Whiteclouds Health and Beauty

Whiteclouds Health and Beauty

Share

whiteclouds is only special and professional face book page in Tanzania which caring about your bot

Photos from Whiteclouds Health and Beauty's post 23/12/2021

VITAMIN E OIL FOR SKIN.

Vitamin E is a powerful antioxidant that may be effective at reducing UV damage in skin. And vitamin E applied topically may help nourish and protect your skin from damage caused by free radicals.

Photos from ROSE GOLD's post 20/12/2021
19/12/2021

ROSE GOLD,

TUNAHITAJI WATU WASIO PUNGUA 50. KWAAJILI YA KAZI K**A:

1. MACK UP ARTIST
2. NA MTU ATAKAE FANYA HAIR DRESS.

TUNAHITAJI HASA WALE WASIO WEZA WALA KUJUA KABISA.

TUTAWAFUNDISHA (SHORT COURSE) NDANI YA KIPINDI KISICHOPUNGUA MWEZI MMOJA NA UTAPATA CHETI CHAKO.

NA MOJA KWA MOJA UTAINGIA KAZINI

K**A UPO TAYARI TAFADHALI FIKA OFISI KWETU AU PIGA SIMU +255 767 901 390 KWA MSAADA ZAIDI.

14/07/2021

KARIBU DARASANI MADAKUU NI


TEZI DUME NI NINI?

Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la
kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo
na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume
nalo huongezeka ukubwa ambao
unaweza kuwa wa kawaida au
saratani.

AINA YA TEZI DUME

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi
dume.
• Maambukizi ya Bakteria
(Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo
sio saratani (Benign Prostatic
Hypertrophy-BPH).
• Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME

- Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza
manii (semen).

YA TEZIDUME

v Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume
hakijulikani, saratani hii ina uhusiano
mkubwa na;
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia
miaka 60 na kuendelea wanapata
zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha
mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia
(Genetic).
• Kuwa na uzito uliokithiri.

ZA SARATANI YA TEZI DUME
v Katika hatua za awali, dalili
hazitofautiani sana na zile za kuvimba
kwa tezi dume lisilokuwa saratani
(BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
• Kusikia kupata haja ndogo mara
kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka
unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
na kuchuruzika kidogo kidogo
baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na
kushindwa kumaliza mkojo wote.
• Kutoa mkojo au manii
yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu
mbalimbali za mwili k**a saratani
imesambaa.
• Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu,
uchovu na kizunguzungu.

/UPIMAJI

v Uchunguzi kwa kutumia kidole cha
shahada kupitia njia ya haja kubwa
na kuhisi ukubwa wa tezi kwenye
ukuta wa puru.
v Kipimo cha damu kuangalia kiwango
cha aina ya ‘protein’ iitwayo ‘Prostate
Specific Antigen (PSA), proten’ hii
huwa juu kuliko kawaida k**a mtu
ana saratani ya tezi dume na wakati
mwingine k**a ana maambukizi
(prostatitis).
v Kuchukua kipande cha nyama
kwenye tezi (Prostate Biopsy) kwa
uchunguzi wa kimaabara.
v Kipimo cha mawimbi sauti
(Ultrasound) ambacho husaidia
kuonyesha ukubwa na sura ya tezi
dume.
v Vipimo vya CT scan, MRI kutambua
k**a saratani imesambaa sehemu
nyingine za mwili.

10/07/2021
09/07/2021

wanaume wengi wanakumbwa na tatizo la kutokaa kwa mdaa wa kutosha katika tendo la NDOA. TATIZO HILI LINACHANGIWA NA:

1.KUPIGA PUNYETO KWA MDAA MLEFU
2.MATUMIZI YA VILEO
3.MAGONJWA YATOKANAYO NA MISHIPA NA MZUNGUKO WA DAMU
4.MAWAZO
5.MAGONJWA YA NGONO
6.TENZI DUME NA MENGINEYO

LAKINI BADO UNAYO NAFASI YA KUFANYA VYEMA, ITACHUKUA MWEZI MMOJA MPAKA MIWILI ILI KUMRIDHISHA MWENZA WAKO NA KUSIMAMA KWA MDAA WA KUTOSHA.
TUPIGIE SIMU 0693662115 AU TEMBELE UKURASA WETU FACE BOOK KWA ELIMU ZAIDI NA BIDHAA BORA (whiteclouds health and beauty)

09/07/2021

TATIZO MAPEMA
**A UMECHELEWA BADO INAWEZEKANA
JITHAMINI.
+255 693 662 115 PIGA UPATE USHAURI NA DAWA LEO.

05/06/2021

*MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA*
Maumivu ya kiuno na nyonga (Lumbago) ni hali inayotokea mara nyingi na inayohusu misuli na mifupa ya upande wa chini wa mgongo. Hali hii huathiri takriban 40% ya watu kwa wakati fulani maishani mwao.

*SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA* (mifupa kwa ujumla)

👉🏻kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo.

👉🏻Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo

👉🏻Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo,

👉🏻mawazo (stress) nyingi

👉🏻kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO

👉🏻kuteguka au mkazo wa misuli.

