Afya jamii
invest in your health
04/09/2025
Tatizo la maumivu ya magoti, nyonga, na pingiri za mgongo, huwezi kuyaondoa kwa kufanya mazoezi bali utaongeza tatizo
Mara nyingi hutokana na kuishà kwa uteute ulioko katikati ya mifupa hivyo hufanya mifupa kugusana na kuleta maumivu Makati,,
NJIA RAHISI YA KUTIBU
MEDICINAL STEMCELL
yenye uwezo wa kurekebisha seli mwlini, kuondoa vimbe, kuondoa sumu mwilini, kurejesha ute ute katika maungio ya mifupa, kubwa zaidi hurekebisha kinga ya mwili
kwa tiba na ushauri tupigie 0761 516 493
04/09/2025
KUKOSEKANA KWA UTEUTE KATIKATI YA VIUNGO (JOINT) NA ATHARI ZAKE.
Katikati ya mifupa kuna kajariba fulani hujulikana k**a (cartilage) katileji ambako husaidia mifupa isiumie lakini vilevile husaidia kibeba uzito wa mwili wako wakati wakutembea, kuinama,au kujinyoosha
Zaidi ya asilimia 85 ya katileji hii ni maji (synovial fluid) na kadri umri unavyo sogea mbele maji hayo hupungua au kuishà kabisa na hii hupelekea katileji kulika na kusagika
Hali hii hupelekea maumivu makali Sana hasa unapo hitaji kusimama au kutembea
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA JOINTS
1.Umri mkubwa
2.uzito kupita kiasi
3.maradhi mwengine hasa yamifupa
MATIBABU YAKE
Moja ya njia nzuri, Bora na yakisasa hii ni tiba ya kisasa kabisa ambayo huuwezesha mwili kuzalisha cell ambazo zitasaidia kurudisha uteute,na kurekebisha katileji, pia kuimalisha mifupa yako
kwa tiba na ushauri karibu 0761 516 493
02/09/2025
MATATIZO YA UZAZI. (UGUMBA)
UGUMBA ni Hali ya kutoweza kupata uzauzito katika kipindi Cha mwaka mmoja au zaidi kwa wenzi ambao wamekua wakifanya tendo la ndoa bila kutumia njia zozote za uzazi wa mpango
Hali hii inaweza kutokea kutokana na tatizo kwa mwanaume au mwanamke.
DALILI ZA UGUMBA
Dalili kuu ya ugumba ni kushindwa kushika mimba
SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUPELEKEA UGUMBA
🔹Matatizo ya mfumo wa Kinga ya mwili
🔹Uvimbe kwenye mji wa mimba
🔹Matatizo ya ulaji au lishe duni
🔹Kisukari
🔹Matumizi ya madawa au tibakemikali
🔹Homoni kidogo au nyingi (hormones imbalance)
🔹Kupungua kwa wingi wa manii kwa mwanaume
🔹Matumizi mabaya ya pombe,bangi na kokeini
🔹nk.
TIBA YA UGUMBA
Habali njema nikwamba matibabu ya tatizo la uzazi yameboreshwa na niya kisasa zaidi ambapo, bila kujali aina ya sababu iliyopelekea tatizo hilo.
Anza kurekebisha seli za VIUNGO vya uzazi kwa kutumia dawa zetu ambazo hufanya kazi katiza njia kuu sits
🔹Huamsha seli zilizodumaa na kuzipa nguvu ya kufanya kazi tena na kwa uimara zaidi
🔹Husafisha mirija ya uzazi na kuboresha mayai ya mwanamke
🔹Huimalisha mirija na kusafisha mirija ya damu hasa katika viongo vya uzazi
🔹Hutizo maradhi ya sukari, pressure,kansa, kwa ku-renew seli katika maeneo yaliyo athirika katika mwili.
🔹Huondoa seli zilizokufa na kuzalisha seli mpya mwilini
🔹Kubwa zaidi huukumbusha mwili wako majukumu yake hivyo viongo vyote vya uzazi kuanza kuimarika haraka
kwa ushauri na tiba tupigie 0761 516 493
26/08/2025
SOMA HII KWA UMAKINI
Je! Umekua muathirika wa kujichua (ma********on)?
K**a umekua na tatizo hilo kwa muda mrefu na umepata madhara yafutayo
* Kulegea kwa misuri ya uume
*Kukosa hamu na mwezi wako
*Kukosa kuniamini mwenyewe
*Ukosefu wa nguvu za kiume
NAMNA UNAWEZA KUTOKA KATIKA UTUMWA WA KUJICHUA NA KUEPUKA MADHARA YAKE
# kuepuka kuwa mwenyewe kwa muda mrefu hii itakufanya kuondoa fikra za kimapenzi ambazo hupelekea mawazo ya kujichua
# Ni muhimu sana kujishugulisha na kazi za hapa na pale ili kusahua na kuepuka kua mwenyewe
# muhimu zaidi ni kufanya mazoezi
JE, K**A UMESHAATHIRIKA NA KUJICHUA UNAWEZAJE KURUDI KATIKA HARI YAKO ?
Kwanza kabisa amua kwa dhati kuacha kujichua,,, pili naleta kwako teknolojia mpya ya matibabu ambayo hutibu madhara yote yatokanayo na kujichua,,
Hii huweza kurejesha afya yako hasa katika viungo vya uzazi, kuongeza mzunguko wa damu, kuimarisha misuli, kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume, kuongeza hamu ya tendo la ndoa ,na kuondoa mafuta machafu katika mishipa ya damu.
kwa tiba na ushauri tupigie 0761 516 493
25/08/2025
HORMONAL IMBALANCE NI NINI? TEGA SIKIO KIDOGO
Hormonal Imbalance au Mvurugiko wa homoni ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke na hivyo kufanya utendaji kazi wa mwili kubadilika
Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni za Estrogen, Progesterone. Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi hupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke
VYANZO AU SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Uwepo wa sumu mwilini
2. Mfumo mbovu wa maisha
3. Umri
4. Kukoma kwa hedhi
5. Kutofanya mazoezi na kutokulala masaa anayostahili kwa siku
6. Uzito mkubwa au uzito mdogo mno
7. Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
8. Msongo wa mawazo
9. Upungufu wa lishe mwilini
10. Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
11. Utoaji wa mimba
12. Historia ya familia
DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Ukavu ukeni
2. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
3. Kutoa jasho usiku
4. Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
5. Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
6. Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku
7. Kukosa hedhi kwa muda mrefu na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
8. Uchovu wa mara kwa mara
9. Hasira za mara kwa mara
10. Kukosa usingizi
11. Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
12. Mzio wa vyakula (Allergie) yani kuchagua chagua vyakula
13. Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
14. Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele n.k)
15. Maumivu ya viungo
16. Upungufu wa nywele kichwani.
17. Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
18. Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
19. Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
20. Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
21. Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
Tupigie kwa tiba na ushauri 0761 516 493
22/08/2025
SOMA HII MPAKAMWISHO.
yawezekana wewe au mpendwa wako tayali anayo maambukizi ya virusi vya ukimwi hivyo tayali ameanza kukata tamaa, au tayali ameanza kuonesha dalili za kuumwa umwa ikiwa ni ishara ya kupungua kwa kinga zake za mwili ( CD4 )
kwa kawaida kinga za mwili zinaposhuka zaidi 200cells/mm3 mwili hupoteza uwezo wake wa kujikinga na maradhi nyemelezi hivyo mgonjwa huanza kudhoofu na kupoteza matumaini kabisa ya kuishi.
hivyo basi, mgonjwa anashauliwa kufata matumizi sahihi ya dawa k**a alivyoelekezwa na mtumishi wa afya ili kuendelea kua na kinga thabiti dhidi ya magonjwa nyemelezi.
katika kuongeza kinga za mwili kwa wagonjwa wenye maambikizi ya virusi vya ukimwi ni vyema kufata ushauri wa wataalamu wa afya
karibu kwetu tukuhudumie kwa njia mbadala ili kukusaidia kuongeza kinga za mwili na kujikinga kupata magonjwa nyemelezi,, dawa zetu ni bora hivyo huweza kuongeza uzarishaji wa chembe nyeupe za damu ambazo husaidia kupambana na maradhi katika mwili wako,
kwa ushauri na tiba tupigie 0761 516 493
21/08/2025
JARIBU NJIA HII KUPATA UJAUZITO
k**a umeteseka kwa muda mrefu kutafuta mtoto au ujauzito na umetumia njia nyingi bila mafanikio soma hapa mpaka mwisho
teknolojia mpya ya MEDICINAL STEMCELL ni suluhisho tatizo la kukosa ujauzito.
KWANINI MEDICINAL STEMCELL?
Husafisha mirija ya uzazi
huondoa sumu na mafuta katika via vya uzazi
husaidia kuzalisha seli hai katika via vya uzazi vilivyo choka
husaidia katika uchevushaji wa mayaia kwa wanawake na wanaume
husaidia kukaza misuri ya uke na uume
husaidia kutibu magonjwa ya zinaa na UTI sugu
husaidia kudhibiti kiwango cha homomi
kwa tiba na ushauri tupigie 0761 516 493
21/08/2025
JE! UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?
Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.
Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;
Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
Kuwa na mawazo mengi
Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
Kunywa pombe na vinywaji vikali
Uvutaji wa sigara
Kuto kula mlo kwa mpangilio
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;
gastrita
Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO
tunatibu vidonda vya tumbo kwa kutumia dawa zenye teknologia ya kisasa ya MEDICINAL STEMCELL yenye uwezo wa kusaidia mwili kuzalisha parietal cell ambazo ndizo zinahusika na uzalishaji wa acid katika kuta za tumbo.
dawa hizi hufanya kazi katika chazo cha tatizo moja kwa moja hivyo hutoa matokea kwa asilimia 100%.
kwa tiba na ushauri tupigie 0761 516 493
20/08/2025
🔁FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA PUMU YA NGOZI ( ECZEMA ) PUMU YA NGOZI
ni Ugonjwa wa NGOZI unaosababisha kuvimba kwa NGOZI( Inflammation ). Hii huambatana na NGOZI Kuwasha, Kuwa Nyekundu, Vipele na Mabaka.
