dalili: Kupumua kwa shida, kukohoa mara kwa mara, kifua kubana, usingizi mbaya usiku.

6. Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Disease)

Dalili: Miguu kuvimba, uchovu, kukojoa mara nyingi au kidogo, usingizi usio na utulivu.

7. Kiharusi (Stroke)

Dalili: Gafla uso au mkono kulegea, shida ya kuongea, kizunguzungu kikali, maumivu ya kichwa makali.

8. Saratani ya shingo ya kizazi (Cervical Cancer)

Dalili: Kutokwa damu isiyo ya kawaida, maumivu ya nyonga, harufu mbaya sehemu za siri.

9. Saratani ya mat**i (Breast Cancer)

Dalili: Uvimbe kifuani, maumivu ya t**i, kubadilika kwa ngozi ya t**i, kutoa majimaji yasiyo ya kawaida.

10. Saratani ya tezi dume (Prostate Cancer)

Dalili: Kukojoa mara kwa mara usiku, maumivu wakati wa kukojoa, damu kwenye mkojo, kushindwa kukojoa vizuri.

11. Magonjwa ya ini (Liver Disease)

Dalili: Ngozi na macho kuwa ya njano, tumbo kujaa maji, uchovu, kupungua uzito.

12. Shida ya mapafu sugu (COPD)

Dalili: Kikohozi cha muda mrefu, kupumua kwa shida, homa mara kwa mara, kupungua pumzi kwa haraka.

13. Magonjwa ya macho (Glaucoma, Cataract)

Dalili: Maono kufifia, maumivu ya macho, kuona ukungu, kupoteza kuona taratibu.

14. Magonjwa ya akili (Depression, Anxiety)

Dalili: Huzuni ya muda mrefu, kukosa usingizi, wasiwasi, kukosa hamu ya maisha.

15. Ugonjwa wa mifupa na viungo (Arthritis)

Dalili: Maumivu ya viungo, kuvimba, ugumu wa kusogea asubuhi, viungo kuwa dhaifu.

---

๐Ÿ“ Huduma zetu zinapatikana Dar es Salaam na mikoa yote Tanzania.
๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: 0624544892 / 0743623272

๐Ÿฉบ Afya yako ni mtaji wako โ€“ fanya uchunguzi mapema, epuka madhara ya baadaye.

25/08/2025

๐Ÿ“ข TANGAZO MAALUM โ€“ OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA

Je, unajua kwamba kufanya checkup ya afya mara kwa mara kunasaidia kugundua magonjwa mapema kabla hayajawa makubwa?
Afya yako ni mtaji wako, na sisi tunajali maisha yako. โค๏ธ

Kwa kushirikiana na Madaktari Bingwa kutoka China, tunakuletea OFA KUBWA ya vipimo vya mwili mzima vinavyopatikana Tanzania nzima.

โœ… Tunagundua chanzo cha matatizo ya kiafya
โœ… Tunakupa ushauri wa kitaalamu kutoka kwa madaktari bingwa
โœ… Tunakupa suluhisho sahihi na la kudumu kwa afya yako

Usisubiri ugonjwa ukue โ€“ fanya checkup leo na linda maisha yako na ya familia yako.

๐Ÿ“ž Kwa mawasiliano: 0624544892
WhatsApp: https://wa.me/message/VLPVPPO4PEHRO1

๐ŸŒ Huduma hii inapatikana kote nchini Tanzania.

Photos from AFYA YANGU Kipaumbele changu's post 25/08/2025

Huduma ya vipimo mwili mzima (full body checkup) kwa bei ya ofa, Tsh. 30,000 tu. Unapata majibu ya vipimo kwa haraka na hakuna foleni. Matibabu ya magonjwa sugu na magonjwa yasiyoambukiza k**a kisukari, presha, figo, ini, pumu, tezi dume, matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume, PID, matatizo ya hedhi, matatizo ya mifupa, vidonda vya tumbo, kansa(cancer). Tiba ya uhakika kwa dawa za uhakika na zisizo na madhara ki-afya kwani ni asilia kutoka katika mimea asilia

Photos from AFYA YANGU Kipaumbele changu's post 13/08/2025
09/08/2025

Tiba ya uhakika inayotibu kuanzia chanzo cha tatizo hadi matoko ya tatizo.

https://wa.me/message/VLPVPPO4PEHRO1

09/08/2025

Mtaji wa kwanza ni afya yako. Karibu kwa tiba thabiti na ya uhakika

08/08/2025

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA

Mafanikio ya sayansi, utabibu na afya ya Jamie katika karne ya ishirini na moja yamekuwa makubwa sana. Tumetoka mbali tangu ugunduzi wa Louis wa nadharia ya vimelea vya magonjwa kufikia tulipo leo.

Maendeleo katika teknolojia za uchunguzi wa magonjwa ni ya ajabu sana.

Katika kituo chetu tuna vipimo ambavyo vinaonyesha utendaji wa ndani wa viungo mbali mbali vya mwili kuanzia kwenye ubongo mpaka kwenye unyayo.

Wapo walioambiwa kwamba mfumo wao wa uzazi umeziba haufanyi kazi lakini kwetu tumefanikiwa kuona tatizo na kumaliza tatizo hilo

Wale wenye changamoto ya presha tutaona mishipa ya damu kwa ndani na kuona vyanzo vya tatizo na kulimaliza kabisa

Wenye changamoto ya ganzi, gauti kwa kina baba, nyonga, mgongo na mengine mengi tutakusaidia kukupa suluhisho la kudumu

Kwa wale wenye changamoto ya kisukari cha muda mrefu sasa tumekuja na suluhisho, njoo uangalie hali ya ini, figo, pamoja na kongosho, unatumia tu dawa lakini hujui zimeathiri vipi Figo yako. Njoo uone kabla hujaambiwa ghafla kwamba zimefeli.

Lakini pia tunashuhudia wimbi kubwa la magonjwa ya kudhoofisha mwili. Shinikizo la juu la damu linaua ghafla takribani watu milioni 7 kila mwaka lakini watu hawajui, lakini pia mafuta mengi katika damu yanaua watu milioni 5 kila mwaka. Je umewahi jua kiasi cha cholesterol katika damu yako? Njoo tukusaidie haraka upate suluhisho la kudumu.

Wale wenye uzito kupita kiasi njoo tukusaidia kupungua kwa haraka sana, njoo uangalie saratani maana tuna dawa za kuyeyusha uvimbe wa saratani ulio katika hatua za awali.

Wenye vidonda vya tumbo tuna suluhisho la kudumu lipo usiache tatizo liendelee kukua.

Namba yetu ya mapokezi huduma kwa wateja 0743623272

Pia unaweza kuuliza WhatsApp kupitia link hapo chini.

https://wa.me/message/VLPVPPO4PEHRO1

Karibuni sana kwa ofa hii na vipimo vyote ni 30,000 (elfu thelathini tu).

Ukihitaji kuzungumza na madaktari wetu pia karibu ushauri ni BURE kabisa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kimara
Dar Es Salaam
16104