Afya plus
Tunatoa ushauri na tiba ya magonjwa mbalimbali
06/08/2025
Juice hii Nzur kwa afya yako
09/06/2025
*BAWASIRI*
Bawasiri ni nini?
Ni Ugonjwa unaootokea katika njia ya Haja kubwa.
Hutokea k**a kinyama au uvimbe
Kwa lugha nyingine huitwa *Piles*
Kitaalamu inaitwa *Hemorhoids*
*AINA ZA BAWASILI*
Bawasiri ya ndani
Bawasiri ya nje
*BAWASIRI YA NDANI*
Hii ni aina ya Bawasiri ambayo inatokea ndani ya mfereji wa haja kubwa inaambatana na Maumivu makali.
*Ina hatua Zifutazo*
1.Inatoka katika sehemu moja na kwenda nyingine (inatafuta space)
2.Kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa na kurudi baada ya kumaliza kujisaidia haja kubwa.
3.Inatoka wakati wa kujisaidia haja kubwa ila hairudi mpaka uirudishe.
4.Bawasiri inatoka wakati wa kujisaidia ila hairudi ata ikirudishwa.
*BAWASIRI YA NJE*
Hii ni aina ya Bawasiri ambayo hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa.
*Ina hatua zifuatazo*
1.Kuwashwa sehemu ya haja kubwa.
2.maumivu wakati wa kujisaidia.
3.Kinyama kutoka sehemu ya haja kubwa.
*SABABU ZA BAWASIRI*
1.Kufungua choo au kupata choo kigumu sana.
2.Ujauzito.
3. Kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
4.Uzee.
5.Kurithi ila hii ni kwa % ndogo sana.
6. Kuharisha kwa Muda mrefu.
7. Matumizi ya vyoo vya kukaa.
8.Kunyanyua vitu vizito ( wanyanyua vyuma)
9. Uzito au unene uliopitiliza.
*DALILI ZA BAWASIRI*
1.Maumuvu wakati wa kujisaidia haja kubwa.
2.Kunyesi kunuka damu.
3.Miwasho sehemu ya haja kubwa.
4.Uvimbe au kinyama kijitokeza sehemu ya haja kubwa.
*MADHARA YA BAWASIRI*
1. Kusababisha Infection kwenye damu.
2.Inapelekea mtu kupata Cancer ya utumbo mpana.
3. Kufanyiwa operation mara kwa mara.
4.Haja kubwa kutoka wakati wowote bila wewe kujijua.
👉
Bawasiri ni Ugonjwa ambao unawatesa watu wengi sana na madhara yake ni makubwa mtu asipopata suluhisho sahihi anaweza kupoteza maisha.
Wasiliana nasi kupitia
Whatsup no 0755644710
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
17107
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |