ELIMU KWA WOTE
TUNATOA MAFUNZO MBALIMBALI, UJUZI WA MAISHA , UTATUZI WA CHANGAMOTO MBALIMBALI. PIA STORY ZINAACHILIWA HAPA. HAKIKA HUTAKOSA KITU
18/05/2026
Types of teachers and their characteristics
1. History - hawa hawananga kazi, kazi yao ni kula na kuform group classes wanawapea past papers..Alafu hawa wanakuag k**a catalyst ukikosa na upelekwe staffroom wanakuja kuchangia 2🥹
2. Chemistry -hawa ni wengine very idle kazi yao ni kukatia wasichana kila class wanakuanga na Dem Alafu wanakua class na macho ya red utadhani wamemeza HCL👋👋
3. CRE-hawa wanangonjea wazazi wakufe waanze kuchangisha pesa na hawakuangi wameokoka though wanapreach😂😂
4. Biology - hawa ndo pekee wanafaa kuwa wanalipwa wanafunza vizuri lakini tukifika chapter ya reproduction wanarukaruka🥺🥺
5. Kiswahili - hawa unawapelekea complains siku ya Monday wanakuambia uongee kiswahili utadhani ni wao waliandika kamusi🤞🤞
6. Business - hawa hudhani wanategeneza pesa utasikia welcome to the world of money ni k**a wanafanya kazi bank
7. Physic - hawa kazi yao ni kuvaa vile wanataka unaeza Dhani ni mtu wa kenya power alipigwa shock akifanya practicals🥺😂😂
8. Mathematics - hawa hawamalizangi syllabus kila siku ni we need extra time to teach na wanakuanga kiherehere sana na kupeana guidance na fake motivation
9. Agriculture - hawa hukuwa wamesota na mkianza kugawiwa shamba za project anakukatia kadogo utadhani ni mtu wa lands😂😂😂na wanakuanga na kakitambi ka ufala
10. Geography - hawa ukuwa wagumi k**a mawe na maringo utadhani wako sure the earth is spherical 🫣🫣🫣
11. English - hawa k**a ni Dem kazi yake ni kukula na kuslay na maringo miingi utadhani ni yy aliandika dictionary but all English men wataenda heaven 😏🥺
12. Computer - hawa wanajifanyanga kujua kila kitu ata ni k**a ni wao walitegeneza simu na hawakuangi kufunza na wanakuanga na fake partners
13. Home science - hawa wanajua kupika na usafi miingi lakn kwao nyumbani ata hawajui kuosha choo na kupikia mabwana zao🤭🤭
14. PE - hawa kazi yao ni kusweat mpaka matako hawananga kazi ingine
15. French-hawa ni wengine wanabow hudhani juh wanajua french wanaeza rule uko 😂👊
😂😂😂😂
No gain without pain
Ni mwimbaji gani wa nyimbo za injili hautakuja umsahau Kwa uzuri wa vibao vyake?
18/04/2026
Aina za Sindano za Kisukari
Insulini ya Haraka (Rapid-Acting): Hufanya kazi haraka, hutumika kabla ya mlo (k.m., Lispro, Aspart).
Insulini ya Muda wa Kati (Intermediate-Acting): NPH ni mfano mkuu, hutumika mara 1-2 kwa siku.
Insulini ya Muda Mrefu (Long-Acting): Glargine au Detemir.
Insulini Mchanganyiko (Premixed): Mchanganyiko wa insulini haraka na taratibu (k.m., 70/30), hutumika mara 2 kwa siku.
Je wataka kujua zaidi?
18/04/2026
Write briefly about the concept of seed dormancy
Unaweza mtagi mtu akuunge bundle ? Let's go!!
Akitoka injinia mwamba ndo nafata sasa
Kuna uhusiano gani kati ya mapenzi na kazi ya mtu jamani?
In terms of transfer differentiate sound from light
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam
15101