👉🏻Unene wa kupindukia

👉🏻 kuvuta sigara

👉🏻kunenepa wakati wa ujauzito

👉🏻mfadhaiko

👉🏻matatizo ya mwili

👉🏻mkao mbaya na kulala vibaya pia huchangia maumivu ya mgongo.

wanaweza kuwa na maumivu ya kiuno kutokana na hali zinazoathiri mfumo wa uzazi k**a;
👉🏻Matatizo ya hedhi
👉🏻uvimbe kwenye mayai
👉🏻saratani ya ovari au fibroidi ya uterasi.
👉🏻Matatizo ya kimwili yanaweza kuwa osteoathritisi,
👉🏻 Ugongonjwa wa baridi yabisi (arthritis rheumatoid)
👉🏻kuharibika kwa diski zilizo katikati mwa pingili za uti wa mgongo
👉🏻kuvunjika kwa pingili za uti wa mgongo (k**a vile kufuatia osteoporosisi)
👉🏻maambukizi au tyuma ya uti wa mgongo.

*MADHARA YA MAUMIVU YA NYONGA NA KIUNO*
👉🏻Hupelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa
👉🏻Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili
👉🏻Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia
👉🏻Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.

😘
👉🏻Kuna sababu nyingi zinazopelekea maumivu ya nyonga na baadhi ya sababu hizi huashiria magonjwa hatari ni Vyema Ukafahamu Kwanza Chanzo Cha tatizo Kabla ya Matibabu.

HILI LINATIBIKA KUTOKANA NA CHANZO CHA TATIZO
✍🏻Kupata tiba tuwasiliane

10/05/2021

MASWALI NILIYOULIZWA SANA NA WAPENZI WA BIASHARA YA VIPODOZI

1. Vipi biashara ya vipodozi inalipa kweli?
2. Vipodozi kwa bei ya jumla nitavitoa wapi?
3. Vipi kuhusu kufungiwa duka lako na TFDA na kuk**atwa?
4. Mtaji k**a shillingi ngapi unatosha kuanzisha duka la vipodozi?
5. Vipi kuhusu vipodozi feki utavijuaje?
6. Unapangaje bei ya vipodozi vyako?
7. Location nzuri zaidi ya kuweka duka ni maeneo gani?
8. Taratibu za kusajili na kuanza biashara zipoje?
9. Vipodozi gani vina faida kubwa zaidi?
10. Natangazaje biashara yangu ili nipate wateja wengi?
11. Mtaji wangu ni mdogo tu k**a shillingi Millioni tatu (3,000,000/=) hivi. Nawezaje kuanza kwanza kisha baadae niongezee mtaji na kuboresha duka langu?
12. Shillingi Millioni Moja (1,000,000/=) vipi naweza kuanza biashara ya vipodozi mdogomdogo?
13. Wateja wakubwa wa vipodozi vya bei ni akina nani?
14. Nasikia Zanzibar kuna vipodozi bei nafuu sana. Hilo limekaaje?
15. Mpangilio mzuri wa vipodozi dukani mwangu uweje?
16. Nikishindwa kuendelea na biashara nawezaje kuuza duka langu?
17. Ishu ya business plan kwa duka la vipodozi inakuwaje?
18. Nawezaje kupata mtaji wa kutosha kwa ajili ya kuanza biashara yangu?
19. Vipodozi gani vimepigwa marufuku havitakiwi kuuzwa dukani?
20. Maduka gani pale Kariakoo unayajua yana vipodozi Original kweli na bei zao ni nafuu?
Uuuuggghhhh yaani ni maswali mengi sana na mazuri; nawapa majibu, nawafundisha, nawaelekeza na kuwapa support wadau hadi wanaanza vizuri au wengine wanaboresha maduka yao.
K**a na wewe ni mpenzi wa biashara hii usisite kujifunza zaidi kutoka kwetu. Unaweza kujifunza ukiwa popote pale maana asilimia kubwa ni kwa kidigitali so tutaongea kwa simu au kuchat kwa SMS/WhatsApp au kwa njia ya email

10/05/2021

Ukiona unafanya mazoezi lakini bado hupati matokeo unayoyalenga basi jua kuna mambo kadhaa bado hayako sawa kiafya. Aidha:
1. Ulaji wako bado ni mbaya - Unakula kiasi kikubwa cha vyakula jamii ya wanga k**a vile tambi, chipsi, mihogo, viazi, wali, ugali na kadhalika
2. Muda wa kupata matokeo mazuri bado - wiki 6, wiki 8, wiki 12 na kadhalika kutegemea na mwili wako na lifestyle yako
3. Mazoezi unayofanya bado hayatoshi - Spidi, urefu wa muda wa mazoezi, idadi ya siku/miezi na kadhalika
4. Mazoezi unayofanya sio sahihi kwa malengo yako - Unajua kuna mazoezi ya kujenga misuli, kuna mazoezi ya kujenga mwili, kuna mazoezi ya kupunguza uzito na kadhalika; wewe unafanya yapi???
Ukiona hivyo usikate tamaa bali ongeza juhudi na maarifa.
Ongezea Coach au Consultant ujihakikishie matokeo mazuri zaidi. Tsh 20,000 tu kwa miezi mitatu au Tsh 8,000 tu kwa mwezi mmoja.
Uzuri zaidi ni kwamba huduma yetu ni ya kidigitali hivyo unaweza kuipata ukiwa popote, muda wowote

06/05/2021

YA KUFANYA MACK UP KWA YEYOTE YULE NA NIFURSA YA KUJIAJILI PIA K**A UTAPENDA KUTUMIA KATIKA KUBADILISHA UJUZI KUA PESA KWA KUFANYA BIASHARA YA KUPAKA MACK UP BAADA YA KUJIFUNZA LEO.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam