Pango Mshauri
TUNATOA ELIMU, USHAURI, MWONGOZO NA MATIBABU SAHIHI KUHUSU MAGONJWA YANAYOAMBUKIZA NA YASIYOAMBUKIZA. 0790141423/
0758262611 /
0674769934
HOMA YA INI (HEPATITIS) HAIANZI KWA MAUMIVU MAKALI! ⬇️
Watu wengi wanachelewa kutambua Hepatitis B kwa sababu dalili zake za awali ni za kawaida sana:
• Uchovu usioelezeka
• Kukosa hamu ya kula
• Kichefuchefu
• Maumivu madogo upande wa juu kulia wa tumbo
• Mkojo kuwa wa rangi ya giza Maumivu ya mwili au viungo
⬇️ Tatizo ni hili:
Ukipuuza dalili hizi, homa ya ini inaweza kuendelea kimya kimya hadi Ini kushindwa kufanya kazi na kupelekea:-
➡️ Cirrhosis (ini kuharibika kabisa)
➡️ Saratani ya ini
➡️ Kifo cha ghafla bila dalili kali
✅ Habari njema:
➡️ Hepatitis B inaweza kudhibitiwa na hata kupona endapo itagundulika mapema.
➡️ Matibabu sahihi huanza kwenye CHANZO PAMOJA NA KINGA YA MWILI, hushughulikia TATIZO PAMOJA NA VIRUSES, na huzuia MADHARA k**a:-
1. Saratani ya ini
2. Ini kushindwa kufanya kazi
3. Maumivu ya muda mrefu
4. Macho kuwa ya njano kabisa
5. Kuvimba tumbo na miguu
➡️ Usisubiri maumivu makali ndipo uchukue hatua!
Afya ya ini lako = maisha yako ya baadaye.
☎️ NITAFUTE SASA kwa ushauri, vipimo na mwongozo wa matibabu ya mapema
➡️ Andika neno “INI” au “HEPATITIS B” kwenye inbox
➡️ Chukua hatua leo, kabla ini halijachukua uamuzi kwa niaba yako.
Whatsapp 0674 769 934 +255674769934
Call 0674769934
SMS 0674769934
You're welcome
Part 05 | Maambukizi ya HIV
KISUKARI HAKIANZI KWA DALILI KALI! ⬇️
Watu wengi wanachelewa kugundua kisukari kwa sababu dalili zake za awali zinaweza kuwa za kawaida sana:
• Kukojoa mara kwa mara
• Kiu ya kupindukia
• Njaa ya mara kwa mara
• Uchovu usioelezeka
• Kupungua uzito bila sababu ya wazi
• Kuona ukungu machoni
• Vidonda kuchelewa kupona
⬇️ Tatizo ni hili:
Ukipuuza dalili hizi, kisukari kinaweza kuendelea kimya kimya na kusababisha madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na:
➡️ Uharibifu wa figo
➡️ Matatizo ya macho yanayoweza kusababisha upofu
➡️ Uharibifu wa mishipa ya fahamu (ganzi au maumivu ya miguu na mikono)
➡️ Magonjwa ya moyo na kiharusi
✅ Habari njema:
➡️ Kisukari kinaweza kudhibitiwa vizuri endapo kitagundulika mapema na mgonjwa akafuata ushauri wa wataalamu wa afya.
➡️ Udhibiti mzuri wa kisukari unaweza kusaidia kupunguza hatari ya:
Uharibifu wa figo
Matatizo ya macho
Magonjwa ya moyo
Vidonda vya miguu
Uharibifu wa mishipa ya fahamu
➡️ Usisubiri dalili ziwe kali ndipo uchukue hatua!
Afya yako leo ndiyo msingi wa maisha yako ya baadaye.
☎️ NITAFUTE SASA kwa ushauri, vipimo na mwongozo wa kudhibiti kisukari.
➡️ Andika neno "KISUKARI" kwenye inbox.
WhatsApp: 0674 769 934 / +255 674 769 934
Call: 0674 769 934
SMS: 0674 769 934
You're welcome.
Part 04 | Maambukizi ya HIV
Part 03 | Maambukizi ya HIV
Part 01 | Maambukizi ya HIV
Part 02 | Maambukizi ya HIV
Una homa ya ini sikiliza hii hapa
Dalili za homa ya ini ni pamoja na hizi nilizotaja kwenye video hii
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
123