🔁NINI KINASABABISHA PUMU YA NGOZI?
Pumu ya ngozi husababishwa na Msh*tuko wa Kinga ya Mwili( hypersensitivity ) na Ngozi ya Mwili. Kuna Uhusiano wa PUMU ya NGOZI na Magonjwa k**a Asthma, Mafua, Msongo wa Mawazo pamoja Kurithi ( Vinasaba ).
🔁DALILI ZA PUMU YA NGOZI.
Dalili Kuu Tatu ni:-
1. Ngozi kuwa Nyekundu
2. Ngozi Kuvimba na Kupasuka
3. Ngozi Kukauka pamoja na Muwasho. Mara nyingi UGONJWA huu huambatana na Magonjwa ya Njia ya hewa k**a Asthma( Atopic dermatitis ) au baada ya kukutana na kitu kinachosababisha Msh*tuko wa Kinga ya Mwili na Ngozi. Mfano Kipodozi, Kemikali nakadhalika.
🔁PUMU YA NGOZI KWA WATOTO.
Asilimia 8 Mpaka Asilimia 18 ya WATOTO wote huathiriwa na Ugonjwa huu. Hii huambatana na mabadiliko ya Hewa na Magonjwa ya Mfumo wa Hewa mfano Mafua na Asthma . Mara Nyingi Ugonjwa huu hupotea Ukubwani baada ya Matibabu.
MATIBABU YA PUMU YA NGOZI
Matibabu ya ugonjwa wapumu ya ngozi hujikita zaidi katika kuimarisha kinga ya mwili hasa seli za ngozi,, k**a wewe unasumbuliwa na maradhi ya pumu ya ngozi tunazo dawa zenye uwezo wa kurekebisha kinga ya mwili, kuondoa sumu na mzio wa ngozi, kuzuia maradhi ya ngozi,kuimarisha kinga ya mwili kwa ujumla.
kwa tiba na ushauri tupigie kwa simu namba 0761 516 493
19/08/2025
JE! UNAJUA KUWA UVIMBE KWENYE KIZAZI NI SABABU YA UJAUZITO KUHARIBIKA MARA KWA MARA AU KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO? 👇👇
Uvimbe kwenye kizazi hutokea hutokea katika kuta za mfuko wa uzazi kwa mwanamke au katika mayai ya uzazi
Lakini pia hujulikana k**a "FIBROIDS"
Miongoni mwa sababu ambazo hupelekea shida hii ni pamoja na
🔹Uzito kupiata kiasi ( unene)
🔹Matumizi yasiyo sahihi ya dawa
🔹Vichocheo vya mwili kuzidi ( hormonal imbalance)
🔹 Matumizi ya uzazi wa mpango nk
Moja ya Matatizo yanayoweza kumpata mtu mwenye Uvimbe kwenye kwenye kizazi ni pamoja na
🔹Kushindwa kupata ujauzito au mima kuharibika kila wakati
🔹Maumivu makali wakati wa hedhi na kutoka damu nyingi yenye vinyama in nyama
Kuvimba tumbo au sehemu ambapo kuna Uvimbe huo
🔹Maumivu wakati wa tedo la ndoa nk
Matibabu yetu huweza kusaidia uzalishaji wa seli katika mwilini hivyo kusaidia kuondoa uvimbe, kusafisha damu,, kuondoa sumu mwilini,,na kuongeza kinga mwilini pia,,
Kwa tiba na ushauri tupigie 0761516493
19/08/2025
SOMA HII MPAKA MWISHO.
JE! UNASUMBULIWA NA TATIZO LA KUFELI KWA FIGO?.
FIGO,, ni kiugo muhimu katika mwili wa binadamu ambacho hufanya kazi ya kuchuja damu.
KUFELI KWA FIGO, hili ni tatizo ambalo hutokana kushindwa kwa FIGO kuchuja damu au kufanya kazi yake muhimu,, na hii inaweza kusababishwa na Mambo yafuatayo
*Kisukari
*Shinikizo la juu la damu
*Ajari
*Maradhi ya mkojo
DALILI ZAKE
*Kuchoka mwili mzima
*Kichefuchefu na kutapika
*Kuvimba hasa tumbo (oedema)
*Kupoteza hamu ya kula. Nk.
MATIBABU YAKE.
Matibabu ya maradhi ya FIGO hutegemea na ukubwa wa tatizo hilo,, japo kua wengi huishia kufanya DIALYSIS au KIDNEY TRANSPLANT.
HABARI NJEMA NIKUA,,
Sasa unaweza kupata matibabu ya maradhi ya FIGO kwa kutumia teknolojia mpya ya matibabu yenye uhakika wakurejesha afya FIGO na kuondoa maradhi yanayo kusumbua
Tupigie 0761516493
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam